Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa?

Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa?

Status
Not open for further replies.
Nafikiri tungependa kujua kwa nini Mbowe hataki kulipa mabilioni ya shilingi ya watanzania hadi leo ! ukizingatia shule kakimbia, and he has a history of physical violence alipopigana na mwenyekiti wake kwenye mkutano.
 
Kinacho takiwa Mbowe aitishe press confress aeleze kuhusu tuhuma hizo!lakini kuwanza kuwatumia akina asha kumjibia hapa JF haitamsaidia jambo!maana wengi wa wanacnhi wa wasomi hapa JF au aka chadema forums
 
Kweli Tanzania Tunayo Kazi Kubwa Ya Yaani Unajiingiza Ktk Jf Huku Ukijuwa Kabisa Wewe Ni Kilaza, Hivi Mtu Mwenye Akili Timamu Na Muelewa Anashindwa Kujua Maana Ya Kukopa Na Kuiba? Na Hao Wanaowatuma Muanike Utumbo Wenu Ktk Jf Waambieni Kwanza Wawe Wanajenga Hoja Zenye Maana Kuliko Kutupotezea Muda Wana Jf Makini

blah blah blah blah !
 
Hivi Wewe Kada Mpinzani Ina Maana Hujui Maana Ya Kukopa Na Kuiba? Punguza Njaa Hiyo Itakuuwa
 
Kinacho takiwa Mbowe aitishe press confress aeleze kuhusu tuhuma hizo!lakini kuwanza kuwatumia akina asha kumjibia hapa JF haitamsaidia jambo!maana wengi wa wanacnhi wa wasomi hapa JF au aka chadema forums

hao akina aisha ndio kwaaanza wanaharibu na kuibua maswali mengi. Kilichobaki ni kama ulivyosema aite press conference na yeye anavyopenda exposure i dont see why he shouldnt do that, lakini anajua kwa nini he wont speak out about it !
 
Hivi Wewe Kada Mpinzani Ina Maana Hujui Maana Ya Kukopa Na Kuiba? Punguza Njaa Hiyo Itakuuwa

kama binadamu angekuwa na uwezo wa kuongeza na kupunguza njaa, sidhani kama kuna mtu angekufa njaa ! feel me;.
 
Pole Sana, Ebu Tuambie Wamekuahidi Ngapi Ili Umuuwe Huyo Bwana Mbowe Lakini Naomba Uwe Macho Na Hao Jamaa Maana Wanajulikana Kwa Usanii Unaweza Ukafanikiwa Na Wasikupe Kitu Si Unawafahamu Kwa Usanii Ni No 1, Wakupe Kwanza Advance Bwana Kada Mpinzani.!!
 
Pole Sana, Ebu Tuambie Wamekuahidi Ngapi Ili Umuuwe Huyo Bwana Mbowe Lakini Naomba Uwe Macho Na Hao Jamaa Maana Wanajulikana Kwa Usanii Unaweza Ukafanikiwa Na Wasikupe Kitu Si Unawafahamu Kwa Usanii Ni No 1, Wakupe Kwanza Advance Bwana Kada Mpinzani.!!

nakula tshs mil. 5.5 kwa mwezi ! sidhani kama wewe ungekataa pia, could you ? niunge basi unisaidie nikukatie lakini 5 kwa mwezi ! i am a concerned citizen (CC) ndio chama changu ! that being said, i dont work for nobody !
 
Tena Ukishamaliza Kazi Ya Kuchapa Kila Siku Ktk Computer Ni Lazima Uwaprintie Uwaonyeshe Ili Washuhudie Mapambano Unayoyafanya Na Wana Jf Si Unajua Aslimia 90 Ya Wabunge Wa Ccm Ni Vilaza Hawajui Hata Kufungua Komputer, Kwa Hiyo Wataona Kazi Unayofanya Ni Kubwa Hivyo Wataongeza Dau. Kazana Mwanangu Kufa Kufaana
 
sidhani kama unajua mbowe alikuwa involved katika physical fist fight kwenye mkutano pale kawe, !

tutakazania kusisitiza suala la mabilioni ya shilingi ya watanzania ili mbowe arudishe !
 
Kwa Hiyo Unakubali Kuuza Nchi Kwa Milioni Tano Tu Kwa Mwezi, Utazifanyia Nini Zaidi Ya Kukumaliza Na Ngoma? Maana Ni Haramu Hizo.
 
Ulishaambiwa Alikopa Mil 12 Na Tayari Amerudisha 60 Sasa Hapo Huoni Kuwa Tayari Alikwishawaingizia Faida Kokoriko We.!!!
 
Sasa Huyu Na Huyu Anayechukua Milioni 154 Kila Siku Za Tanesco Unayemtetea Nani Fisadi? Kuwa Na Adabu Wewe Siyo Unatuanikia Utumbo Wako Huku.
 
Kweli Nimeamini Njaa Ni Mbaya Yaani Unataka Kutulazimisha Tuamini Kuwa 2+2=5 Angalia Sana, Na Kisicho Rizki Hakiliki Baba.!!
 
Sasa Huyu Na Huyu Anayechukua Milioni 154 Kila Siku Za Tanesco Unayemtetea Nani Fisadi? Kuwa Na Adabu Wewe Siyo Unatuanikia Utumbo Wako Huku.

nimekuuliza swali simpo, sasa mbona umetetereka ? plz do us a favor, kama umeshindwa kujibu, sema umeshindwa tumove on !

Hii thread haitapindishwa na mtu kama wewe hata kwa chembe labda ihamishwe !
 
Kwa Watu Kama Dizaini Yako Kada Mpinzani Ndiwo Waliomfanya Mungu Akaondoka Africa Sasa Angalia Vita, Ukimwi Na Njaa Vinawatafuna.mpaka Kizazi Hiki Chenu Batili Kitakapoondoshwa
 
Naomba Kusitisha Kubishana Na Wewe Maana Nitaonekana Ni Kichaa Kubishana Na Mtu Aliyepandikizwa Kwa Kuhongwa Vijisenti Na Hao Wanakulaaniwa
 
Na Huyo Kyara Mwambie Kabla Ya Kuonyesha Sura Yake Ktk Magazeti Angetumia Muda Huo Kufanya Usafi Kwenye Gest Yake Pale Shekilango Ili Mende Wapungue, "dead Man"
 
Naomba Kusitisha Kubishana Na Wewe Maana Nitaonekana Ni Kichaa Kubishana Na Mtu Aliyepandikizwa Kwa Kuhongwa Vijisenti Na Hao Wanakulaaniwa
TEHE....TEHE....TEHE.....MEJA JIBU HOJA ZA WATU SIO KUTOA MANENO MAKALI.......! NA KAMA UNA HABARI(sio ushahidi)WA KADA KUHONGWA WEKA JAMVINI TUMSHUKIE......!
USHANIFAHAMU....!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom