Warumi 1:26-27
Neno: Bibilia Takatifu
26 Kwa hiyo, Mungu aliwaachia wafuate tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao waliacha matumizi ya asili ya maumbile yao wakatumia miili yao isivyokusudiwa.
27 Hali kadhalika wanaume waliacha uhusiano wa asili kati ya waume na wake wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume walifanyiana mambo ya aibu, nao waka pata katika miili yao adhabu waliyostahili kama matokeo ya uovu wao.
Kula kwa mpalange Biblia inashutumu sana hapo mstari wa 26 inawataja wanawake waliokuwa wanafirwa, Mungu alichukia sana. Kunyonyana hakuna shida
Kulamba/ kunyonya sehemu za Siri za mwanamke kunachangia sana kuharibu (kuleta mikosi kwa) riziki za mwanaume. Hata kama ni Mkeo.
Fanya uchunguzi utajua.
Watu wengi wanaangamia kwa kikosa maarifa, haswa ya kiroho.
Chukua tahadhari.
Kwa mujibu wa hadith haifai kunyonyana tupu ni kosaMapenzi ni sanaa na mapenzi hayana kinyaa
Mapenzi ni hisia na mapenzi hayana dini
Mapenzi ni utundu na mapenzi kikiri kakara
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwaandaa na kunyonyana ni vitu viwili tofauti mkuuNashindwa kusema ruksa ama lah!! Ila dini inasema tuwaandae wenzetu kabla ya kuwaingilia.
Na hizo za kulambana ndio wanazipenda sanaa miaka hii hakuna mtu atakayesema ni haitakiwi kila mtu atasema michezo iendelee
... ziendeeni konde zenu mpendavyo! Unataka nini tena?Katika baadhi ya dini zinapinga hilo tendo na madhehebu katika dini hizo hizo zinatofautiana, waalimu wengine wadini wanasema inafaa wengine wanapinga haifai
Hapa naongelea dini? Zote tuambie kulingana na mafundisho ya dini yako je? Inafaa wanandoa kunyonyana sehemu za siri , Kwa mwanaume kumlamba au kumnuonya mwanamke wake? Na mwanamke kumnyonya au kumlamba mwanaume wako sehemu ya siri kulingana na mafundisho na maelekezo ya dini yako hili jambo lipo vipi?
Tunaharibiwa sana na sinema zinazorushwa mitandaoni ndio maana hili jambo hali pati muhafaka
Imekuwa tabia sasa na hili jambo linaonekana kawaida sanaa kwenye jamii zetu
Maelekezo y imani ya dini yako inasemaje? Na kama una vifungu au hayaa utupe hapa tupate jibu sahihi najua dini hazijaacha kitu katika kuelezea mambo yote ulimwenguni
Kwa mujibu wa hadith!Kwa mujibu wa hadith haifai kunyonyana tupu ni kosa
Watu huwa wananyonya mpaka sefulikunyonya sehemu za mwanamke ukiondoa matiti, sidhani kama ni salama kiafya.
Kunyonya K sidhani kama iko poa kiafya, japo upande mwingine mwanamke kunyonya utupu wa mwanaume sio kama kuna complication kama mwanaume amejisafisha vizuri.


Kwa kweli. Halafu Haram ndio inapendwa sanaaa.Haram😀
Nimecheka kwa nguvu, mbona kama inamake sense... Lkn hayo maandiko ya Mungu yanatuasa tusile vitu vya kuhatarisha afya zetu... Nawaza kunyonya hizo vitu zileWakati Abel alipomuua Kaini..
Akashindwa cha kufanya kuhusu mwili ...
Mungu akaleta kunguru wawili ..mbele yake ..wakapigana....Hadi mmoja akafa...Yule Kunguru mwingine akachimba shimo na kumfukia Kunguru mwenzie alie muua...
Hapo Abel akajifunza kuhusu mazishi na yeye akamzika ndugu yake ...
Sasa Mungu alipotuletea mbwa wakafanya doggy style mbele yetu?
Na ndege wakalishana mbele yetu?
Na paka na mbwa wakilambana sehemu za Siri ..... umeelewaje?
Note sijasema Mungu kasema tufanye...nimeuliza Tu swali![]()

bacteria