Je, inafaa kunyonyana kisheria ya dini

Je, inafaa kunyonyana kisheria ya dini

Masheikh wakubwa wa Alhus-Sunnah katika uislamu miongoni mwao ni Sheikh Ibn Baaz Ibn Uthaymeen na Albani (Allah awarehemu) wamesema jambo hilo halifai na wametoa sababu mbalimbali..

nahuo ndio uhalisia, msimamo wa Ahli Sunnah ni kuwa hilo jambo halifai. sasa sijui wengine wanaweza tumia uchochoro wa mashia labda kujihalalishia.
 
[emoji817][emoji1666]

Nilitaka niseme hili jambo.

Biblia imekataza mume asimwingilie mke wake kinyume na maumbile tu.

Mambo mengine kama kunyonyana Mungu katuachia tujiburudishe ili mradi wote mmekubaliana na hakuna anayemkwaza mwingine
Pengine tumemzidi ujanja aliyetuumba, hakufikiria wala kuwaza kitu kama hicho kinawezekana kutokea!
Nafikiri mpango wake ni kuwa, kila kiungo, kina kazi yake. Uume ni kwa uke, mikono inaweza kupapasa, mdomo kwa mdomo au nyonyo, hayo mengine sidhani kama aliyetuumba alipanga yawe hivyo.
 
Mapenzi ni sanaa na mapenzi hayana kinyaa
Mapenzi ni hisia na mapenzi hayana dini
Mapenzi ni utundu na mapenzi kikiri kakara

Sent using Jamii Forums mobile app
Imeandikwa "msinyimane"

(Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu.

1 Wakorintho 7:5(
 
Pengine tumemzidi ujanja aliyetuumba, hakufikiria wala kuwaza kitu kama hicho kinawezekana kutokea!
Nafikiri mpango wake ni kuwa, kila kiungo, kina kazi yake. Uume ni kwa uke, mikono inaweza kupapasa, mdomo kwa mdomo au nyonyo, hayo mengine sidhani kama aliyetuumba alipanga yawe hivyo.
Kumzidi ujanja aliyekuuumba ! huko ni Kuelekea katika kukufuru bila kujua ,jambo hilo haliwezekani ukaiona kitu kimeachwa basi kina hekima yake na yeye ni mjuzi zaidi wa hilo na sio kwamba ameghafilika ,kila kitu kingekuwa plain and clear binadamu asingekuwa na muda wa kujifunza wala kushugulisha akili yake.
 
nahuo ndio uhalisia, msimamo wa Ahli Sunnah ni kuwa hilo jambo halifai. sasa sijui wengine wanaweza tumia uchochoro wa mashia labda kujihalalishia.
Wengine wapo wanaona inafaa sio Mashia lakini ,hoja yao ni kwamba hawawezi kusema haramu kwa sababu hakuna katazo katika Qu'ran wala Sunnah bali wao wanaweka katika kitu cha Makuruh .
 
Imeandikwa "msinyimane"

(Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu.

1 Wakorintho 7:5(
Luka 12:35
[35]
Viuno vyenu na viwe vimefungwa, na taa zenu ziwe zinawaka;
Let your loins be girded about, and your lights burning;

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pengine tumemzidi ujanja aliyetuumba, hakufikiria wala kuwaza kitu kama hicho kinawezekana kutokea!
Nafikiri mpango wake ni kuwa, kila kiungo, kina kazi yake. Uume ni kwa uke, mikono inaweza kupapasa, mdomo kwa mdomo au nyonyo, hayo mengine sidhani kama aliyetuumba alipanga yawe hivyo.
Ametupa akili tujiongeze wenyewe
 
Wengine wapo wanaona inafaa sio Mashia lakini ,hoja yao ni kwamba hawawezi kusema haramu kwa sababu hakuna katazo katika Qu'ran wala Sunnah bali wao wanaweka katika kitu cha Makuruh .

Hiyo uchochoro si imepingwa waz waz
 
Pengine tumemzidi ujanja aliyetuumba, hakufikiria wala kuwaza kitu kama hicho kinawezekana kutokea!
Nafikiri mpango wake ni kuwa, kila kiungo, kina kazi yake. Uume ni kwa uke, mikono inaweza kupapasa, mdomo kwa mdomo au nyonyo, hayo mengine sidhani kama aliyetuumba alipanga yawe hivyo.

Vitu karibia vyote vipo kwenye vitabu vya dini ni vilee tunashindwa tu kutafsir na pengine ujeuri wetu tu tunajua ila tunakiuka Kwa maksud
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom