Je, kuna kijana yoyote mwenye wazo la biashara ambalo ni jipya la kuajiri vijana 10,000 moja kwa moja

Je, kuna kijana yoyote mwenye wazo la biashara ambalo ni jipya la kuajiri vijana 10,000 moja kwa moja

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,339
Reaction score
1,493
Habari Tanzania !

Ikiwapendeza vijana nawakaribisha kwa hayo mawazo.

Linahitajika wazo la biashara ambalo ni jipya. Ikiwa utakuja na wazo la kufanyika maeneo yafuatayo hapa Tanzania kwa kuajiri vijana 10,000 moja kwa moja kwenye hilo wazo lako.

Mikoa ifuatayo; Mwanza, Arusha, Dar es Salaam, Mbeya, Dodoma na Tanga.

Karibu kwa wazo lako tafdhali.
 
kuajiri vijana 10,000 hata Bakharesa,Mo na kampuni zengine wajaweza kufikisha.
 
Umeajiri na NSSF ukawalipia,Bodi ya mkopo au mnajua ajira ni kitu simple au mnahisi wale vibarua ndio wana ajira kamili.
Nimeomba wazo la biashara kutoka kwa vijana. Hakuna chochote kilichoombwa nje na mada tajwa

Karibu tena.
 
Habari Tanzania !

Ikiwapendeza vijana nawakaribisha kwa hayo mawazo.

Linahitajika wazo la biashara ambalo ni jipya. Ikiwa utakuja na wazo la kufanyika maeneo yafuatayo hapa Tanzania kwa kuajiri vijana 10,000 moja kwa moja kwenye hilo wazo lako.

Mikoa ifuatayo; Mwanza, Arusha, Dar es Salaam, Mbeya, Dodoma na Tanga.

Karibu kwa wazo lako tafdhali.
Mkuu hapo kunavitu viwili
1. wazo la biashara
2. Na Ajira

Usichanganye mambo one after another
 
Mkuu hapo kunavitu viwili
1. wazo la biashara
2. Na Ajira

Usichanganye mambo one after another
Upo sahihi.

Linahitajika wazo la biashara lenye uwezo wa kuajiri vijana 10,000 kwa wakati mmoja.

Ndio aina ya wazo linalohitajika mahali hapa tafadhali.

Karibu.
 
Back
Top Bottom