Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa?

Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa?

Status
Not open for further replies.
Naona mwanakijiji anakupa kiwewe sana dogo! Tulia acha kupanic ovyo maanake unadai unajua shule sana,sipati picha unavyotuaibisha huko shule kama uko nchi za wengine.

Yaani Mwanakijiji amekua ni bonge la nightmare kwako wewe kijana,


Pia,hili la watu wa Kilimanjaro naona kwako dokta ndiye anaweza kukusaidia tu hapa na washauri wa mambo ya kisaikolojia.Naona tatizo kubwa liko kwenye saikolojia.

Suala la kunitaka kurudisha mada kwenye siasa,pia ni tataizo la kisaikolojia pia kwani eti hata shule inawezekana ulikua ukifanya make up sana kwani hutaki hoja za moja kwa moja bila kurudia rudia.Inonekana umezoea sana,unaomba mechi zirudiwe kila sasa huku ukilia lia.

Kidali po!

Nakuambia wakiishiwa hoja ni viroja tu na vidali poh
 
Festog,

Soma hata katika habari yenyewe Rostam na Balille wameandika wenyewe:

Mwaka 1990 alikopa milioni 15.

Mwaka 1993 akalipa milioni 3.

Mwaka 1998 akalipa milioni 12

Mwaka 2006 alilipa milioni 50

Ila wakaongezea ushabiki kuwa malipo yalifanyika kwa kulazimishwa. Hebu nenda mahakamani uone kati ya NSSF na Mbowe nani alikuwa akikwepa kwepa.

Asha

Dada Asha,

Hawakujua walichoanzisha na sasa data zinamwaga hapa kama hakuna akili vile. Mimi nashauri iundwe tume ya bunge ya kuchunguza pesa za NSSF kuanzia mwaka 1990 ili Mkullo na wenzake watupe maelezo ya utajiri wao wakati pia deni la Mbowe (ambalo analipia) likijadiliwa na vyote - mahakama na tume!
 
Nakuambia wakiishiwa hoja ni viroja tu na vidali poh

Ben na wakuda wenzio mnaji dhalilisha . Sasa kumvaa huyu binti ndiyo kutawasaidia kuhalalisha Mbowe kudaiwa na iwe kwamba hafai katika Jamii ? Balile unajidhalilisha sana . Njaa zako hata waandishi wenzio wanakujua na unatumia kujifanya unajua data za Mbowe .Kweli fisadi ni nature una round face kama Rostam zote ni dalili za ushetani na wizi .Mjini hapa unajidhalilisha kuzusha ili kuziba kabisa watanzania wasidai pesa zao toka kwa mabwana zako CCM.
 
Masaki,

Unawashwa nini? Hili jina lako la Kusini kule lindi na mtwara au oysterbay?

Umeshindwa hoja unaanza vioja

Luv ya!

Asha

Mi nasema ukweli tu fitina kwangu mwiko. Mimi si mwanasiasa, na wala si mwanachama wa chama chochote cha siasa katika nchi hii.

Matatizo ya nchi yetu ni makubwa kuliko tunavyofikiria/tunavyoyachukulia (hasa kwa wanaoishi nje nchi). Tatizo nambari moja ni ujinga! Watanzania wengi hawana elimu ya kutosha. Na kubadili fikra "mind set" ya Watanzania walio wengi inahitaji kazi kubwa itakayotoa matunda katika kizazi kijacho, sio kizazi hiki. Kwa hiyo awe Mbowe, au Kikwete au Mrema mimi wala sijali. Ninachojali ni upeo wa Kiongozi mtajwa katika kutatua matatizo yetu kwa kuanza na kiini cha tatizo.
 
Dada Asha,

Hawakujua walichoanzisha na sasa data zinamwaga hapa kama hakuna akili vile. Mimi nashauri iundwe tume ya bunge ya kuchunguza pesa za NSSF kuanzia mwaka 1990 ili Mkullo na wenzake watupe maelezo ya utajiri wao wakati pia deni la Mbowe (ambalo analipia) likijadiliwa na vyote - mahakama na tume!



Naona Chinga na kada wameamua kuuchuna.Kwa hiyo Mkullo ana walakini maanake dataz zinazomwagwa ni noma,wataanza kupiga ramli kuomba mjadala ufe na wameuanza wenyewe.

Na hizo hela za taasisi kubwa kama hiyo kama Mkullo alishindwa kuzisimamia na kuziweka kwenye mashaka hivyo,inakuaje kikwete amteue kuwa waziri wa fedha?


Je,katika utajiri alioupata Mkullo kama si wa halali,je ni nini uhusiano wa Mkullo na Kikwete,
Je,inawezekana mkullo alisaidia kampeni za kikwete kupitia hela za NSSF?

Je,kupatiwa uwaziri inawezekana kuna fadhila fulani zinalipwa?

Well,hapa kuna mashaka makubwa kama Mkullo hakua kiongozi makini kwenye taasisi hiyo na still akapewa wadhifa mkubwa kama huo.Tuanzie kule kwenye unaibu wa wizara hiyo nyeti.

Kidali po!
 
Jamani hebu angalieni mahesabu haya:

Tunaambiwa katika makala hii kwamba Mbowe alikopa shilingi Milioni 15 mnapo mwaka 1990

Mbowe anadaiwa wastani wa sh milioni 1200 (sh bilioni 1.2), kutokana na deni alilochukua mwaka 1990 kwa nia ya kufanya upanuzi wa Mbowe Hotel ya jijini Dar es Salaam, maarufu kama Bilcanas
.

Then tunaambiwa hapa chini kwamba:
Baada ya kutoa malipo ya sh 3,000,000, wakurugenzi hao walikaa kimya na ilipofika Septemba 1996, NSSF iliamua kufungua kesi Mahakama Kuu. Kesi hiyo ya madai No. 277 ya mwaka 1996, ilikuwa ikidai Mkopaji alipe deni la msingi sh milioni 12 zilizokuwa zimesalia pamoja na riba.

kwa hiyo kwa maelezo ya hapo juu tunaona kwamba Ndani ya miaka mitano ya mkopo(kwa mujibu wa Mkataba mwaka wa kwanza hakutakiwa kulipa ) deni lilikuwa shilingi Milioni 12 na riba.

kisha hebu tazama hapa chini
Hatua hii iliwafanya wakurugenzi wa Mbowe Hotel kuomba suala hilo walimalize nje ya Mahakama. Hata hivyo, hawakuendelea kulipa hadi mwaka 1998, walipopewa tishio la kufungwa jela ndipo waliamua kulipa kwa mkupuo sh milioni 12.

Sasa hebu angalia upotofu wa hii makala:

Hadi wanatoa malipo hayo, deni lilikwishakuwa na kufikia wastani wa sh milioni 145.38, na kimsingi makubaliano ilikuwa ni kwamba deni hilo lingelipwa katika muda wa miezi 24 tangua tarehe ya makubaliano.
Haiwezekani mwaka 1996 deni liwe shilingi milioni 12 plus riba
then eti ghafla mwaka 1998 deni lile liwe limepanuka hadi milioni 145.38,hizi hesabu hazinipi hata kidogo
 
Ben na wakuda wenzio mnaji dhalilisha . Sasa kumvaa huyu binti ndiyo kutawasaidia kuhalalisha Mbowe kudaiwa na iwe kwamba hafai katika Jamii ? Balile unajidhalilisha sana . Njaa zako hata waandishi wenzio wanakujua na unatumia kujifanya unajua data za Mbowe .Kweli fisadi ni nature una round face kama Rostam zote ni dalili za ushetani na wizi .Mjini hapa unajidhalilisha kuzusha ili kuziba kabisa watanzania wasidai pesa zao toka kwa mabwana zako CCM.


Mkuu wangu,
Nimefanya nini tena? Unajua ni tusi kubwa kunilinganisha au kunicomfuse na hao wakuda? Hebu soma vizuri michango yangu ndugu yangu.Asante!
 
Heshima Zenu Wakuu !

Baada ya kuzipitia hizi exchange za hoja kuhusu Bwana Mbowe, Naanza kuogopa kuwa ile dhana kwamba JF ni FAIR & BALANCED kumbe ni MYTHICAL.

Hoja hii tulitakiwa tupate Evidence ili tuwe more objective, Lakini baadal yake Tunashuhudia jinsi UKADA wa CHADEMA kwa nguvu zote.

Kumbe huu ufisadi ni kosa to those in CCM kwa Kina CHADEMA ni ACCEPTABLE.

I beg to differ!!!

Unless we are prepared to be neautral when it comes to issues of national interest, the JF is simply a mouth piece of CHADEMA>

T U S I D A N G A N Y A N E. ITS a PITY.
 
Heshima Zenu Wakuu !

Baada ya kuzipitia hizi exchange za hoja kuhusu Bwana Mbowe, Naanza kuogopa kuwa ile dhana kwamba JF ni FAIR & BALANCED kumbe ni MYTHICAL.

Hoja hii tulitakiwa tupate Evidence ili tuwe more objective, Lakini baadal yake Tunashuhudia jinsi UKADA wa CHADEMA kwa nguvu zote.

Kumbe huu ufisadi ni kosa to those in CCM kwa Kina CHADEMA ni ACCEPTABLE.

I beg to differ!!!

Unless we are prepared to be neautral when it comes to issues of national interest, the JF is simply a mouth piece of CHADEMA>

T U S I D A N G A N Y A N E. ITS a PITY.

Hehe heheeeeeee

Unalia lia kwa kuwa hoja zimejibiwa kwa hoja? Haya ni mapambano kati ya ukweli na uwongo.

Ona Gamba la Nyoka alivyoidadavua habari ya Balile na mwenzio Rostam. Uhandisi wao wa habari unaanza kudhihirika taratibu, mwishowe wahariri wa habari corporation wataadhirika!

Hebu sema, kwa lipi watu hawako neutral?

Kumwita Rostam mwizi na Mbowe mjasiriamali anayedaiwa mkopo benki?

Asha
 
Heshima Zenu Wakuu !

Baada ya kuzipitia hizi exchange za hoja kuhusu Bwana Mbowe, Naanza kuogopa kuwa ile dhana kwamba JF ni FAIR & BALANCED kumbe ni MYTHICAL.

Hoja hii tulitakiwa tupate Evidence ili tuwe more objective, Lakini baadal yake Tunashuhudia jinsi UKADA wa CHADEMA kwa nguvu zote.

Kumbe huu ufisadi ni kosa to those in CCM kwa Kina CHADEMA ni ACCEPTABLE.

I beg to differ!!!

Unless we are prepared to be neautral when it comes to issues of national interest, the JF is simply a mouth piece of CHADEMA>

T U S I D A N G A N Y A N E. ITS a PITY.

Ndugu mpendakwao kuna kitu hapa unakosea.Watanzania wamechoka na uongo wa wana CCM na wako wengi hata mataani ukienda ila hawana forum.Hapa JF wote wanao kuja hapa wamechoka sana na mambo longo longo na ndiyo maana unayaona haya . Kusema JF ni mali ya Chadema you are wrong tena sana .Hii ni sauti ya watu wenye akili na upendo na leo ukija na ujinga wa kumtukana Mbowe na kuondoa watu kwenye issues za EPA watu watakuangukia na ndiyo unayo yaona .
 
Heshima Zenu Wakuu !

Baada ya kuzipitia hizi exchange za hoja kuhusu Bwana Mbowe, Naanza kuogopa kuwa ile dhana kwamba JF ni FAIR & BALANCED kumbe ni MYTHICAL.

Hoja hii tulitakiwa tupate Evidence ili tuwe more objective, Lakini baadal yake Tunashuhudia jinsi UKADA wa CHADEMA kwa nguvu zote.

Kumbe huu ufisadi ni kosa to those in CCM kwa Kina CHADEMA ni ACCEPTABLE.

I beg to differ!!!

Unless we are prepared to be neautral when it comes to issues of national interest, the JF is simply a mouth piece of CHADEMA>

T U S I D A N G A N Y A N E. ITS a PITY.

Mkuu,
Ni nani aliye argue bila evidence hapa? Hivi wewe mkuu huoni tatizo la manazi wa CCM kushindwa kutofautisha jambazi na mjasiriamali? Hili ni tatizo serious kwa taifa letu.Mimi naomba kutamka wazi kwamba NAIPENDA CHADEMA na sera zao nzuri na wana karibia kila kitu ambacho watanzania na kizazi kijacho kinadeserve inspite of some shortcomings.

However,my arguments always are beyond partisan unless nigundue kuna watu wamekuja kueneza propaganda dhidi ya CHADEMA na viongozi wake.I wont tolerate at any cost.

Well,najali Taifa langu,na nina uzalendo wa kutosha kulitumikia taifa langu.Anapokuja adui anaetishia uhai wa taifa langu nitapambana nae kwa nguvu.Kwani hata kuidhoofisha CHADEMA au viongozi wake kwangu mimi nauita uharamia dhidi ya Taifa langu kwani Tanzania na watanzania wanaihitaji sana CHADEMA Kuliko mafisadi na manazi wao wanavyodhani.So,dont expect fairness from me linpokuja suala serious linalogusa upendo wangu kwa nchi yangu.
 
Ndugu mpendakwao kuna kitu hapa unakosea.Watanzania wamechoka na uongo wa wana CCM na wako wengi hata mataani ukienda ila hawana forum.Hapa JF wote wanao kuja hapa wamechoka sana na mambo longo longo na ndiyo maana unayaona haya . Kusema JF ni mali ya Chadema you are wrong tena sana .Hii ni sauti ya watu wenye akili na upendo na leo ukija na ujinga wa kumtukana Mbowe na kuondoa watu kwenye issues za EPA watu watakuangukia na ndiyo unayo yaona .


Baab kubwa mkuu,

Nimemuelewesha huyu ndugu hapo juu.Sijui watu wengine wana mioyo migumu namna gani.Duh!
 
Huyu makengeza Mbowe inatakiwa apelekwe mahakamani haraka sana. ADEN RAGE alifungwa kwa milioni tatu tu.

hili ni jamba wazi kubwa la huko HULL inawezekana ni wanted.
 
Tuache ushabiki wa kisiasa usiokuwa na maana, the good thing with members kama mimi ni kwamba sina affiliation na chama chochote cha siasa so nina uhuru wa kumchabanga mwanasiasa yoyote regardless ya chama anachotoka.

Its wrong kumuita Mbowe Mwizi kwa kuwa hajaiba, kuna tofauti kati ya kukopa na kuiba na kamwe hatuwezi kumuweka katika kundi moja na mafisadi-wezi wa CCM.


Mapato ya Hard Rock, Billicanas, Much More na Sugar Mama kwa mwezi yangemuwezesha Mbowe na timu yake kulipa milioni 3 kwa mwezi bila matatizo kama kweli walikua na nia ya kulipa kama makubaliano ya mwanzo kabisa yalivyodai (1990- 6 years repayments of 3ml every month).Badala yake amekaa for 3 years (1993) ndio akafanya 1st repayment baada ya kupigwa mkwala then jiii. Akalipa tena 12m (1998) na 50m (2006)baada ya mkwala wa mahakama kumkamata.

Talk about Mbowe ni kwamba unamuongelea potential president hapa.Habari za hili deni sio uzushi kwa kuwa vilelezo vyote vimetolewa kwenye hiyo habari hapo juu na utaona kwamba hili suala ambalo hata mahakama imelitolea maamuzi, tena mara mbili. Zaidi ya yote mkopo huu umetolewa kwa mkataba ambao naamini Mh. Mbowe alichukua muda kuusoma na kulewa kila kipengele.Ndio maana unaona hadi leo hii na yeye amegeuka kuwa kama Mkapa sasa, hajaongea chochote kuhusiana na hili. Hivi ni kweli tunahitaji rais ambaye atakuwa haheshimu hata mikataba midogo midogo? Raisi ambaye anakaidi hata amri za mahakama? Hivi kweli mnadhani bado watanzania ni mbumbumbu kiasi cha kumchagua mtu kama huyu awe Raisi wao?

Wakati mwingine natamani sana nchi yangu iwe na Rais tajiri, mtu ambaye hana njaa kabisa na hatoingia vishawishi vya kijinga kwa kuwa ana kila kitu. Lakini pia kwa upande mwingine ningependa Rais wangu awe ni mtu ambaye amepitia kwenye umaskini, anaujua umaskini inside out, someone who knows how it feels to go a day without food. Nina hofu kama hujawahi kulala njaa maisha yako yote ni vigumu kuamini kwamba kuna watu wanalala njaa, na kama hutembelei barabara ni vigumu kuamini ubovu wa barabara unaolalamikiwa na wananchi, na kama kipindi hiki tu ambacho unausaka Uraisi unatembelea helikopta je ukiupata huo uraisi itakuwaje? Kwanini asitembelee gari tu akapata nafasi ya kusimama na kusalimiana na kusikiliza shida za wananchi wa kila kijiji? Kama mvua ikinyesha gari lake likizama na akakwama mahali na wananchi kwa siku mbili tatu- kura ngapi zaidi hapo atakuwa amejipatia?

Kama una mapenzi ya kweli na Chadema, you must be concerned now, 2010 ndio hiyo inakuja na chama kinaonyesha mwelekeo mzuri lakini kama hii kasumba ya kisisiemu ya kulindana regardless ya utumbo gani mtu amefanya itaendekezwa ndani ya chama hiki basi wana Chadema mjiandae na kilio, tena kwa sababu ya mtu mmoja tu. Kuna watu wengi safi ambao hawana doa kwenye history zao na ni wachapa kazi ndani ya Chadema, sioni ni kwanini wasipewe hiyo nafasi, sio lazima awe Mbowe.
 
Huyu makengeza Mbowe inatakiwa apelekwe mahakamani haraka sana. ADEN RAGE alifungwa kwa milioni tatu tu.

hili ni jamba wazi kubwa la huko HULL inawezekana ni wanted.

naona umeishiwa sasa umeanza kutumia lugha mbovu ili ufungiwe hapa na uanze kulilia kidali po...

ha ha ha .... yamekushinda.... hii ni JF kama hukujua, watoto wanaishia darhotwire na sio hapa.
 
Tuache ushabiki wa kisiasa usiokuwa na maana, the good thing with members kama mimi ni kwamba sina affiliation na chama chochote cha siasa so nina uhuru wa kumchabanga mwanasiasa yoyote regardless ya chama anachotoka.

Its wrong kumuita Mbowe Mwizi kwa kuwa hajaiba, kuna tofauti kati ya kukopa na kuiba na kamwe hatuwezi kumuweka katika kundi moja na mafisadi-wezi wa CCM.


Mapato ya Hard Rock, Billicanas, Much More na Sugar Mama kwa mwezi yangemuwezesha Mbowe na timu yake kulipa milioni 3 kwa mwezi bila matatizo kama kweli walikua na nia ya kulipa kama makubaliano ya mwanzo kabisa yalivyodai (1990- 6 years repayments of 3ml every month).Badala yake amekaa for 3 years (1993) ndio akafanya 1st repayment baada ya kupigwa mkwala then jiii. Akalipa tena 12m (1998) na 50m (2006)baada ya mkwala wa mahakama kumkamata.

Talk about Mbowe ni kwamba unamuongelea potential president hapa.Habari za hili deni sio uzushi kwa kuwa vilelezo vyote vimetolewa kwenye hiyo habari hapo juu na utaona kwamba hili suala ambalo hata mahakama imelitolea maamuzi, tena mara mbili. Zaidi ya yote mkopo huu umetolewa kwa mkataba ambao naamini Mh. Mbowe alichukua muda kuusoma na kulewa kila kipengele.Ndio maana unaona hadi leo hii na yeye amegeuka kuwa kama Mkapa sasa, hajaongea chochote kuhusiana na hili. Hivi ni kweli tunahitaji rais ambaye atakuwa haheshimu hata mikataba midogo midogo? Raisi ambaye anakaidi hata amri za mahakama? Hivi kweli mnadhani bado watanzania ni mbumbumbu kiasi cha kumchagua mtu kama huyu awe Raisi wao?

Wakati mwingine natamani sana nchi yangu iwe na Rais tajiri, mtu ambaye hana njaa kabisa na hatoingia vishawishi vya kijinga kwa kuwa ana kila kitu. Lakini pia kwa upande mwingine ningependa Rais wangu awe ni mtu ambaye amepitia kwenye umaskini, anaujua umaskini inside out, someone who knows how it feels to go a day without food. Nina hofu kama hujawahi kulala njaa maisha yako yote ni vigumu kuamini kwamba kuna watu wanalala njaa, na kama hutembelei barabara ni vigumu kuamini ubovu wa barabara unaolalamikiwa na wananchi, na kama kipindi hiki tu ambacho unausaka Uraisi unatembelea helikopta je ukiupata huo uraisi itakuwaje? Kwanini asitembelee gari tu akapata nafasi ya kusimama na kusalimiana na kusikiliza shida za wananchi wa kila kijiji? Kama mvua ikinyesha gari lake likizama na akakwama mahali na wananchi kwa siku mbili tatu- kura ngapi zaidi hapo atakuwa amejipatia?

Kama una mapenzi ya kweli na Chadema, you must be concerned now, 2010 ndio hiyo inakuja na chama kinaonyesha mwelekeo mzuri lakini kama hii kasumba ya kisisiemu ya kulindana regardless ya utumbo gani mtu amefanya itaendekezwa ndani ya chama hiki basi wana Chadema mjiandae na kilio, tena kwa sababu ya mtu mmoja tu. Kuna watu wengi safi ambao hawana doa kwenye history zao na ni wachapa kazi ndani ya Chadema, sioni ni kwanini wasipewe hiyo nafasi, sio lazima awe Mbowe.

Kana Kansungu

Wewe ni kati ya watu wanaoheshimika humu kwa kuchambua kabla ya kusema. Hebu kasome kidogo mtiririko wa matukio kuhusu suala hili utaelewa kwa nini Mbowe aligoma kulipa kiasi kilichotajwa, na wakati wote aliweka bayana kiasi ambacho alikuwa tayari kulipa wakati wowote kama mahakama ingeelekeza. Na alikilipa, the rest ni yada yada ya Rostam Aziz na Balille. Tusubirini Mbowe ajitokeze na kuanika nyaraka zote ndipo Rostam atakapoaibika. We unadhani kwani nini NSSF kama taasisi miaka yote hiyo wameuchuna? Wanajua kinachoendelea

Asha
 
Kana Kansungu

Wewe ni kati ya watu wanaoheshimika humu kwa kuchambua kabla ya kusema. Hebu kasome kidogo mtiririko wa matukio kuhusu suala hili utaelewa kwa nini Mbowe aligoma kulipa kiasi kilichotajwa, na wakati wote aliweka bayana kiasi ambacho alikuwa tayari kulipa wakati wowote kama mahakama ingeelekeza. Na alikilipa, the rest ni yada yada ya Rostam Aziz na Balille. Tusubirini Mbowe ajitokeze na kuanika nyaraka zote ndipo Rostam atakapoaibika. We unadhani kwani nini NSSF kama taasisi miaka yote hiyo wameuchuna? Wanajua kinachoendelea

Asha

Mimi namchallenge Kikwete au Mkullo waunde tume huru kuchunguza madeni na matumizi ya pesa ya NSSF ili wezi wajulikane katika hili..... hii imewageukia hadi wamechoka... This is JF, haya sio magazeti ya uhuru hapa ... hapa ni data tu na hakuna kingine
 
Hivi hawa watu wanaomkomalia mbowe mbona mi siwaelewi? jamaa kakopa na iko kwenye maandishi na wala hajakana, tatizo liko wapi? au mnataka wahindi tu ndo wawe wanakopa kwenye financial inst zetu? mbona hawasemwi? Baldala ya kuwakomalia mafisadi walioiba EPA na Richmond and many others, tunakomaa na mbowe ambaye kakopa na hajaiba. Hii ni kujaribu kuzima ishu za BOT na Richmond, na tunawaambia halali mtu hapa hadi kieleweke. We are watching you closely

..true dat, kalagabaho hawa!!
 
Mkuu,
Ni nani aliye argue bila evidence hapa? Hivi wewe mkuu huoni tatizo la manazi wa CCM kushindwa kutofautisha jambazi na mjasiriamali? Hili ni tatizo serious kwa taifa letu.Mimi naomba kutamka wazi kwamba NAIPENDA CHADEMA na sera zao nzuri na wana karibia kila kitu ambacho watanzania na kizazi kijacho kinadeserve inspite of some shortcomings.

However,my arguments always are beyond partisan unless nigundue kuna watu wamekuja kueneza propaganda dhidi ya CHADEMA na viongozi wake.I wont tolerate at any cost.

Well,najali Taifa langu,na nina uzalendo wa kutosha kulitumikia taifa langu.Anapokuja adui anaetishia uhai wa taifa langu nitapambana nae kwa nguvu.Kwani hata kuidhoofisha CHADEMA au viongozi wake kwangu mimi nauita uharamia dhidi ya Taifa langu kwani Tanzania na watanzania wanaihitaji sana CHADEMA Kuliko mafisadi na manazi wao wanavyodhani.So,dont expect fairness from me linpokuja suala serious linalogusa upendo wangu kwa nchi yangu.

Kuna mtu hapa anawatete IMMA na Masha kwa nguvu na hadi sasa kila dalili ya ufedhuli unaonekana na bado watu wanasimama na kukomaa kupinga iweke Mbowe asakamwe na watu wanajua kwamba hajaiba wala nini na anapambana na wezi aache kutetewa ?
 
Kuna mtu hapa anawatete IMMA na Masha kwa nguvu na hadi sasa kila dalili ya ufedhuli unaonekana na bado watu wanasimama na kukomaa kupinga iweke Mbowe asakamwe na watu wanajua kwamba hajaiba wala nini na anapambana na wezi aache kutetewa ?

Murangira,

wewe acha waanze hii issue ya NSSF kwani hata Kikwete naye atakuwa na kesi ya kujibu ya "kumteua" Mkullo kuwa waziri wa fedha!

Kama wanadhani mkopo wa Mbowe huko NSSF ni issue, basi wafungue kesi mahakamani au wafuate ushauri wangu wa kuunda kamati huru ya bunge kuchunguza hiki then ndio ijulikane nani kafilisi nchi!

Mbowe keshalipa zaidi ya millioni 50 (kumbuka alikopa 15) lakini wao wakaanza usanii. Hapa ni mahakama tu au tume huru na kisha mr Mkullo atakuja kwenye spot light bila kupenda...

kamata viatu vya kuchezea ukijiandaa kucheza muziki wa kizazi kipiyaaaa.... tik tak tik tak....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom