Tr Paul
Senior Member
- Mar 18, 2020
- 170
- 157
Napenda sana MTU akijenga hoja aweke reference, hii reference hata mi naikumbuka miaka kadhaa iliyopita nilipata kupitia BBC2006 UNESCO iliitangaza Uganda kama nchi yenye grammar bora katika nchi za Afrika zinazoongea Kiingereza. Binafsi nilidhani Botswana wanaongoza lakini nilishtuka kusikia ni Uganda.