mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 7,424
- 10,024
kama tuu ngono kwa njia ya mdomo haishairiwi kitaalamu sembuse kwemye dini hib ni dini gani inayoruhusu ngono ya mdomo khaaaKatika baadhi ya dini zinapinga hilo tendo na madhehebu katika dini hizo hizo zinatofautiana, waalimu wengine wadini wanasema inafaa wengine wanapinga haifai
Hapa naongelea dini? Zote tuambie kulingana na mafundisho ya dini yako je? Inafaa wanandoa kunyonyana sehemu za siri , Kwa mwanaume kumlamba au kumnuonya mwanamke wake? Na mwanamke kumnyonya au kumlamba mwanaume wako sehemu ya siri kulingana na mafundisho na maelekezo ya dini yako hili jambo lipo vipi?
Tunaharibiwa sana na sinema zinazorushwa mitandaoni ndio maana hili jambo hali pati muhafaka
Imekuwa tabia sasa na hili jambo linaonekana kawaida sanaa kwenye jamii zetu
Maelekezo y imani ya dini yako inasemaje? Na kama una vifungu au hayaa utupe hapa tupate jibu sahihi najua dini hazijaacha kitu katika kuelezea mambo yote ulimwenguni
wap hao kunguru wapo msitari gan kwa biblia msaada ndugu mchungajiHii ina make sense hii
Neisseria gonorrheaNimecheka kwa nguvu, mbona kama inamake sense... Lkn hayo maandiko ya Mungu yanatuasa tusile vitu vya kuhatarisha afya zetu... Nawaza kunyonya hizo vitu zile [emoji3083][emoji3083] bacteria
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Sasa wew leta dini kwenye sita kwa sita wajuba wazee wa uvinza tutakusaidia tu ....... unakoelekea utasema romance nayo ni dhambiKatika baadhi ya dini zinapinga hilo tendo na madhehebu katika dini hizo hizo zinatofautiana, waalimu wengine wadini wanasema inafaa wengine wanapinga haifai
Hapa naongelea dini? Zote tuambie kulingana na mafundisho ya dini yako je? Inafaa wanandoa kunyonyana sehemu za siri , Kwa mwanaume kumlamba au kumnuonya mwanamke wake? Na mwanamke kumnyonya au kumlamba mwanaume wako sehemu ya siri kulingana na mafundisho na maelekezo ya dini yako hili jambo lipo vipi?
Tunaharibiwa sana na sinema zinazorushwa mitandaoni ndio maana hili jambo hali pati muhafaka
Imekuwa tabia sasa na hili jambo linaonekana kawaida sanaa kwenye jamii zetu
Maelekezo y imani ya dini yako inasemaje? Na kama una vifungu au hayaa utupe hapa tupate jibu sahihi najua dini hazijaacha kitu katika kuelezea mambo yote ulimwenguni
Soma hiyokama tuu ngono kwa njia ya mdomo haishairiwi kitaalamu sembuse kwemye dini hib ni dini gani inayoruhusu ngono ya mdomo khaaa
Sefulli haina tindikali kama naniliiMzee baba soma hiyooo View attachment 2691107
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati Abel alipomuua Kaini..
Akashindwa cha kufanya kuhusu mwili ...
Mungu akaleta kunguru wawili ..mbele yake ..wakapigana....Hadi mmoja akafa...Yule Kunguru mwingine akachimba shimo na kumfukia Kunguru mwenzie alie muua...
Hapo Abel akajifunza kuhusu mazishi na yeye akamzika ndugu yake ...
Sasa Mungu alipotuletea mbwa wakafanya doggy style mbele yetu?
Na ndege wakalishana mbele yetu?
Na paka na mbwa wakilambana sehemu za Siri ..... umeelewaje?
Note sijasema Mungu kasema tufanye...nimeuliza Tu swali[emoji28]
Tulivo binadamu kusema ni kibaya kwakitu tunqchopenda hatutaki tunazunguka wee😀😀😀Kwa kweli. Halafu Haram ndio inapendwa sanaaa.
Naona watu wanzunguka tu wakat ukweli wanaujuaHapo ndipo ninapokupendea bibie upo clear
Ndiyo mkuu. Kuna tabu kwani?
😂😂😂Wakati Abel alipomuua Kaini..
Akashindwa cha kufanya kuhusu mwili ...
Mungu akaleta kunguru wawili ..mbele yake ..wakapigana....Hadi mmoja akafa...Yule Kunguru mwingine akachimba shimo na kumfukia Kunguru mwenzie alie muua...
Hapo Abel akajifunza kuhusu mazishi na yeye akamzika ndugu yake ...
Sasa Mungu alipotuletea mbwa wakafanya doggy style mbele yetu?
Na ndege wakalishana mbele yetu?
Na paka na mbwa wakilambana sehemu za Siri ..... umeelewaje?
Note sijasema Mungu kasema tufanye...nimeuliza Tu swali😅