Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 372,968
- 864,030
Namba 1
Dini za asili.. Zina doctrine nzuri Sana bahati mbaya sana zilikosa waandishi wa kuziweka kwenye vitabu hivyo ikawa rahisi kwa wakoloni kuzifilisi na sass zimebaki historia
Namba mbili..
Dini za wapagani.. Wakijinasibu hawaamini kitu lakini wamejaa mikanganyiko na ugomvi wao mkuu ni wale waamini wa Mungu mmoja. Kwa maneno hawaamini Mungu wala miungu.. Kwa ithibati hawana majibu yaliyonyooka.. Wanajichanganya na kuchanganyikiwa sana
Namba tatu
Dini ya Uislam.. Iliyoathiriwa pakubwa na tamaduni za kiarabu.. Nawapenda sana kwa misimamo yao.. Ila hawana umoja wala kauli moja, na hawana mbinu za kumaliza changamoto zao ndani kwa ndani
Nambari nne
Dini zinazoabudu masanamu na miungu.. Nazikubali sana kwenye kipengele cha elimu ya maarifa.. Ziko deep sana kwenye hayo mawanda.. Wana uwezo mkubwa wa kuchambua kila kitu katika ukubwa wake! Kwenye hili hakuna dini inawafikia
Namba tano
Dini za Kikristo.. Hawa wako njema sana kwenye imani.. Wanafundishwa imani kwa ukubwa wake na hili limefanikiwa kwa asilimia 100.. Unatakiwa kuamini na si kuhoji.!
Kingine ni uwezo wao mkubwa wa kutatua changamoto zao bila kuingiliwa na ni wazuri sana kwenye kuheshimu mamlaka zao
Mwisho kabisa katika dini zote hizo mambo ya mali umiliki na uwezo wa kifedha zina tafakuri zake
Kuna dini kati ya hizo wenye uwezo na wasio na uwezo hukutana pamoja kuchangia maendeleo ya dini yao
Lakini vilevile kati na hizo kuna dini ambazo maendeleo ya dini huchangiwa na mtu moja tu ama kikundi cha watu wachache wenye uwezo.. Hii husababisha kukosekana kwa network
Je wewe mdau na mpenzi msomaji unakubaliana nami? Nipinge kwa hoja tupate kujifunza na kuelimika wote
Dini za asili.. Zina doctrine nzuri Sana bahati mbaya sana zilikosa waandishi wa kuziweka kwenye vitabu hivyo ikawa rahisi kwa wakoloni kuzifilisi na sass zimebaki historia
Namba mbili..
Dini za wapagani.. Wakijinasibu hawaamini kitu lakini wamejaa mikanganyiko na ugomvi wao mkuu ni wale waamini wa Mungu mmoja. Kwa maneno hawaamini Mungu wala miungu.. Kwa ithibati hawana majibu yaliyonyooka.. Wanajichanganya na kuchanganyikiwa sana
Namba tatu
Dini ya Uislam.. Iliyoathiriwa pakubwa na tamaduni za kiarabu.. Nawapenda sana kwa misimamo yao.. Ila hawana umoja wala kauli moja, na hawana mbinu za kumaliza changamoto zao ndani kwa ndani
Nambari nne
Dini zinazoabudu masanamu na miungu.. Nazikubali sana kwenye kipengele cha elimu ya maarifa.. Ziko deep sana kwenye hayo mawanda.. Wana uwezo mkubwa wa kuchambua kila kitu katika ukubwa wake! Kwenye hili hakuna dini inawafikia
Namba tano
Dini za Kikristo.. Hawa wako njema sana kwenye imani.. Wanafundishwa imani kwa ukubwa wake na hili limefanikiwa kwa asilimia 100.. Unatakiwa kuamini na si kuhoji.!
Kingine ni uwezo wao mkubwa wa kutatua changamoto zao bila kuingiliwa na ni wazuri sana kwenye kuheshimu mamlaka zao
Mwisho kabisa katika dini zote hizo mambo ya mali umiliki na uwezo wa kifedha zina tafakuri zake
Kuna dini kati ya hizo wenye uwezo na wasio na uwezo hukutana pamoja kuchangia maendeleo ya dini yao
Lakini vilevile kati na hizo kuna dini ambazo maendeleo ya dini huchangiwa na mtu moja tu ama kikundi cha watu wachache wenye uwezo.. Hii husababisha kukosekana kwa network
Je wewe mdau na mpenzi msomaji unakubaliana nami? Nipinge kwa hoja tupate kujifunza na kuelimika wote