Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 366
....Mbowe aligoma kulipa kiasi kilichotajwa, na wakati wote aliweka bayana kiasi ambacho alikuwa tayari kulipa wakati wowote kama mahakama ingeelekeza. Na alikilipa, the rest ni yada yada ya Rostam Aziz na Balille. Tusubirini Mbowe ajitokeze na kuanika nyaraka zote ndipo Rostam atakapoaibika
Dada Asha,
Huu ni mkopo ambao ulitolewa kwa mkataba na naamini Mheshimiwa na timu yake walipitia kila kipengele na kukielewa kwa undani.Interest rate ya 30% ni kubwa lakini aliikubali na kama angekuwa mjanja kwa rate hiyo angemaliza kulipa hilo deni within the 6 years agreed terms but hadi sasa ni miaka 18, unategemea hilo deni lisikue? Na kwani Mbowe ni ani hadi awe na uwezo wa ku dictate kiasi ambacho anataka kulipa?
For the sake of Chadema, wanachama wenye uchungu hapa mngetakiwa sasa hivi mumshinikize Mwenyekiti wenu atoe tamko kuhusu hili suala au aachie ngazi mapema, its going to be a shame kama CCM itaendelea kuwa madarakani in 2010 and more shame kama hili litatokea kwa kuwa tu watu wanamuone haya Mbowe( au sijui ni kumuogopa? )