Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 46
Kada, jamani, amesema, VYAMA VICHACHE VIMEPANDIKIZWA NA CCM, hajasema ni vyote. Kwani nani hajui hilo?
Pili, huyu tusimuite FISADI, bado ni MKOPAJI ALIYECHELEWA KULIPA DENI!
Give the man a break! Its like u r going all out to paint a bad pic
Kada:
Hii habari ni ya mwaka gani? Iweje habari ya miaka kadhaa nyuma utuletee leo? Au ni mkakati tu wa kuchafua?
Si ameweka wazi ni vigumu? Kwani amesema haiwezekani?Na hapa alikuwa akivikosoa vyama kama SAU, NLD nk
Hebu acheni udhulufu! Mmeona suala na NSSF hoja yenu umeshindwa kueleweka sasa mnazua vioja. Na kwa kadiri ninavyowajua CHADEMA, kobe akiinama ujue anatunga sheria.
Ngoja wakina Mbowe, Dr. Slaa, Zitto, Lissu na Profesa Baregu watakapomaliza kutunga sheria; you will all be riduculed kwa kuingia mtego wa fisadi Rostam Aziz na Habari Corruption yake. Hebu fuatilieni kidogo ukweli mahakamani kabla ya kusema; mtaonekana wanamdundiko jamani
Asha