Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa?

Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa?

Status
Not open for further replies.
KKN,

kesi imekuwa mahakamani kwa muda sasa na hakuna kitu NSSF wamekuja nacho. Hii issue inabidi iundiwe tume ya bunge na sio swala la Mbowe kujieleza. Inabidi tume ya bunge ichunguze yote kuanzia waliokopa NSSF, walioiba, na ambao "wamekopa" bila maelezo kama MKullo na wenzake.



Hii issue sio for the sake ya Chadema mkuu, hii ni issue ambayo ni for the sake of the country. Kuna habari kuwa hata KIkwete ni mmoja waliofaidika na pesa za MKulloo alizochota NSSF. Iundwe kamati huru ya bunge kuchunguza hili na haya ya uchaguzi wa 2010 yatajulikana.

Why our tax money ifanye uchunguzi wa mkopo wa mbowe? Mahakama need to decide kuhusu swala hilo zima. Why you didn't call for comittee prior to this scandal?

Can you prove kuhusu Mkullo and JK in relation with NSSF? We can prove kuhusu Mbowe and NSSF.

Jamani let us be fair when it get to anybody who want to cripple our country. Let us stop cherry picking, Mbowe screw on this case and that is true.
 
Biashara yoyote kubwa ili iendelee inaitaji mkopo, kuna aina nyingi za mikopo. Short term debt and long term debt, sasa Mbowe alikopa kwa muda gani na kwa biashara gani? Hilo ni million dollar question. Kama alikopa kwa more than 10 years ili kufinance club yake that is fine, tatizo linakuja jee alikuwa anafanya month payments?

Na kama alikuwa hafanyi payments jee ni nani alikuwa anadefend collateral alizoweka zisiuzwe? Sababu kama unapiga kelele kwenye majukwaa kwamba CCM ni wezi, na wewe unatumia same strategy za CCM katika njia nyingine, then unakila haki ya kufananishwa na Gavana wa NY.

Nilishawai kusema natofautiana sana na Mboe sababu anaonyesha ni mbabaishaji. Mikopo yote ina rules and regulation, na dawa ya kukopa ni kulipa. Rejea maneno ya Mwalim " You borrow, you pay". Hakuna sijui nilikuwa sijui hili wala lile.

Ni mategemeo yangu wana CHADEMA wataomba explaination kutoka kwa kiongozi wao, jee haoni kama huko ni kufuja mali za umma? Jee yeye anajenga picha gani kama kiongozi? Jee ni kwa asilimia ngapi kuchelewa kwake kwa loan kuna adhiri viinua mgongo vya watu?

Sababu kumbuka kwamba pesa zile zinatumika kulipa pansion za baba na mama walio staff, sasa kama kuna mtu kwa njia moja au nyingine hataki kulipa kutokana na political power yake, then what is the different na mafisadi?

Mtanganyika,

The first paragraph umeanza vizuri.....you were thinking objectively. Ila baadae umeamua bias uliyonayo against mbowe ichukue mkondo. Anyway, as long as unafurahisha nafsi yako si mbaya kwako.

Ila elewa biashara yoyote, ni kama uchezaji karata, you play your cards well you win otherwise you loose. And mind you, it is your cards, not all the cards in the box. And how do you get your cards?? You just pick them randomly, hujui unaokota nini....

In business terms, you may have good plans, but there are uncertainties in the future which you cant plan precisely. Mfano, uchumi wa Tanzania unaelekea kubaya sana, sasa ivi BOT watakupa GDP kwamba inakuwa (mi naona data wanazipika for their own benefits). Ila ukweli ukiangalia mtaani inflation rate iko juu sana, mfuko wa cement umepanda from Shs 11,000 in July 07 to Shs 20,000 in December 07, ukiachilia mbali vifaa vingine.

Sasa kama ulikopa early 2007 (with your business plan ulioitengeneza using the early 2007 prices as base) do you think utaweza kufanya what you planned to do in the same capacity with the same loan wakati economy imebadilika to that extent???

Mbowe is a businessman, a good one, kama anadaiwa, he knows well what he is going to do to get himself out of the trouble. So mi naona hilo ni kumwachia mwenyewe na benki (taasisi) aliyokopa, they know better how to deal with that.

Ukitaka kuunda tume kuchunguza watu wameshindwa kulipa mikopo (nashangaa ulikuwa unafikiria kwa kutumia nini ulipotoa hilo wazo), basi ndugu yangu kwa mikopo doubtful iliyopo sasaivi mabenki yote, utachunguza mpaka 2050. Au wewe nia yako ni Mbowe tu???

Benki wanajua njia zao za kukusanya mikopo, hata pale a customer anapokuwa na hali ngumu, kuna motisha wanawapa ili waweze kulipa. Ukisema uende mahakamani, the system is so beauracratic, expensive because of legal charges etc and next time you won't be able to get the same customer, coz utakuwa ushammaliza.

Ni hayo tu, kila la kneri.
 
Narudia tena Mbowe Knows exactly what was inside the loan. Baloon loan ni kitu cha kawaida katika nchi ambazo hazijapanuka kwenye maswala ya credit. Mbowe alitakiwa afanye analysis za kampuni yake wakati huo 1990, kuona kama anaweza kufinance growth ya kampuni zake kwa short term loan. NSSF wao ni wakopeshaji, kazi yao ni kutoa masharti.

Sasa kama unoana biashara yako haiwezi kusastain payments walizoweka, then una negosiate loan kabla hujasaini kukubaliana na term and conditions. Wale mnaosema ineterest rate ni kubwa, you have to think about Inflation rate in Tanzania, and default risk. Hizo mbili zinsababisha premium rate kuwa kubwa.

I believe Mbowe alisaign loan kwa tamaa, kwani hakuwa na uwezo wa kusastain payment zile katika mwaka 1991-1993. Kukaa kwake kimya pasipo kuwaalifu NSSF kwamba anaomba kurefinance the loan ili payment ziende chini klisababisha NSSF kuamini ya kwamba Mbowe is aware kwamba Interest has interest on it. Hiyo ndio maana ya compound interest rate. Yaani you have interest rate kwenye principle and interest rate kwenye interest.

Mbowe hapa ndie ameshika makali na NSSF wana mpini, yani wakivuta tuu lazima ajikate. Kumbukeni ya kwamba hakuna Soko huria lisilo heshimu contract. Kama tunataka kuwa kwenye karne ya ishiri na moja then makahama has to enforce promises. Kama uliaidi utalipa then you have to pay, there is No Aaa or Bee.

Sasa kama Mbowe alikubali kuchukua mkopo kwa 31% that means alikuwa ana imani ya kwamba 15,000,000 will need to retun atleast more than 31% annual ili aweze kufanya payments. Kitu ambacho ni unrealistic.

Upande mwingine nawalaaum NSSF, why did they loan him a lot of money wakati wanajua that was a new business with no records. Sababu i believe waliangalia atleast projection za Income statement, Balance sheet and Fund Flow stament. Na kama waliziangalia jee why they couldn't x-ray them and find Mbowe will not be able to make payments.

Poor system inauuwa watanzania.
 
Mtanganyika,

The first paragraph umeanza vizuri.....you were thinking objectively. Ila baadae umeamua bias uliyonayo against mbowe ichukue mkondo. Anyway, as long as unafurahisha nafsi yako si mbaya kwako.

Ila elewa biashara yoyote, ni kama uchezaji karata, you play your cards well you win otherwise you loose. And mind you, it is your cards, not all the cards in the box. And how do you get your cards?? You just pick them randomly, hujui unaokota nini....

In business terms, you may have good plans, but there are uncertainties in the future which you cant plan precisely. Mfano, uchumi wa Tanzania unaelekea kubaya sana, sasa ivi BOT watakupa GDP kwamba inakuwa (mi naona data wanazipika for their own benefits). Ila ukweli ukiangalia mtaani inflation rate iko juu sana, mfuko wa cement umepanda from Shs 11,000 in July 07 to Shs 20,000 in December 07, ukiachilia mbali vifaa vingine.

Sasa kama ulikopa early 2007 (with your business plan ulioitengeneza using the early 2007 prices as base) do you think utaweza kufanya what you planned to do in the same capacity with the same loan wakati economy imebadilika to that extent???

Mbowe is a businessman, a good one, kama anadaiwa, he knows well what he is going to do to get himself out of the trouble. So mi naona hilo ni kumwachia mwenyewe na benki (taasisi) aliyokopa, they know better how to deal with that.

Ukitaka kuunda tume kuchunguza watu wameshindwa kulipa mikopo (nashangaa ulikuwa unafikiria kwa kutumia nini ulipotoa hilo wazo), basi ndugu yangu kwa mikopo doubtful iliyopo sasaivi mabenki yote, utachunguza mpaka 2050. Au wewe nia yako ni Mbowe tu???

Benki wanajua njia zao za kukusanya mikopo, hata pale a customer anapokuwa na hali ngumu, kuna motisha wanawapa ili waweze kulipa. Ukisema uende mahakamani, the system is so beauracratic, expensive because of legal charges etc and next time you won't be able to get the same customer, coz utakuwa ushammaliza.

Ni hayo tu, kila la kneri.

Mh.TechMaro, heshima mbele.

Naelewa biashara ina ups and downs. Lakini wewe kama mfanya biashara unatakiwa ufanye projection zako, kisha inabidi ufahamu ya kwamba ili biashara iendelee lazima ulipe BILLS zako. Mh.Mbowe ni imani yangu alifanya projection Liquidy ratio zake, akaona ya kwamba kutokana na asset zake ataweza kulipa liability atleast katika ratio ya 2:1.

NSSF sio biashara yao kujali wewe wakati wa uchumi mbovu utalipaje. Wao wanaaamini wewe umeshafanya analysis zako, na umekuja pale kifua mbele kuwaambia kwamba i can do it. Wameshaona SWOT analysis yako na uweza kuidefend, then wao wanakupa loan kwa term and conditions. Sasa ni jukumu lako wewe kuwaambia kwamba Loan ya 31% is unrealistic kutokana na analysis zangu.

Kama walikwambia utalipa 31% compounded then na wewe ukasema yes i will, tatizo sio NSSF, tatizo ni wewe sababu ulichukua loan for the sake of greedness and not realistic.

Usiangalie Bank kama sehemu ambayo pesa zimejaa na hazina kazi. Kumbuka Bank ni biashara inayotegemea deposit za wananchi. Same as NSSF ni chombo kinachotegemea pesa kutoka kwa wafanyakazi ili kujiendesha. Sasa kama mimi silipi then kuna mtu atakosa kiinua mgongo chake.

All in All, swala la Social Security Fund kukopesha individual is too risk and i don't know why Tanzania leaders doesn't stop it. Risk ya default is too high, na NSSF ni chombo kinachotakiwa kuinvest kwenye low risk, sababu people need check zao za retirement annual.

Haya yote yanasababishwa na kuajiri watu kama Mkullo (aka Mr.MBA fake) sababu this people doesn't know a bull about investments.
 
Mtanganyika,

Kuna sehemu Mbowe amesemwa au kusema kashindwa au hataki kulipa?

Sometimes kama una chuki binafsi peleka kwenye udaku.

Mungu ametupa akili, lakini naanza kuamini kuwa kweli akili ni nywele.. Nyingine ndeefu nyingine fupi.
 
hii habari ya mbowe kukopa mwaka 1996....imeibuliwa kama couter balance ya jk propaganda team ili ku neutralize yeye kuhusichwa ufisadi...ndio maana ukisoma ile habari huoni uhusiano kati ya MBOWE KUTAFUNA MILIONI 1,120[LITERALLY THAT IS 1.1 BILLION]..WAMEANDIKA HIVO ILI MWANANCHI WA KAWAIDA AONE MBOWE KAKOPA PESA NYINGI KULIKO ZA EPA ..BILIONI 135 .[literally ni milioni 135,000].unajua wananchi wengi hawawezi kutofautisha MILIONI na BILIONI....kwa hiyo mbowe ataonekana ni fisadi zaidi ya EPA...KWA MKULIMA.....a catche!!!

lakini ukiingia deep kwenye ile habari utagundua mbowe ameshalipa karibu milioni 80 kati ya alizokopa na hizo nyingine ni interest charges ambazo bado zinabishaniwa na wataalamu wa mahesabu....je ni kweli PPF iliyompa bure MANJI BILIONI 80. itafilisika kwa kuwa mbowe hajamaliza kukopa hivyo tuvimilioni vichache???? A catche!!!!
 
EBU ONENI DHARAU ZA MBOWE KWA KUTUMIA MABILIONI YA WATANZANIA ANAVYOTUMIA KUENDEKEZA ANASA ZAKE WAKATI WATOTO BUZWAGI WANAKUFA KILA DAKIKA KWA KUKOSA DAWA KWA MAGONJWA YANAYOTIBIKA !



http://masharikiconstruction.com/steel.htm


what a crap...kada ..huyu kakopa..na walioiba nani zaidi...na waliosaini ,mkataba mibovu ya tanesco na buzwagi..nani wanauwa watoto..waliokopa banki wapo kwenye misingi ya biashara wakishindwa kulipa wafilisiwe..akiwamo mbowe....waliosaini mikataba watalipa nini??
 
Mtanganyika,

Kuna sehemu Mbowe amesemwa au kusema kashindwa au hataki kulipa?

Sometimes kama una chuki binafsi peleka kwenye udaku.

Mungu ametupa akili, lakini naanza kuamini kuwa kweli akili ni nywele.. Nyingine ndeefu nyingine fupi.

Cotract yake ya Loan ilikuwa 6 years with 31% annual compounded. Sasa alikaa miaka mingapi bila kulipa? In the business world kama umechukua Loan in 1990, then ukapewa one year 0% interest rate, katika payment period ya 6 years na sasa ni mwaka 2008, ni miaka 18 badae. Do i need to be 'A' student to figure out the guy default the laon?

Mbowe hajanukuliwa kusema hatolipa, sema action zake zinaonyesha ya kwamba alidhamilia kutokulipa. Sababu alikaa kimya kwa miaka kabla ya kupelekwa mahakamani mwaka 1996.

Jee kusoma kwako ile artcte umeona sehemu yoyote inayosema kabla ya mwaka 1996 aliwatafuta NSSF ili kurenogosiate term and conditions za loan?

Tatizo sio namchukia Mbowe, Tatizo nina pinga kitendo cha Mbowe kufuja fedha za walipa kodi. Kama ninavyokerwa na Mkapa, Rostam au Lowassa. The same way hapa Mbowe ametucheat walipa kodi.
 
hii habari ya mbowe kukopa mwaka 1996....imeibuliwa kama couter balance ya jk propaganda team ili ku neutralize yeye kuhusichwa ufisadi...ndio maana ukisoma ile habari huoni uhusiano kati ya MBOWE KUTAFUNA MILIONI 1,120[LITERALLY THAT IS 1.1 BILLION]..WAMEANDIKA HIVO ILI MWANANCHI WA KAWAIDA AONE MBOWE KAKOPA PESA NYINGI KULIKO ZA EPA ..BILIONI 135 .[literally ni milioni 135,000].unajua wananchi wengi hawawezi kutofautisha MILIONI na BILIONI....kwa hiyo mbowe ataonekana ni fisadi zaidi ya EPA...KWA MKULIMA.....a catche!!!

lakini ukiingia deep kwenye ile habari utagundua mbowe ameshalipa karibu milioni 80 kati ya alizokopa na hizo nyingine ni interest charges ambazo bado zinabishaniwa na wataalamu wa mahesabu....je ni kweli PPF iliyompa bure MANJI BILIONI 80. itafilisika kwa kuwa mbowe hajamaliza kukopa hivyo tuvimilioni vichache???? A catche!!!!


Hili deni lina RIBA. Na riba compounded haifanani na simple interest rate.
EPA ni kitu kingine and Richmond ni kingine. Mbowe anatakiwa alipe deni alilokopa under terms and conditions. Hakuna mtu aliyesema Mbowe ni mwizi, noo. Bali Mbowe need to pay his Bills, that is how we suppose to conduct business. Alijua Riba ina Riba, alijua madhara ya kutolipa yanasababisha adjusted rate kutokana na Inflation aliyajua yote haya.
 
Hii post iliwekwa na mwanahabari siku za nyuma, Ahsante mwanahabari...Kinachonishangaza ni hiki, mimi nilifikiri wana JF wanapiga vita mafisadi wa aina zote, kama ni CCM au Chadema nk. Kumbe mkuki kwa nguruwe mtamu..Wana JF, hii habari inaweza kuchambuliwa:

  1. Huyu Mkullo, kuwekwa Wizara nyeti kama ile na vyeti vyake feki tukizingatia habari ifatayo

    [*]Uhusiano wa Mbowe na Mkullo?

    [*]Tofauti
    ya Mbowe, Mkullo na Rostam?
Mwanahabari
SECTION: ECONOMICS; No. 656

LENGTH: 400 words

HEADLINE: TANZANIA: Dubious loan for CCM

BODY:
About fifty contributors of Tanzania's National Provident Fund (NPF), a parastatal social security system, are considering whether to sue Horace Kolimba, the minister of state in the presidential office, and Mustafa Mkullo, NPF director general for mismanaging 250 million Tanzanian shillings (US$ 470,000). Plaintiffs allege the sum was released contrary to NPF regulations and paid to Kolimba, the secretary general of the government party Chama cha Mapinduzi (CCM), which was the intended beneficiary of the funds. Mkullo is alleged to have taken the decision without consulting the NPF board of directors. Sources claim that only 10 million shillings ever reached the CCM bank account.

Kolimba counterclaims that NPF released 240 million shillings ($ 450,000) to SUKITA, a trading company which is linked with CCM, in the form of a six-month loan. Until recently, SUKITA operated with special tax-exemption facilities which the CCM government granted it, but when the procedure became "uncomfortable", the company turned to NPF for a "loan" and used it to import Kenyan beer for end-of-year festivities. However, SUKITA is coming under increasing market competition and it does not appear at all certain that it will be able to repay the loan and interest due to NPF. In that case, SUKITA executive director John Kapinga is likely to find himself joining the list of suspects possibly being interrogated by a judge on their role in the affair.

I.O.N.- The fifty plaintiffs who have threatened to sue have expressed their "astonishment" that the Organization of Tanzanian Trade Unions (whose secretary general, Bruno Mpangala, is a member of the NPF board of trustees) has not seen fit to intervene in this case of misappropriation of National Provident Fund assets from members' salaries.

LOAD-DATE: January 27, 1995
 
Ukiona mtu anapenda sana kujilimbikizia mali basi huyo siku akipata nafasi serikalini ataiba pesa ya umma mpaka mtakoma. QUOTE]

Wewe bwana hupendi mali just tell me? The question here is how do you accummulate your utajiri? Mbona viongozi wengi duniani wana utajiri wakupindukia?
 
Huyu makengeza Mbowe inatakiwa apelekwe mahakamani haraka sana. ADEN RAGE alifungwa kwa milioni tatu tu.

hili ni jamba wazi kubwa la huko HULL inawezekana ni wanted.

Hivi moderator hawa hamuwaoni, maana wanafanaya vitu vya makusudi kabisa, hawawezi hata kutofautisha kati ya wizi na kukopa. kibaya zaidi hata data wanazotumia na kutetea hazina intergrity yeyote.
kama wanalipwa kwa kupost ujinga please tafuta jinsi ya kuwalekebisha, usiwafungie maana tunaitaji mawazo yao mazuri na sio pumba wanazoandika hapa.
JF members be careful hawa watu ni wabaya sana wanaweza kukuuza kama walivyowauza wenzetu
 
Hivi moderator hawa hamuwaoni, maana wanafanaya vitu vya makusudi kabisa, hawawezi hata kutofautisha kati ya wizi na kukopa. kibaya zaidi hata data wanazotumia na kutetea hazina intergrity yeyote.
kama wanalipwa kwa kupost ujinga please tafuta jinsi ya kuwalekebisha, usiwafungie maana tunaitaji mawazo yao mazuri na sio pumba wanazoandika hapa.
JF members be careful hawa watu ni wabaya sana wanaweza kukuuza kama walivyowauza wenzetu

Naona tatizo lao kuu ni uwezo wa kufikiri ni mdogo mno? Lakini anyway, inawezakana ndo mojawapo ya wale wanaofaidi matunda ya ufisadi so you should expect arguments kama hizo!
 
Naona tatizo lao kuu ni uwezo wa kufikiri ni mdogo mno? Lakini anyway, inawezakana ndo mojawapo ya wale wanaofaidi matunda ya ufisadi so you should expect arguments kama hizo!

Hapo there is no argument, the problem ni kwamba umeweka chama mbele na siyo uzalendo. Unafikiri kama arguments zenyewe zingekua kama zako tungeweza kufichua ufisadi wa Richmond na EPA. Labda una mtu wako ambaye akiingia na wewe utafaidi matunda, pole!
 
Chinga Na Kada,

Asilimia ya watu wengi walioendelea kimaisha wamekopa hela benki/taasisi za fedha. Ndio source pekee halali ya uhakika ukitaka "kutoka" ki uchumi.

Mbowe hajafanya kosa. Amekopa na atarudisha.

Vipi ukilinganisha Mbowe aliyekopa 15 Million Tshs mwaka 1990 na mpaka 2008 amerudisha 65 million Tshs na MAFISADI wa BOT walio IBA fedha billion 133 Mwka 2005/6 na mwaka 2008 wamerudisha only 50 Billion Tsh BILA RIBA?

Mimi mwenyewe benki za bongo zinanidai karibu 200 million Tshs na tunalipana kidogo kidogo hivyohivyo.

Wabongo kukopa ni muhimu sana. kama hutaki kukopa nenda KAIBE. Na ndio maana UFISADI hauwezi kuisha kwasababu ya imani zenu potofu!

FD,

Nakubaliana na wewe kuhusu umuhimu wa kukopa, lakini ni Wabongo wangapi leo wanaweza kwenda kukopa NSSF?

Je mimi na assets zangu pamoja na mradi wa maana, leo naweza kwenda kukopa na kupata pesa NSSF?

Uwizi wa BOT ni mbaya sana kuliko hili suala la Mbowe lakini hii haiifanyi suala la Mbowe liwe halali.

Ukiwa kiongozi wa chama inabidi uwe makini sana na maamuzi unayoyafanya na sio kuanza kusema hili kosa ni dogo kuliko lile.

Kwa wenzetu kiongozi wa siasa akishindwa kulipa deni anafilisiwa na kuachishwa siasa.

Tunavyoanza kuhalalisha ukiukwaji wa sheria kwa viongozi wetu, tutaishia kuwajenga MAFISADI.

Mikopo karibu yote ya NSSF ina harufu ya rushwa ndani yake. Hata huyo waziri wetu wa fedha hata hastahili kuwa na hiyo nafasi kutokana na hasara
alizowaingizia NSSF.
 
Mtanzania kuwa makini mkuu wangu .Angalia historia ni lini Mbowe alikopa pesa na jinsi ambayo amekuwa vocal kuwa chachafya akina JK .Kama kweli alikuwa na serious issue na pesa hii ya NSSF Chadema na Mbowe wameshiriki kampeni ngani na hujawahi kusikia CCM wanatafuta pa kufia ? Jamaa alikopa pesa na wao wanaleta usanii mkubwa na ndiyo issue imekuwa inaenda kisheria .Mbowe si mjinga kiasi hicho kwamba angaliweza kujiingiza kichwa kichwa . Lamwai waliingia kichwa kichwa na akina Mtemvu leo wamerudi CCM kwa kubanwa .Bado hili swala nasema kuna upuuzi wa watu kutuhamisha kweney mada za maana na tunakalia majungu. I hope this man will come forward na kueleza Mkasa na kumaliza mzozo ambao si mzozo ni RA na kundi lake wanatapatapa .

Murangira,

Ndio maana ni muhimu kujadili ili kutengenisha pumba na mchele. Walio na data watatuambia na mwisho tutajua kama Mbowe anaonewa au la.
 
since this is a very very serious issue kwa mustakabali wa 'taifa letu' kiuchumi na kwa maendeleo yetu kiujumla as some of the members here are suggesting, kwanini wasianzishe harakati za kumshinikiza mbowe kulipa fedha anazodaiwa, oh pliiz lets cut the crap, this is so obvious, mafisadi sasa wanataka kuzima moto kwa moto, but huu ni moto wa milele, hauzimiki hata mtumie mbinu gani, huu ni moto mtakatifu unawaunguza hadi mkiri na kutubu makosa yenu, (msonyo) monta lizard wakubwa, unajua mie si mtu wa ku curse lakini hii mijamaa inanitia hasira sometimes, ukikaa hivi mbowe this mbowe, u better come up with another strategy, admit it guys kama samaki aliyetolewa kwenye maji, now your gasping
 
hii habari ya mbowe kukopa mwaka 1996....imeibuliwa kama couter balance ya jk propaganda team ili ku neutralize yeye kuhusichwa ufisadi...ndio maana ukisoma ile habari huoni uhusiano kati ya MBOWE KUTAFUNA MILIONI 1,120[LITERALLY THAT IS 1.1 BILLION]..WAMEANDIKA HIVO ILI MWANANCHI WA KAWAIDA AONE MBOWE KAKOPA PESA NYINGI KULIKO ZA EPA ..BILIONI 135 .[literally ni milioni 135,000].unajua wananchi wengi hawawezi kutofautisha MILIONI na BILIONI....kwa hiyo mbowe ataonekana ni fisadi zaidi ya EPA...KWA MKULIMA.....a catche!!!

lakini ukiingia deep kwenye ile habari utagundua mbowe ameshalipa karibu milioni 80 kati ya alizokopa na hizo nyingine ni interest charges ambazo bado zinabishaniwa na wataalamu wa mahesabu....je ni kweli PPF iliyompa bure MANJI BILIONI 80. itafilisika kwa kuwa mbowe hajamaliza kukopa hivyo tuvimilioni vichache???? A catche!!!!

PM,

Kinachonishangaza mimi kwa sisi Watanzania ni kutafuta mchawi wa kila jambo. Sawa inawezekana CCM wanatoa hizi habari ili kujiokoa lakini hiyo si issue. Issue hapa ni kwamba je ni kweli Mbowe kakopa pesa za walalahoi na anashindwa kulipa mpaka kupelekwa mahakamani?

Wakati wa Nyerere kiongozi wa siasa kupelekwa mahakamani kwa ajili ya madai, ingeweza kuwa ndio mwisho wa siasa kwake. Hata hizi nchi za wenzetu, kiongozi akope pesa tena kwenye mifuko ya watu maskini na ashindwe kulipa, hapo chama wanaondoa support kwake mara moja.

Mtu unapofanya jambo ambalo sio sawa, ukifumuliwa, usitafute mchawi. Mbowe alikuwa na kila sababu ya kufuata masharti ya mkopo wake na kulipa ontime. Kama hajafanya hivyo basi hapo hana wa kumlaumu isipokuwa yeye mwenyewe.

Wote tunajua matatizo ya Clinton na Monika, Republican walipanga mambo mengi. Lakini Democratic wa maana walimwambia wazi Clinton, ndio tunajua
Republican wanakutafuta, lakini sio wao walioukamata mkono wako mpaka kuufikisha kule chini kwa Monika. Wakamwambia alichofanya ni sawa na kuwapa adui zako bunduki yenye risasi ili wakumalize, na kweli watakumaliza.

Wanasiasa wetu wawe clean, waache huu ujanja wa mjini na sababu za kibabaishaji. Wakikamatwa na chupi chini, hakuna haja ya kutafuta mchawi, ni makosa yao wenyewe.

Ukikopa milioni 15 na kama hulipi on time, pesa zinaongezeka mno. Unacholipa hapo sio interests tu bali unaanza kulipa na fidia zingine chungu nzima. Si ajabu hata interest rate inapanda kwasababu risk ya huo mkopo inaongezeka.
 
Mimi mwenyewe benki za bongo zinanidai karibu 200 million Tshs na tunalipana kidogo kidogo hivyohivyo.

Mkuu FD,

I hope hapo juu una maana unalipa kidogo kidogo kulingana na masharti ya mikopo yako.

Kama una maana tofauti na hiyo, hilo ni jambo la hatari sana. Kukiuka masharti ya mkopo kwa sababu zozote zile si jambo la kujivunia na badala yake ni hatari mno.

Unapokuwa kiongozi wa siasa inakuwa hata hatari zaidi maana ukifilisiwa, kweli wewe unafaa hata kuongoza chama?

Ni kweli nchi haiwezi kuendelea bila wananchi wake kuweza kukopa na kuendesha biashara zao. Lakini inapotokea kwamba viongozi wanakopa sehemu kama NSSF ambako kuna nafuu kubwa na kuwaacha wananchi wanasota na mabank
ambako kuna interest rate zaidi ya 20%, kwa kweli haiwezi kuwa sawa. Matokeo yake viongozi huwa hawachukuia hatua kubadilisha sheria za mabank maana wanakuwa hawalipati hilo joto la jiwe ambalo linawakumba wananchi wa kawaida.

Wanasiasa waache kukimbilia sehemu kama NSSF na badala yake wakakope kwenye hayo mabank sawa na wananchi wengine.
 
Naona tatizo lao kuu ni uwezo wa kufikiri ni mdogo mno? Lakini anyway, inawezakana ndo mojawapo ya wale wanaofaidi matunda ya ufisadi so you should expect arguments kama hizo!

Kijana usidandie gari kwa mbele!

Sasa 4 ur info sifungamani na chama chochote hapa, mimi nafungamana na watu safi wanao jua kufikiria sio kubwabwaja tu kama vichwani kuna matope! So naangalia zaidi ukweli na uhalisia wa mambo kuliko ushabiki vya vyama! Nipo comfortable nilipo na nilivyo navyo so I don't need kuwa kibaraka cha mtu katika kuwaibia wa TZ!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom