Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa?

Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa?

Status
Not open for further replies.
ASANTE UMEMJUA ALIVYOKUWA MNAZI WA MBOWE NA SACOSS YAO (CHADEMA).

NDIO SASA WAMEVAMIA SANA HUMU UTAONA MWANAKIJIJI ANAINGIA NA KANZU MPYA ZA MADELA WA MADILU,KOBA, BEN NA ANA BAZEE LA MWAFRIKA WA KIKE.

NA HUYU ANAYEZAA BAZEE LA ASHA ABDALLAH ALIKUWA AKITUMIA KANZU YA MWANASIASA TULIPOMBANA AKAJA LIVE NA MKUMBO ILA ANA KANZU NYINGINE YA FUNDI MCHUNDO.

LAKINI WANAJIDANGANYA WENYEWE NA KUMUIBIA MBOWE KUWA KUNA WANACHADEMA WENGI WANAJIBU KUMBE WAO WENYEWE.

gotcha !!!!!!!!!! hao wanafahamika na wanapofanya hivyo ni kwamba wanaogopa nafsi zao tu kwa kutojiamini !
 
Habari hizi katika gazeti la Majira kwa kweli zimenishtuwa kwani viongozi wa CHADEMA siku zote hushutumu Serikali ya CCM kwa ufisadi lakini kwa mujibu wa hili gazeti yaonekana BORITI la Ufisadi pia limo ndani mwa CHADEMA!! hembu someni hapa....http://majira.co.tz/kurasa.php?soma=tanzania&habariNamba=5987

Nani kaibiwa?
Kukopa ni sawa na kuiba?
Kudaiwa ni ufisadi siku hizi?
Vipi mbowe naye anarudisha kisirisiri watu wasijue?
 
Nani kaibiwa?
Kukopa ni sawa na kuiba?
Kudaiwa ni ufisadi siku hizi?
Vipi mbowe naye anarudisha kisirisiri watu wasijue?

end.gif
 
article yenyewe ni hii !

Mzimu wa ufisadi waingia upinzani

Habari Zinazoshabihiana
*Mbowe atakiwa akamatwe na Polisi
*Ni kwa deni la sh. bilioni 1.2 NSSF


Na Mwandishi Wetu

MZIMU wa ufisadi unaoendelea kutikisa taasisi na sekta mbalimbali nchini, sasa umeigeukia kambi ya upinzani na kuzua mtafaruku huku baadhi ya viongozi wakitofautiana na kushinikiza wenzao wachukuliwe hatua za kisheria.

Sakata hilo limekuja siku moja baada ya gazeti moja la kila wiki, kuandika habari ikimhusisha Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Freeman Mbowe na kashfa ya kukopa mamilioni ya fedha katika Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na kwamba hajalipa.

Gazeti hilo lilidai, kwamba Bw. Mbowe alikopa fedha hizo mwaka 1990 kwa nia ya kufanya upanuzi wa hoteli yake ya Mbowe, maarufu kama Billcanas, Dar es Salaam.

Likaeleza kuwa kumbukumbu zilizopo zinaonesha kuwa alichukua deni la mkopo huo kwa kutiliana saini kati yake na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NPF) ambalo baadaye lilibadilishwa jina na kuwa NSSF. Mkopo huo sasa umekua na kufikia zaidi ya sh. milioni 1,200 kutokana na riba inayotokana na deni hilo.

Akizungumza katika ofisi za gazeti hili jana, Mwenyekiti wa Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Bw. Paul Kyara, alidai kusikitishwa na kitendo cha kutokamatwa hadi sasa kwa Bw. Mbowe kwa kile alichodai kutolipa fedha hizo, kwani notisi ilishatolewa tangu Desemba 5 mwaka juzi, ikielekeza akamatwe kabla ya Desemba 12, 2006.

Bw. Kyara amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini kutoa maelezo kwa nini amri ya Mahakama Kuu ya kukamatwa, Bw. Mbowe haijatekelezwa na kuitaka NSSF iwajibike kwa kile alichodai ni kushindwa kusimamia vizuri fedha za wafanyakazi na wastaafu.

Katika hatua hiyo inayoonesha mvutano miongoni mwa viongozi wa vyama vya upinzani, Bw. Kyara pia alimtaka Bw. Mbowe kuvunja ukimya na kutoa tamko la kwa nini hajisalimishi Polisi na hajalipa deni hilo na kudai kuwa ufisadi wa viongozi wa vyama vya upinzani, unavipunguzia uwezo wa kukemea maovu ya Serikali na chama tawala.

"Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kinapenda kueleza masikitiko yake ya taarifa zilizoripotiwa na vyombo vya habari jana (juzi) za kupotea kwa sh. milioni 1,200 za Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) zinazotokana na Bw. Freeman Mbowe kukataa kulipa deni alilokopa NSSF tangu wa mwaka 1990," alisema Mwenyekiti huyo na kuongeza:

"Hapa nchini kumekuwa na upotevu mwingi wa fedha na mwingine unapita bila kuripotiwa na vyombo vya habari, katika hili chama cha SAU kinalitaka Jeshi la Polisi liwaeleze wananchi ni kwa nini linashindwa kuwakamata wahusika licha ya kuwapo notisi ya Mahakama ya kufanya hivyo...tuambiwe kama katika Taifa hili wapo watu wako juu ya sheria hata wakifanya makosa."

Alipotakiwa kujibu swali kwamba hatua yake ya kumshambulia Bw. Mbowe imelenga kudhoofisha nguvu ya kambi ya upinzani, Bw. Kyara alikanusha na kueleza kuwa upinzani si kichaka cha kuficha mafisadi na Bw. Mbowe amekuwa mstari wa mbele katika vita ya kupinga mafisadi, hivyo anapaswa kuwa safi.

Hatua hii inaonekana kugeuza wimbi la tuhuma za ufisadi kutoka kwa viongozi wa Serikali na kuhamia kwa kambi ya upinzani ambayo imekuwa siku zote mstari wa mbele kupasua mabomu yaliyohusu mikataba ya Buzwagi, Richmond na ubadhirifu wa fedha za Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Katika kambi ya upinzani, CHADEMA ndiyo imekuwa na wabunge waliopigia kelele sana masuala haya akiwamo Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe na Mbunge wa Karatu, Bw. Willbroad Slaa.
 
end.gif










xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
 
its really interesting how UFISADI ulivyochukua sura mpya, kumbe waliuanza tokea zamani. now we know why !
 
end.gif










xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
YAMEKUWA HAYA TENA....! ALUTA CONTINUA......MWENYEKITI WA (SAU) PAUL KYARA......AMESEMA.....
 
Kada Mpinzani na Chinga naona kweli mnamkoma nyani mchana kweupeeee!!!!!

Watu kimyaaaa, kama vile hawapo,

Ama kweli kisu kimefika kwenye mfupa.

hebu endeleeni kutupasha yanayomhusu huyu Fisadi Mpinzani Mbowe, maana ukimtaja tu humu JF unaonekana kama umeingia msikitini na mbwa.
 
Huyu Kyara Wa Sau Hakuna Asiyejuwa Kuwa Ni Njaa Inamsumbua Sasa Anatafuta Sapoti Ccm Angalau Apate Pesa Ya Kununua Dawa Ya Kupiga Wale Mende Wapungue Ktk Ile Gest Yake Ambayo Mwenyewe Anaiita Legho Hotel Na Pia Aweze Kupata Pesa Ya Kununua Rv Ile Dawa Ya Kupunguza Makali Ya Ukimwi Unaomtesa,
 
Suala likiwa mahakamani huwezi kulipa. Unajua mahakama zetu. Kesi hii wameipiga danadana kwa miaka 10 na ni NSSF ndio waliukuwa wanaacha kwenda mahakamani. Lakini Mbowe alipochoka na yeye akaacha kwenda mahakamani ndio order ya kumkamata ikatolewa. Ona double standard. Ni kama ile kesi ya Lissu na Mrema kuhusu Bulyankulu; toka 1996 wakienda wao mahakamani kesi inaahirishwa kwa upande wa mashtaka kutokutokea, wakiacha kwenda wao inatolewa order wakamatwe.

Hebu jiulize, ni toka lini kesi ya madai ambao kampuni ndio inadaiwa pakatolewa order kama hiyo ambayo Menento aliitoa bila ya upande wa pili kuitwa mahakamani?

Hebu fuatilieni kabla ya kusema jamani

Asha


Asha,

Najua kuwa unampenda sana Mbowe kama unavyojipenda wewe mwenyewe,

Ninatambua kuwa unaipenda CHADEMA kama unavyompenda Mbowe

Lakini katika hili la deni la NSSF na Mbowe hoja zako hazina nguvu, kama kweli unahitaji hoja za nguvu za kumsaidia Bw. Mbowe, tafadhali mwambie ukweli kwamba 'ameharibu' katika kipindi kibaya sana, tena naomba mumshauri ajitokeze ajieleze ili wananchi waelewe ni lini atazilipa hizo pesa zao ambazo anazishikilia bila ya kuwa na uhalali nazo kwa sasa wakati kuna waastafu wanazisubiri, kuna wagonjwa wanahitaji hizo pesa kwa ajili ya matibabu.

Fanya hima umfikishie ushauri huo, najua mnamwogopa for some reasons lakini labda wewe ndiye unaesubiriwa kumwambia 'mfalme kuwa yuko uchi'
 
Asha,

Najua kuwa unampenda sana Mbowe kama unavyojipenda wewe mwenyewe,

Ninatambua kuwa unaipenda CHADEMA kama unavyompenda Mbowe

Lakini katika hili la deni la NSSF na Mbowe hoja zako hazina nguvu, kama kweli unahitaji hoja za nguvu za kumsaidia Bw. Mbowe, tafadhali mwambie ukweli kwamba 'ameharibu' katika kipindi kibaya sana, tena naomba mumshauri ajitokeze ajieleze ili wananchi waelewe ni lini atazilipa hizo pesa zao ambazo anazishikilia bila ya kuwa na uhalali nazo kwa sasa wakati kuna waastafu wanazisubiri, kuna wagonjwa wanahitaji hizo pesa kwa ajili ya matibabu.

Fanya hima umfikishie ushauri huo, najua mnamwogopa for some reasons lakini labda wewe ndiye unaesubiriwa kumwambia 'mfalme kuwa yuko uchi'

Naombeni namba ya Mbowe jamani nimpe maneno yangu. Rostam na Balille katika gazeti lako wamekiri kuwa alikopa milioni 15 tu; na wamesema wenyewe kuwa ameshalipa milioni zaidi ya 60. Sasa je, ni fedha zipi hizo ambazo wastaafu wanasubiri? je, ni kweli kwamba Mbowe amefilisi NSSF kama fisadi Rostam Aziz na mtwana wake Balille wanavyotaka tuamini? Nataka nimwambie Mbowe ajitokeze asema jamani. Wanachadema wote, mwambie Mwenyekiti aseme jamani. Hawa mafisadi wanatumia ukimya wake kama silaha. Wanataka kumfanya mkopaji aonekane fisadi ili kupunguza hukumu ya umma dhidi ya ufisadi wao. Wanataka kumtumia mbowe kujenga hoja kuwa taifa zima limeoza. Tumewashtukia. Mbowe sema jamani

Asha
 
Naombeni namba ya Mbowe jamani nimpe maneno yangu. Rostam na Balille katika gazeti lako wamekiri kuwa alikopa milioni 15 tu; na wamesema wenyewe kuwa ameshalipa milioni zaidi ya 60. Sasa je, ni fedha zipi hizo ambazo wastaafu wanasubiri? je, ni kweli kwamba Mbowe amefilisi NSSF kama fisadi Rostam Aziz na mtwana wake Balille wanavyotaka tuamini? Nataka nimwambie Mbowe ajitokeze asema jamani. Wanachadema wote, mwambie Mwenyekiti aseme jamani. Hawa mafisadi wanatumia ukimya wake kama silaha. Wanataka kumfanya mkopaji aonekane fisadi ili kupunguza hukumu ya umma dhidi ya ufisadi wao. Wanataka kumtumia mbowe kujenga hoja kuwa taifa zima limeoza. Tumewashtukia. Mbowe sema jamani

Asha

Suala sio MBOWE kujitokeza na kueleza yanayomkabiri kwa sababu unataka wewe, ILA MBOWE AJITOKEZE NA KUJITBU KWA SABABU HE HAS TO ! get it ?Sidhani kama kuna mtu anatumia ukimya wa mbowe kum-attack ! No, mtanzania aka freemedia halisi ni la nani ? kwa nini asikanushe huko kwenye gazeti lake/lao la chama? hawezi kwa sababu anajua mambo yatapamba moto ! If he can, i dare him !
 
Huyu Kyara Wa Sau Hakuna Asiyejuwa Kuwa Ni Njaa Inamsumbua Sasa Anatafuta Sapoti Ccm Angalau Apate Pesa Ya Kununua Dawa Ya Kupiga Wale Mende Wapungue Ktk Ile Gest Yake Ambayo Mwenyewe Anaiita Legho Hotel Na Pia Aweze Kupata Pesa Ya Kununua Rv Ile Dawa Ya Kupunguza Makali Ya Ukimwi Unaomtesa,

Wrong statement, hizo dawa zinatolewa bure na serikali katika mpango wake wa kupunguza na kuhudumiwa waathirika wa ukimwi taifa !
 
Kada Mpinzani Na Chinga Moja Kwa Moja Mnaonekana Kunufaika Kwa Namna Moja Au Nyingine Na Ufisadi Unaofanywa Na Utawala Wa Ccm, Ushauri Wangu Ni "punguzeni Njaa"
 
Naombeni namba ya Mbowe jamani nimpe maneno yangu. Rostam na Balille katika gazeti lako wamekiri kuwa alikopa milioni 15 tu; na wamesema wenyewe kuwa ameshalipa milioni zaidi ya 60. Sasa je, ni fedha zipi hizo ambazo wastaafu wanasubiri? je, ni kweli kwamba Mbowe amefilisi NSSF kama fisadi Rostam Aziz na mtwana wake Balille wanavyotaka tuamini? Nataka nimwambie Mbowe ajitokeze asema jamani. Wanachadema wote, mwambie Mwenyekiti aseme jamani. Hawa mafisadi wanatumia ukimya wake kama silaha. Wanataka kumfanya mkopaji aonekane fisadi ili kupunguza hukumu ya umma dhidi ya ufisadi wao. Wanataka kumtumia mbowe kujenga hoja kuwa taifa zima limeoza. Tumewashtukia. Mbowe sema jamani

Asha

Asha,
Nimekupata fanya hima kumfikishia ujumbe Mbowe. Maana hata signature yako imeonyesha utabiri kwamba nchi hii kuna mafisadi wengine wanataka kuendesha nchi

"CHADEMA ni chama mbadala kinachokua na kinachoongozwa kwa Falsafa ya “Nguvu ya Umma” na kuamini katika itikadi ya “Mrengo wa Kati”. CHADEMA inawataka Watanzania kuelewa kwamba mabadiliko ya kweli yataletwa na kubadilisha mfumo wa utawala. Maendeleo ya kweli hayawezi kuletwa na mafisadi walewale, wa chama kile kile, chenye uoza ule ule, wakiendeleza yale yale kwa ari, nguvu na kasi mpya. CHADEMA inatambua kwamba kwa falsafa ya Chukua Chako Mapema (CCM), Tanzania yenye neema kamwe haitawezekana"
 
Kada Mpinzani Wewe Ndiyo Unajua Hizo Dawa Zinatolewa Bure Wenzako Hawajui Maana Ili Upate Bure Ni Lazima Uwe Wazi Kwa Jamii Kuwa Unaugua, Ila Kama Unajificha Kama Kyara Utauziwa Tu.wewe Kila Kitu Unapinga Kudadako
 
Kada Mpinzani Na Chinga Moja Kwa Moja Mnaonekana Kunufaika Kwa Namna Moja Au Nyingine Na Ufisadi Unaofanywa Na Utawala Wa Ccm, Ushauri Wangu Ni "punguzeni Njaa"

ok, nimekusikia ! but can you hear me now ?
 
Kada Mpinzani Wewe Ndiyo Unajua Hizo Dawa Zinatolewa Bure Wenzako Hawajui Maana Ili Upate Bure Ni Lazima Uwe Wazi Kwa Jamii Kuwa Unaugua, Ila Kama Unajificha Kama Kyara Utauziwa Tu.wewe Kila Kitu Unapinga Kudadako

kama unajua unaumwa na unataka dawa kwa nini ufiche ? pia, huo ni UWONGO kwamba lazima ujitambulishe kwa jamii ili upate hizi dawa. Kama wewe unao nenda kwenye hospitali za wilaya utapata ! hilo tusi nakustahi, lakini endelea tu ! sasa unalia nini mimi kupinga kila kitu ??
 
Kweli Tanzania Tunayo Kazi Kubwa Ya Yaani Unajiingiza Ktk Jf Huku Ukijuwa Kabisa Wewe Ni Kilaza, Hivi Mtu Mwenye Akili Timamu Na Muelewa Anashindwa Kujua Maana Ya Kukopa Na Kuiba? Na Hao Wanaowatuma Muanike Utumbo Wenu Ktk Jf Waambieni Kwanza Wawe Wanajenga Hoja Zenye Maana Kuliko Kutupotezea Muda Wana Jf Makini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom