mbari sa menya
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,007
- 1,914
Umemaliza mkuu, acha wanandoa wafurahishane,Wakati Abel alipomuua Kaini..
Akashindwa cha kufanya kuhusu mwili ...
Mungu akaleta kunguru wawili ..mbele yake ..wakapigana....Hadi mmoja akafa...Yule Kunguru mwingine akachimba shimo na kumfukia Kunguru mwenzie alie muua...
Hapo Abel akajifunza kuhusu mazishi na yeye akamzika ndugu yake ...
Sasa Mungu alipotuletea mbwa wakafanya doggy style mbele yetu?
Na ndege wakalishana mbele yetu?
Na paka na mbwa wakilambana sehemu za Siri ..... umeelewaje?
Note sijasema Mungu kasema tufanye...nimeuliza Tu swali[emoji28]
Sasa huu mtindo wa kuingiliana kinyume na maumbile sijui waliona mfano wapi,
Kuna watu wachafu sana, anachezea kinyesi cha mwenzake, huku anafurahia,
LAANA MBAYA SANA,