Kwa nifahamucho, Lengo la Mungu kuweka mwanamke na mwanaume pia na uwepo wa tendo la ndoa ni kuzaliana. Ukisoma Mwanzo 1:28-30 utaona Mungu anawapa Adam na Hawa Agano lenye baraka kwa lengo la kuzaliana na kuijaza nchi. Pia ukisoma Mwanzo 2:21-23 kuna Agano la mwanamke/mwanaume kumuacha Baba yake na mama yake then ataambatana na mmewe/mkewe nawe watakuwa mwili mmoja. Hili pia ni Agano.
Lengo la Mungu kuhusu kujamiiana ni kuzaliana kama wanyama wa asili wafanyavyo ila DHAMBI ndio ilisababisha mwanadamu achukuliwe tendo la ndoa kama starehe (Entertainment). Dhambi hii ndio imesababisha sasa kuanza kwa hayo masuala ya kunyonyana sehemu za siri.
Kimsingi, Mungu amekataza kuingiliana kinyume na utaratibu wa asili (Rumi 1:26-27) na hapa matumizi yasiyo ya asili yanahusishwa Mkund...., mdomo, pua, ulimi, mikono, matiti n.k. na matumizi ya asili ni UKE pekee ambao ukipitia huko, unapata uzao kama wanyama wa asili wafanyavyo.
Ni ukweli usiopingika, kwa mwanadamu wa kawaida kuingia kwenye kunyonyana au matumizi yasiyo ya asili ni lazima kuwepo kuna Roho nyuma yake inayokulazimisha kufanya hivyo kwani ni kinyaa cha hali ya juu kufanya hivyo. Lazima kuwe na Mapepo nyuma yake.
Binafsi kabla sijaamini, nilikuwa nafanya umalaya na nilikuwa napenda sana kunyonywa uume na pumb...... Nakumbuka kuna Dada mmoja alininyonyaga pale Moro wakati nasoma SUA nikataka kumuonga Dunia na ndio aliniingiza huko na nikawa addicted na hata nilipooa Mke wangu akawa ananifanyia hivyo.
Baada ya kuamini, Katika kitu ambacho Mungu aliikataza ni hiko na toka 2010's todate sijawahi fanya hivyo kwani Mungu aliikataa na kwa uwepo wa Roho wake mwema, amenitiisha dhidi ya hiyo tamaa ya mwili. So binafsi, hilo ni chukizo mbele ya Mungu na hivi vyote vimeandikwa na Baba wa Uongo Ibilisi ikiratibiwa vizuri na Mama wa Makahaba na Machukizo Roho ya Yezebeli na hii inawaangusha Yamkini waamini (Ufunuo wa Yohana 17:5)