Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,303
- 183,185
Hakuna zaidi ya utamu usio na mfano!!Hakuna side effect zozote? Kwa bacteria waliojazana huko
Hakuna zaidi ya utamu usio na mfano!!Hakuna side effect zozote? Kwa bacteria waliojazana huko
Nimesoma juu nikaona Hadi Mungu anasingiziwa na maandiko yako wazi.Bacteria ni wengi sanaa sehemu za siri na side effect zipo wengine wanapata madhara mara tu anapofanya hiyo michezo unakuta mtu anababuka mdomo nk
Kwenye biblia hakuna kilichoachwa futilia vizuriPengine tumemzidi ujanja aliyetuumba, hakufikiria wala kuwaza kitu kama hicho kinawezekana kutokea!
Nafikiri mpango wake ni kuwa, kila kiungo, kina kazi yake. Uume ni kwa uke, mikono inaweza kupapasa, mdomo kwa mdomo au nyonyo, hayo mengine sidhani kama aliyetuumba alipanga yawe hivyo.
Wengine wapo wanaona inafaa sio Mashia lakini ,hoja yao ni kwamba hawawezi kusema haramu kwa sababu hakuna katazo katika Qu'ran wala Sunnah bali wao wanaweka katika kitu cha Makuruh .