Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa?

Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa?

Status
Not open for further replies.
unafikiri kila mtu ananunuliwa kama wewe? MBOWE KATUPA DOLA ELFU MBILI ZA KUFUNGUA KLH WEBSITE UNAMUONA KAMA MUNGU?

MWANAKIJIJI UNAJIABISHA SANA UKO NCHI ZA WATU UNAWEZA KUJIKUTA UKO TIMU YA ELTON JOHN KWA KUOMBAOMBA.

Hivi kupewa msaada ni dhambi?
 
Dada Asha,
Huu ni mkopo ambao ulitolewa kwa mkataba na naamini Mheshimiwa na timu yake walipitia kila kipengele na kukielewa kwa undani.Interest rate ya 30% ni kubwa lakini aliikubali na kama angekuwa mjanja kwa rate hiyo angemaliza kulipa hilo deni within the 6 years agreed terms but hadi sasa ni miaka 18, unategemea hilo deni lisikue? Na kwani Mbowe ni ani hadi awe na uwezo wa ku dictate kiasi ambacho anataka kulipa?

For the sake of Chadema, wanachama wenye uchungu hapa mngetakiwa sasa hivi mumshinikize Mwenyekiti wenu atoe tamko kuhusu hili suala au aachie ngazi mapema, its going to be a shame kama CCM itaendelea kuwa madarakani in 2010 and more shame kama hili litatokea kwa kuwa tu watu wanamuone haya Mbowe( au sijui ni kumuogopa? )


Kana

Kesi ikiwa mahakamani malipo yanakoma mpaka kesi imalizike. Ndivyo ambavyo imetokea kwa hiyo si kama amesusa. Ila muda wote ulikuwa ni wa kusubiri determination. Na unajua mahakama zetu. Huwezi kulipa kiwango ambacho sicho unachopaswa kulipa kwa hofu tu ya kwamba wewe ni mwanasiasa ukimbie madeni. Mwanasiasa mzuri zaidi ni yule mwenye kuweza kusimamia haki yake. Na ndivyo Mbowe alivyofanya katika sakata hili la NSSF. Tafuta records za mahakama uone ukweli; achana na propaganda za wakina Rostam na Ballile au waambie waweke wazi hizo barua zote na nyaraka zote ambao wameamua tu kunukuu mistari wanayoitaka wao kwa lengo la kupotosha

Asha
 
Kana

Kesi ikiwa mahakamani malipo yanakoma mpaka kesi imalizike. Ndivyo ambavyo imetokea kwa hiyo si kama amesusa. Ila muda wote ulikuwa ni wa kusubiri determination. Na unajua mahakama zetu. Huwezi kulipa kiwango ambacho sicho unachopaswa kulipa kwa hofu tu ya kwamba wewe ni mwanasiasa ukimbie madeni. Mwanasiasa mzuri zaidi ni yule mwenye kuweza kusimamia haki yake. Na ndivyo Mbowe alivyofanya katika sakata hili la NSSF. Tafuta records za mahakama uone ukweli; achana na propaganda za wakina Rostam na Ballile au waambie waweke wazi hizo barua zote na nyaraka zote ambao wameamua tu kunukuu mistari wanayoitaka wao kwa lengo la kupotosha

Asha
N.S.S.F................!MANENO YA BI ASHA HAYO.......!
 
Kana

Kesi ikiwa mahakamani malipo yanakoma mpaka kesi imalizike. Ndivyo ambavyo imetokea kwa hiyo si kama amesusa. Ila muda wote ulikuwa ni wa kusubiri determination. Na unajua mahakama zetu. Huwezi kulipa kiwango ambacho sicho unachopaswa kulipa kwa hofu tu ya kwamba wewe ni mwanasiasa ukimbie madeni. Mwanasiasa mzuri zaidi ni yule mwenye kuweza kusimamia haki yake. Na ndivyo Mbowe alivyofanya katika sakata hili la NSSF. Tafuta records za mahakama uone ukweli; achana na propaganda za wakina Rostam na Ballile au waambie waweke wazi hizo barua zote na nyaraka zote ambao wameamua tu kunukuu mistari wanayoitaka wao kwa lengo la kupotosha

Asha

Walitaka kupotosha na sasa wamechemsha!

Hii case ifikiwe hatima yake ili kijulikane au kama Rostam na wenzake wana ubavu basi iundwe kamati ya bunge kuchunguza haya madai
 
ROSTAM,MBOWE,HOSEA.......! MAFISADI WA NCHI HII........!!!!!
BENKI YA NYUMBA ILIKUFA KWA AJILI YA WAKOPAJI MAFISADI KAMA HAWA WA NSSF&BOT(EPA)........!
 
Kama kuna kosa kubwa mabalo Nyerere alililea ni lile la dhana potofu ya kuwa Utajiri ni sumu (Ubeari ni Unyama)!

Watanzania tumeendeleea kuwa vipofu na wagumu kukubali kuwa hata misahafu yazungumzia kuhusu jamee na falme zilivyokuwa na Utajiri. Tulichoshupalia kutoka misahafu na hasa biblia ni lile la yesu kuonyesha kuwa maskini ana nafasi kubwa kwenda Mbinguni kuliko tajiri. Hivyo basi kwa mafunzo ya kidini na itiadi tulizokuwa nazo za kijamaa zinatufanya tuhofie kuwa na mali, kuhofia kuwa matajiri eti tutaungua jehanamu.

Masaki umezungumzia kuwa Mbowe kuwa na kuishi kitajiri huku wananchi wanakufa na malaria, sijui ulitaka Mbowe aishi kimasikini au agawanye utajiri wake kwa kila mtu kwa kutoa chloroquine au chandarua?

Mbowe kakopa pesa, kaweka gumba na sahihi katika mkataba alipokopa. je kukopa ni uhalifu? je kuwa na mali au kuishi kwa fahari ni kosa la jinai? kwa mujibu wa katiba na vipengele vya sheria gani?

Mnaodai kuwa Mbowe kafeli elimu, sawa kafeli, yeye ni wa kwanza? Mnaodai kuwa mbowe anaishi maisha ya Anasa, je yeye ni wa kwanza? Mnaomuita mbowe mwizi, kaiba wapi?

Kwa wale mnaotuhumiwa kuwa makuwadi wa mafisadi, msifananishe mtu kukopa na mtu kuiba au kujipatia pesa kwa njia a udanganyifu!

mafisadi wenu walitengeneza kampuni hewa na kujichotea fedha; Uhujumu na Wizi! Mbowe kakopa, Lowassa kazembea kampuni hewa ikaingingia nchini na kuhujumu je mambo haya yanafanana?

Ni mawazo ya kidumavu na ambayo yanaturudisha nyuma kwa watu kuona kuwa kila mfanyabiashara mwenye mali ambaye kapata halali na kwa jashi lake, basi twamuona mwovu au fidhuli.

Ikiwa kuna mmoja wenu ana ushahidi kuwa Mbowe alijipatia utajiri wake kwa kuiba au kuhujumu, leteni huo ushahidi.

Hili la NPF-NSSF kutoa mkopo tayari mshatamka kuwa ni mkopo. ikiwa Mbowe atashindwa kulipa, kitakachomsibu kikubwa ni kufilisiwa mali za kampuni na si mali binafsi.

Hao mafisadi wenu wameiba na kujipatia fedha kwa udanganyifu BOT kupitia EPA. Waliosafi na wakopaji wazembe kama Mbowe walikwenda BOT wakakopa zile pesa za CIS kutoka Japan.

People! get your facts together!

Kishoka:
Mimi sikumbuki Nyerere aliposema kuwa 'kuwa tajiri ni sumu' nadhani hii ni 'interpretation' ya muono wako katika aliyoyazungumzia Nyerere kuhusu ubepari katika context ya maisha ya mTanzania yalivyokuwa. Translation ya maneno hayo haiwezi kuwa 'utajiri ni sumu.'
 
Kwenu Watanzania !
Nimesoma kwa makini kabisa kinachoendelea katika sakata la kibiashara ambalo Mh Mbowe anahusishwa na ukopaji wa kupita kiasi ! Nasema wakupita kiasi kwani Mh Mbowe alikuwa anajua kabisa mwenendo wa hizi benki zetu za nyumbani katika maswala yote ya kubadilisha fedha, hali ya kibenki ilivyokuwa na mahitaji yote ya vifaa vya utengenezaji ama ukarabati wa hizo nyumba zake za kibiashara .

Sitaki kuamini kuwa eti, Ukopaji huo wa Mh Mbowe ulikuwa wa kukurupuka bila kupiga hata mahesabu,Alisoma alama za nyakati na akaamua tena akiwa na Baba Mkwe ambaye alishawahi kuwa hata Gavana wa Benki inamaana alikuwa na kila sababu ya Kufanya Mkopo huo ufikie kilele kwani kama ni ushauri wa kifedha upo nyumbani kwa Mkwe wake kwahiyo vile visingizio alivyotoa huyo Meneja wa Biashara wa Bilicanas ni visingizio vya kitoto tu !

Kilicho mgharimu Mh Mbowe ni Maisha ya ANASA aliyoyaishi.....Anayoyaishi na Yatakayo endelea kumgharimu kama hata fanya mabadiliko katika maisha yake halisi ! Mimi hapa naona swala la Mh Mbowe kiuadilifu hakuna na wala asisimame jukwaani kuhubiri yale ambayo yeye hayafanyi, Kama atahubiri Uzalendo je, yeye ni mzalendo kiasi gani ? Na kama atasema ile ni kampuni ....Sasa anataka kutuambia kuwa kampuni inaundwa na nani kama sio watu tena ni hao hao watu ambao tunawatafuta huku kwa Akina Richard Monduli na EPA na kule BOT NA KWINGINE KWING TU !......Mh Mbowe, anaendesha gari aina ya Range Rover gari yenye thamani kubwa yapata hata Milllino 120, na hiyo nyumba anayoishi ni kufuru kwani mie nimeshawahi kufika yaani kila ukipiga hatua moja kutoka getini kwake kunawaka taa ambazo kila ukiiacha hatua moja nyuma inazimika...acheni wajameni ! Yaani maisha yake ni Anasa....Anasa tupu ! Ndio maana hata shule imemshinda kabisa pale Londoni !

Mh Mbowe anataka kuishi maisha ya watu waliomtangulia mbali kama akina Mengi, Bakhressa, Manji, Hossea yule wa PCB ! Ukiwaauliza hawa wote watakwambia ni Biashara lakini Tanzania Biashara zipo nyingi bwana......Huyu Hossea mimi sisemi yaani anabonge la Nyumba hapa Mbezi utadhani ni mfanya biashara kumbe ni mwajiriwa wa serikali ila kama utamuuliza Hossea ...Sijui atakujibu nini ??

Mh Mbowe ....Acha ...Anasa ! Ulipe hayo madeni manake sisi kama wanachama na wafanyabiashara wenzako...Tumejisikia vibaya sana kwani....Uzalendo huanzia Nyumbani !

EVEN FOOLS WE'RE RIGHT SOMETIMES !

Hii iko nje ya ukweli, chatu yupo shimoni wewe unarusha mawe kichakani. Dooo!

Fedha alitumia kukarabati Bilicanas siyo kutumbua.

Tatizo hapa ni kushindwa kulipa deni na ukweli kwamba kwa nini imechukua muda mrefu namna hii kukumbushia deni?
Huu ni mwaka 2008 deni ni la 1990 miaka 18 mizima. Msukumo wa kukumbushia deni hili ni nini?

Ni kitendo cha kumweleza ukweli MH Kikwete kwamba yeye ni Fisadi namba moja?

Mimi simtetei Mbowe hata kidogo kwa kitendo chake cha kwenda kinyume na mkataba.
Ila najiuliza kwa nini NSSF( mlalamikaji ) yuko kimya kwa miaka yote hii?
Kwa nini deni la mika 18 iliyo pita liwe gumzo la nguvu leo?

Habari hii kama ni ya kweli MH Mbowe anatakiwa kufikishwa mahakmani mara moja kujibu mashitaka.

Hata hivyo Mbowe hawezi kwenda mahakmani mpaka NSSF wafungue madai.
Mbowe hana kesi ya Jinai, kama kesi tutakazo wafungulia MH Kikwete ,MH Mkapa na wezi wengine wa fedha za Umma, yeye kesi yake ni ya madai.
 
Hapa tena tunaona udhaifu wa viongozi wetu hawa (watarajiwa).

Hainipi matumaini makubwa sana mimi mwananchi kwa kujua 'management style' ya namna hii ya kiongozi ninayemtarajia kuniongoza. Yaani hata kulipa deni inakuwa ni shida?

Sasa sijui tukimbilia wapi, Kikwete tumeona hayupo mbali sana na ufisadi; na kama sio fisadi kama baadhi ya watu wanavyotetea, basi ni 'incompetent,' 'negligent' au hata sijui tumwiteje huyu!
Maanake jina lake linajitokeza katika kila mkataba mbovu uliokwishasainiwa tokea miaka ya Mwinyi.

Labda Lipumba basi, ndie aliyebaki (at least katika mambo ya wizi na uzembe hayumo).
 
huku wamekimbia hawa mafisadi wa Chama cha wachagga (CHADEMA)
NJOONI MJIBU HAPA.

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=10807&page=23

Chinga,nimefuatilia mtiririko wa habari hii na hoja zako na nimegundua kuwa LAZIMA utakuwa na matatizo ya UELEWA.Hoja zako na mwanafunzi wa form one kwenye shule zilizofunguliwa za kata hakuna utofauti kabisa.Unabwabwaja na huna point hata kidogo.Matusi tuu.Y!!!! huh!! Naamini kama unasoma nje say USA basi unasomea CNA na kama uko Tanzania utakuwa unasoma masoo ya jioni kuipata credit ili uanze masomo ya A level.Kamwe na nasema katu kwa hoja zako huwezi kunambia kuwa umegusa high school. No na sitaki kushawishika na kuamini hivyo.Ungekuwa unatoka kule MUSOMA ningekuita "MATOME"
 
Tatizo hapa ni kushindwa kulipa deni na ukweli kwamba kwa nini imechukua muda mrefu namna hii kukumbushia deni?

Huu ni mwaka 2008 deni ni la 1990 miaka 18 mizima. Msukumo wa kukumbushia deni hili ni nini?

Habari hii kama ni ya kweli MH Mbowe anatakiwa kufikishwa mahakmani mara moja kujibu mashitaka.

Hata hivyo Mbowe hawezi kwenda mahakmani mpaka NSSF wafungue madai.


Madela Wa Madilu,
Labda inabidi urejee kwenye main story yenyewe na usome between the lines.
Kinachotokea sasa ni kwamba hili saga ndio limeanza kuandikwa magazetini na sio kwamba ndio deni linakumbushiwa.Ukisoma vizuri pia utaona kwamba hili suala limefikishwa mahakamani na kutolewa maamuzi mara mbili.
 
Chinga,nimefuatilia mtiririko wa habari hii na hoja zako na nimegundua kuwa LAZIMA utakuwa na matatizo ya UELEWA.Hoja zako na mwanafunzi wa form one kwenye shule zilizofunguliwa za kata hakuna utofauti kabisa.Unabwabwaja na huna point hata kidogo.Matusi tuu.Y!!!! huh!! Naamini kama unasoma nje say USA basi unasomea CNA na kama uko Tanzania utakuwa unasoma masoo ya jioni kuipata credit ili uanze masomo ya A level.Kamwe na nasema katu kwa hoja zako huwezi kunambia kuwa umegusa high school. No na sitaki kushawishika na kuamini hivyo.Ungekuwa unatoka kule MUSOMA ningekuita "MATOME"

Kwangu mimi A LEVEL IS NON ISSUE.MBOWE KAKIMBIA MASOMO ITAKUWA NA MIMI CHINGA BOY.

KWA TAARIFA YAKO NIMESOMA NGUMBARU AU HAPA NI KWA WASOMI TU?
TUNATOFAUTINA UONI MIMI MBOWE NAMUONA MBAKAJI, JAMBAWAZI NA FISADI KWAKO WEWE NI MUHESHIMWA.KWA MTAJI HUO LAZIMA UTANIONA SINA AKILI KWA KUMPINGA MUHESHIMIWA. MATUSI YAKO WAPI?

JUZI ALIKUWA KWENYE KITCHEN PARTY MWANAUME PEKEE YAKE SIJUI ALIKUWA ANAWASHIKIA POCHI KINA MUHONGA?
 
Madela Wa Madilu,
Labda inabidi urejee kwenye main story yenyewe na usome between the lines.
Kinachotokea sasa ni kwamba hili saga ndio limeanza kuandikwa magazetini na sio kwamba ndio deni linakumbushiwa.Ukisoma vizuri pia utaona kwamba hili suala limefikishwa mahakamani na kutolewa maamuzi mara mbili.

Kwa hiyo kilichoshindikana nini?

Kumfilisi mbowe au Mahakama kushindwa kutoa hukumu ya kumfilisi?

Watu wangapi wamefilisiwa mali zao Bongo?

Sasa huyu Mbowe anawashinda nini wakati hana pa kuegemea serikalini?

Serikali ina vyombo vya dola vya kuzuia maandamano tu?

Labda mahakama nazo siku hizi zimepungukiwa umaarufu!

Mtikila lishinda kesi ya mgombea binafsi hukumu hiyo haijatekelezwa mpka leo. Mbowe naye huku yake ilitolewa lakini haitekelezeki mpka serikali ije ilalamike huku kwetu walala hoi.

Serikali ime mbonji????
 
Kwangu mimi A LEVEL IS NON ISSUE.MBOWE KAKIMBIA MASOMO ITAKUWA NA MIMI CHINGA BOY.

KWA TAARIFA YAKO NIMESOMA NGUMBARU AU HAPA NI KWA WASOMI TU?
TUNATOFAUTINA UONI MIMI MBOWE NAMUONA MBAKAJI, JAMBAWAZI NA FISADI KWAKO WEWE NI MUHESHIMWA.KWA MTAJI HUO LAZIMA UTANIONA SINA AKILI KWA KUMPINGA MUHESHIMIWA. MATUSI YAKO WAPI?

JUZI ALIKUWA KWENYE KITCHEN PARTY MWANAUME PEKEE YAKE SIJUI ALIKUWA ANAWASHIKIA POCHI KINA MUHONGA?

kidali poh poh kidali poh...

kaishiwa hoja ... nilikushauri mapema hukusikia na sasa utalia hadi ukaukiwe!
 
Zitto Kabwe ni mchagga wa wapi? Sanya Juu au Rombo?
Chacha Wangwe naye ni mchagga?
Uchagga ni kabila au hali fulani?
Nieleweshe.

UNAJUA UKO MBALI NA TANZANIA.ALIYESEMA CHADEMA NI CHAMA CHA WACHAGGA NI CHACHA WANGWE HUNA KIPEPERUSHI CHAKE NIKUPE?
ALISEMA MBELE YA KAMATI KUU YA CHADEMA AKIOMBA KURA ZA UMAKAMU MWENYEKITI. NA MBOWE ANA MUOGOPA CHACHA WANGWE KWANI ALIWEKA WAZI SUALA HILI.

KAMA MKANUSHAJI ULITAKIWA UPELEKE UJUMBE HUKO KWENYE MKUTANO WA CHADEMA MWEZI NOVEMBER 2007.
 
Kwa hiyo kilichoshindikana nini?

Kumfilisi mbowe au Mahakama kushindwa kutoa hukumu ya kumfilisi?

Watu wangapi wamefilisiwa mali zao Bongo?

Sasa huyu Mbowe anawashinda nini wakati hana pa kuegemea serikalini?

Serikali ina vyombo vya dola vya kuzuia maandamano tu?

Labda mahakama nazo siku hizi zimepungukiwa umaarufu!

Mtikila lishinda kesi ya mgombea binafsi hukumu hiyo haijatekelezwa mpka leo. Mbowe naye huku yake ilitolewa lakini haitekelezeki mpka serikali ije ilalamike huku kwetu walala hoi.

Serikali ime mbonji????

Kweli kabisa Madilu,

kama anadaiwa kwa nini wasitekeleza amri ya mahakama au kuanzisha kesi mpya. Mimi sasa naitisha kuwe na tume huru ya bunge ya kufuatilia matumizi yote ya pesa za BoT kuanzia kwa Mkullo mpaka kwa wakopaji wengine wasiotaka kutwaja magazetini!
 
UNAJUA UKO MBALI NA TANZANIA.ALIYESEMA CHADEMA NI CHAMA CHA WACHAGGA NI CHACHA WANGWE HUNA KIPEPERUSHI CHAKE NIKUPE?
ALISEMA MBELE YA KAMATI KUU YA CHADEMA AKIOMBA KURA ZA UMAKAMU MWENYEKITI. NA MBOWE ANA MUOGOPA CHACHA WANGWE KWANI ALIWEKA WAZI SUALA HILI.

KAMA MKANUSHAJI ULITAKIWA UPELEKE UJUMBE HUKO KWENYE MKUTANO WA CHADEMA MWEZI NOVEMBER 2007.


wewe ndiye umesema hapa kuwa chadema ni chama cha wachaga? umeina na sasa umelowa! jibu maswali damn it!
 
Chinga,nimefuatilia mtiririko wa habari hii na hoja zako na nimegundua kuwa LAZIMA utakuwa na matatizo ya UELEWA.Hoja zako na mwanafunzi wa form one kwenye shule zilizofunguliwa za kata hakuna utofauti kabisa.Unabwabwaja na huna point hata kidogo.Matusi tuu.Y!!!! huh!! Naamini kama unasoma nje say USA basi unasomea CNA na kama uko Tanzania utakuwa unasoma masoo ya jioni kuipata credit ili uanze masomo ya A level.Kamwe na nasema katu kwa hoja zako huwezi kunambia kuwa umegusa high school. No na sitaki kushawishika na kuamini hivyo.Ungekuwa unatoka kule MUSOMA ningekuita "MATOME"

kwi kwi kwi ...

wewe majita... weewe... MATOME inamstahili kabisa huyu na habari zake za udaku. Hapa inabidi nitoke nje kidogo nicheke maana kuna mambo mengine inabidi mtu uyasome ukiwa umetulia nyumbani!
 
anayelia ni MBOWE, NAONA DOLA ELFU MBILI ZITAKUTOKEA PUANI.
Guys can we stick on issues? Kama kuna mwenye hoja dhidi ya Mhe. Mbowe ama yeyote tafadhali aziwakilishe kwa namna ambayo inaweza kumshawishi mhusika kuona umuhimu wa kujibu. Let's be serious... Otherwise mijadala mingine italazimika kuhamishiwa kwenye udaku ikiendelea kujadilika kidaku.

Think of it pls!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom