Je, inafaa kunyonyana kisheria ya dini

Je, inafaa kunyonyana kisheria ya dini

Sasa mapenzi na dini wapi na wapi jamani, Kwenye bibilia nimekutana na neno Adam akamjua Hawa akamzaa Kaini na Habili, sasa alimjuaje hapo jiongeze wewe, kwani Kuna anayekupangia muwapo chumbani? Na Bibilia imekataza uzinzi tu ilahaijaelekeza muwapo ndani na mkeo mtumie staili gani, au mmfanyaje haijasema zaidi tu mtume Paulo anasema msinyimane. Kwahiyo mengine ni maoni ya wachungaji, napadri na mashehe
 
Mapenzi ni sanaa na mapenzi hayana kinyaa
Mapenzi ni hisia na mapenzi hayana dini
Mapenzi ni utundu na mapenzi kikiri kakara

Sent using Jamii Forums mobile app
💯🤝

Nilitaka niseme hili jambo.

Biblia imekataza mume asimwingilie mke wake kinyume na maumbile tu.

Mambo mengine kama kunyonyana Mungu katuachia tujiburudishe ili mradi wote mmekubaliana na hakuna anayemkwaza mwingine
 
Wakati Abel alipomuua Kaini..
Akashindwa cha kufanya kuhusu mwili ...
Mungu akaleta kunguru wawili ..mbele yake ..wakapigana....Hadi mmoja akafa...Yule Kunguru mwingine akachimba shimo na kumfukia Kunguru mwenzie alie muua...

Hapo Abel akajifunza kuhusu mazishi na yeye akamzika ndugu yake ...


Sasa Mungu alipotuletea mbwa wakafanya doggy style mbele yetu?
Na ndege wakalishana mbele yetu?
Na paka na mbwa wakilambana sehemu za Siri ..... umeelewaje?

Note sijasema Mungu kasema tufanye...nimeuliza Tu swali😅
 
Sasa mapenzi na dini wapi na wapi jamani, Kwenye bibilia nimekutana na neno Adam akamjua Hawa akamzaa Kaini na Habili, sasa alimjuaje hapo jiongeze wewe, kwani Kuna anayekupangia muwapo chumbani? Na Bibilia imekataza uzinzi tu ilahaijaelekeza muwapo ndani na mkeo mtumie staili gani, au mmfanyaje haijasema zaidi tu mtume Paulo anasema msinyimane. Kwahiyo mengine ni maoni ya wachungaji, napadri na mashehe

Tunafata maelekezo mengi kwenye dini!! So tukipata na muongozo kwenye hili sio mbaya
 
Wakati Abel alipomuua Kaini..
Akashindwa cha kufanya kuhusu mwili ...
Mungu akaleta kunguru wawili ..mbele yake ..wakapigana....Hadi mmoja akafa...Yule Kunguru mwingine akachimba shimo na kumfukia Kunguru mwenzie alie muua...

Hapo Abel akajifunza kuhusu mazishi na yeye akamzika ndugu yake ...


Sasa Mungu alipotuletea mbwa wakafanya doggy style mbele yetu?
Na ndege wakalishana mbele yetu?
Na paka na mbwa wakilambana sehemu za Siri ..... umeelewaje?

Note sijasema Mungu kasema tufanye...nimeuliza Tu swali😅
Hoja imepita
 
Wakati Abel alipomuua Kaini..
Akashindwa cha kufanya kuhusu mwili ...
Mungu akaleta kunguru wawili ..mbele yake ..wakapigana....Hadi mmoja akafa...Yule Kunguru mwingine akachimba shimo na kumfukia Kunguru mwenzie alie muua...

Hapo Abel akajifunza kuhusu mazishi na yeye akamzika ndugu yake ...


Sasa Mungu alipotuletea mbwa wakafanya doggy style mbele yetu?
Na ndege wakalishana mbele yetu?
Na paka na mbwa wakilambana sehemu za Siri ..... umeelewaje?

Note sijasema Mungu kasema tufanye...nimeuliza Tu swali[emoji28]

Hii ina make sense hii
 
Maelekezo y imani ya dini yako inasemaje?

Warumi 1:26-27​

Neno: Bibilia Takatifu​

26 Kwa hiyo, Mungu aliwaachia wafuate tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao waliacha matumizi ya asili ya maumbile yao wakatumia miili yao isivyokusudiwa.

27 Hali kadhalika wanaume waliacha uhusiano wa asili kati ya waume na wake wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume walifanyiana mambo ya aibu, nao waka pata katika miili yao adhabu waliyostahili kama matokeo ya uovu wao.

Kula kwa mpalange Biblia inashutumu sana hapo mstari wa 26 inawataja wanawake waliokuwa wanafirwa, Mungu alichukia sana. Kunyonyana hakuna shida
 
Kulamba/ kunyonya sehemu za Siri za mwanamke kunachangia sana kuharibu (kuleta mikosi kwa) riziki za mwanaume. Hata kama ni Mkeo.

Fanya uchunguzi utajua.
Watu wengi wanaangamia kwa kikosa maarifa, haswa ya kiroho.
Chukua tahadhari.
 
[emoji817][emoji1666]

Nilitaka niseme hili jambo.

Biblia imekataza mume asimwingilie mke wake kinyume na maumbile tu.

Mambo mengine kama kunyonyana Mungu katuachia tujiburudishe ili mradi wote mmekubaliana na hakuna anayemkwaza mwingine
Hapo kwenye utelezi viongozi wa dini zote ndio watakuwa kuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom