Je, ile 'confidence' ya Kuongea Kiingereza 'fluently' bila kuandikiwa au kusoma akina Nyerere na Mkapa waliitoa wapi nami nikajifunze?

Lugha yoyote ukiipenda....ukijitoa kuipenda kwa kutaka uijue vyema kwa ARI KUBWA NA KUJIFUNZA basi utaifahamu vyema tu....

Kuna watu wana ufaswaha mwepesi wa kutamka maneno ya lugha ya kigeni kuliko wengine....inaonekana "brain centers" zao za lugha ziko "strong" kuliko wengine, hawa hawatumii nguvu kubwa iliyopitiliza kuliko makundi mengine.

Kwa makundi mengine wasio wao huhitajika kujitoa mno....mno haswa ikiwa hiyo lugha ya kigeni anajifunza mtu akiwa ukubwani.

Ninaamini mbali na JUHUDI KUBWA aliyokuwa nayo mathalani hayati Ben.Mkapa ila pia "language center yake upstairs" ilikuwa iko vyema sana.

Hayati Mkapa alikuwa anapenda sana kusoma lugha ya KIINGEREZA kupitia vitabu vya tamthilia za kiingereza,michezo,riwaya na hadithi.Alipenda makala tofauti kupitia lugha hiyo....yuko mzee mmoja alipata kuhadithia kuwa huko Makerere hayati Mkapa alikuwa moto mno.....sawa na jamaa wa Kijaluo kutoka nchini Kenya WALIOKUWA huko chuoni.

Kiufupi hayati Mkapa alikuwa CHARISMATIC aliyependa sana "kumaintain classy" driving force aliyokuwa nayo ilitoka moyoni (passion).

Kuhusu hayati baba wa taifa JKN "ugenius wake" charisma yake ya kiuongozi ,kupenda sana kusoma ,kupata elimu MAKERERE na EDINBURGH kulimsaidia sana....alijiandaa kujua mengi ili kuwakabili wazungu kwa HOJA ZA MOTO.

#KaziIendelee
Uko sahihi kabisa.saluye

Sent from my V1818A using JamiiForums mobile app
 
Shule Zamani za Tanganyika na Zanzibar enzi ya mkoloni zilifundisha Kwa Lugha kwa waliotutawala, ndio maana utasikia Elimu ya Mkoloni na wazee wetu wa zamani walijua kiingereza kidogo, hebu tusome hii

When Germany colonized what was then Tanganyika in the 1880s, it introduced European education, science, mathematics, and engineering, as well as the German language. Such education went no further than elementary school and was limited to a few missionary-controlled schools.

In 1891 the German Governor, Von Soden, created a Western system of education to help cement the loyalty of Africans and provide inexpensive labor. The difficulty experienced suppressing the Bushiri Muslim revolt engendered respect for Islam in Von Soden. He paid Muslim teachers to visit government schools and used Swahili as the main medium of instruction. In an official 1903 circular he stated that his goals were:

To enable the native to be used in government administration.
To inculcate a liking for order, cleanliness, diligence, and duty and a sound knowledge of German customs and patriotism. (Cameron 56)
From 1918 on, England administered Tanganyika and Zanzibar as League of Nations Trust territories. England added government subsidies to the German educational system, but otherwise did not fundamentally change it. Mission schools offered basic literacy, hygiene, mathematics, and religious and moral education. Most Africans found schools disruptive of their agricultural cycles and avoided them as superfluous.

Under a dual mandate England was to control Tanganyika and Zanzibar until they could learn to govern themselves, at which point it was to grant them independence. Fearing that this would not take place, Julius Nyerere argued in favor of immediate independence following World War II, and, in 1961, Tanganyika peacefully won its independence. Tanzania however was ill prepared for independence. The first secondary school was opened in 1930, and when World War II ended in 1945, only one school offered education through the twelfth grade in the entire country. It had six students. Colonial education expanded after 1950, but mainly in urban areas. Bright high school graduates were sent to Makerere College in Uganda or the Royal Technical College in Kenya (Nairobi University). By 1959 only 70 Tanzanian African had earned university degrees and 20 of these were teachers.



In 1954, less than 10 percent of Tanzania's children were in school. The colonial educational system was inadequate for the needs of an independent nation. Illiteracy was so widespread that elementary education was offered to all who desired it. Talented students won seats in high schools and at universities free of charge. After independence, education was offered by the government to all who could prove that they could benefit from it. As costs mounted, this policy became too expensive and was modified.



Read more: Tanzania - History Background - Percent, Education, Tanganyika, and Independence - StateUniversity.com Tanzania - History Background
 
Matunda ya Maķerere University
Na Salim Ahmed Salim yuko vizuri
Mkuu, nadhani huyu Ndugu (Salim A Salim) zaidi ya asilimia 90 ya maisha yake ya kikazi alikuwa nje ya Nchi ambako alikuwa akihudumu kama Balozi wa Tanzania na hatimae kugombea nafasi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na kisha akahudumu kama Katibu Mkuu wa OAU. Kwa mantiki hiyo, sichelei kusema kwamba alikijua kingereza kama lugha yake ya kuzaliwa, tofauti na hao wawili.
 
Natamani sana nami GENTAMYCINE nijue Kuongea Kiingereza kizuri kama cha akina Nyerere na Mkapa na siyo nije nikijue vizuri baada ya Kustaafu Majukumu yangu au niwe nakiongea kwa kutegemea Kuandikiwa kisha kila nikiwa nahutubia niwe 'nazuga' kwa Kukiongea kwa Sekunde Tano, nakunywa Maji na nakohoa ili kuwaonyesha wanaonisikiliza kuwa nakijua kisha narejea tena Kusoma huku nikiwa natetemeka na kila mara.

ANGALIZO
Kujua Kiingereza si lazima kwani Kiswahili, Kizanaki na Kinyarwanda kinatosha na wala kujua Kiingereza si kipimo cha ama Mtu kuwa Msomi (Intellectual) au Mwerevu (Brainiac) katika Jamii ila katka Uga wa Kimataifa na kwa Heshima ya Lugha ya Kiingereza tokea enzi na enzi kutokujua Kiingereza (Kiswahili cha duniani kama alivyowahi kusema Mwalimu Nyerere) wakati hata 'Mitaala' yetu ya Elimu ni ya Kiingereza kunaweza Kutafsiriwa ni Uwendawazimu na Unafiki usiovumilika.

Mimi nilipenda Sana kiingereza Cha sheikh Aboubakar Mwilima. Kilikuwa kimenyooka Sana.
 
Flow yake ipi ??!! 🤣

I am not impressed by his flow utajamba kifukutooo !!
If that is the case!! I deeply doughty about your capacity of analyzing things academic wise !!!!! Oohh! Yes! you'r here by mistakes, Julius was and still is far better, philosophically!! not only local but worldwide! come what may!! en! you cannot snatch't away from him!!!

Apart from presidential status he had thrived for decade until death met him!! ..... he stand to be International iconic figure ever! come what may! ..... Beyond this I really rather say! ''sorry for dis useless kind of serious illiteracy Luggage you've been carrying in your shoulders for Long and still suffer de consequences!

funny enough!! en out of shame you are serious among de respectable accredited Macritullated figure, of whom Batanzania they are expecting to up lift their standard of living! sure??......

by de way how did you come about on passin' your previous O level'' final exams; especially on Eng. Literatures Book analysis?? as when you come across to ''Ujamaa By JK Nyerere? tell me!!! .... surely you know nothing about dis! ..sema ulijibu nini wewe kijana!!

Even historic wise! you'd have had ask your former school mates on how was de trend of Literatures in the past!!...... like we as a competent scholar did!! we knew about ''Merchants of Venice of de past author'' Shake.....
 
Flow yake ipi ??!! 🤣

I am not impressed by his flow utajamba kifukutooo !!
In respond to your concealed agendas some where there! let me tell you something you dont know ''Julius kambarage Nyororo is our role Model! never ever!! try!! in one way or another to down trode him!! ......unless other wise

be vigilant of expectin' serious verbal resistance from us!! unless other wise shut up your warms' can forever! you gonna remain safe en' untouchable!! beyond that you are inn for it!

Well! Knowing some useless bunches of your fore fathers oppressor' Languages.....has nothing to do with your fellow farm keepers who suffer from day to days living of hand to mouth style......More than down grading you, as a mere educated nigger from de Bush!!

Once upon a time! I lived in so many countries in connection of ma parents Career' including Japan, Germany, Italy etc!! Upon their retirement back home, I was left behind till now.....wonderful enough I speak our language to another level... ...

apart from all of those!! I still speak fluently , ZULU, SOTHO, CHEWA ... in addition to dat am still insisting!! dat knowing bunches of useless language doesn't bring nourishment to de table!...

your home languages en E.Africa in general I speak not less than four! Ankole, Luganda, Malagoli. kuria etc!.. Mura tata, amang'ana!! na meiya!! ntangha ekebhombo!.....Bukoba... Mawee!! batu bangi bantere emana!!...kyakugonza muana wa bhabaha!.....

Hence forth en' seriously u' must Learn!! how to respect our unforgettable role model, julius! unless other wise!! expect & accept serious Blue flame like rebukes!! ...hope u' gel ma drift !! sawa bana kuba.... yule ako vizuri ni baba wa Taifa hutaki kufa!

Wang'utwa??..... Kyasamaya!!! kita ub'hona!! ama mughao!!! kire bhwire ntate waka!!.uyakhae.....wakula ..adios amigo!!..to mention a few!! ...On top of that! demand not ma respectations!.... if en only if!! you won't respect Julius Kambarage Nyerere!!
 
Kiingereza cha Nyerere kilikuwa poor, Kiingereza kilikuwa na Augustino Mahiga.
Usimfananishe Nyerere na vitu vya hovyo..

Nimesoma Azania sec,
Kulikuwa na mwalimu mmoja wa kingereza anaitwa Peter mashanga.

Huyu Mzee alikuwa akiongea English unaweza kusema ni BBC London.
Mzee ana accent tamu balaa,,

Siku moja tukiwa darasani alisema, ktk inchi hii Tanzania,tunaoongea kingereza kwa ufasaha ni watu 2 Tu.
Ni Mimi Peter mashanga na Nyerere.
Hakuna mwingine..

Siku zote ukiona nguli wa jambo fulani kamkubali mwanataaluma mwenzie.
Basi elewa jamaa kweli anajuwa.

Tangu siku hiyo,kuhusu kuongea English kwa ufasaha, Nyerere nilimvulia kofia/ shati/ pamoja na viatu.
Nikabaki na suruali Tu..
Mzee alikuwa nuksi yule.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
And stop worshipping Nyerere as your God for he stood as a mortal human being.
Stop mentality! ya kunilisha maneno ''unless other wise you did'nt dig ma' point!!... just because of your useless superiority complexes! ...did I mention de word ''Worshiping'' of some body in ma previous statement??'' ....

By de what's the meanin' of worshipping human being? how? tell me!...... na kama kwa akili zako unaona mie namu-adore Julius km demi god...means unamkubali mno! hata ufanyeje!! unaonekana ivo!!
asa usije hapa kutamba kwamba unajua lugha nyingi!!!--- hapa sio mahala pake, kama unataka mashindano ya linguistics basi fungua uzi na ukaribishe watu huko.
Labda hukuelewa nilicho kiandika!! aliye tamba anajua Lugha nyingi ni wewe! mie nimekuelimisha tu!! kwamba Lugha ya opressors wako hiyo!! siyo mali kitu!! zaidi watakudharau tu nawajua sana hao!! nikasisitiza siyo ujanja! hapo naona umenielewa!
I am not impressed by J k Nyerere spoken English, Saying so I don't mean a disrespect to him, I respect him as
You are not impressed at the same time!! you respect him!!! ......

Cause some one gel impressed by some one else who speak out!! his fascinating, tangible understandable political & philosophical point of view! if that is not the case what did you respected??

En the whole World come to know Julius just because of his Global Political Philosophy stand point!! for your case! How possible to respect some one you really not impressed by his understandable spoken political stand point of view??

mind you! julius was verbally expressing his philosophic stand point! in a broad sense at different podium level ! wonderfull enough you were not Impressed of something which you knew very well! en respect him!!!!

Unaheshimu mwanasiasa pale panapo vutia kisera kijana unasikia..nenda kasome upya halafu uje tena ! .....au ulipenda sura yake!! tuambie ulipenda sura...na km ni ivo tukupe jina gani....chagua mwenyewe!

Let me ask you!! are you really out of Mind??...unajua dogo hizi ni... nonsensical primitive contradictions I better say wewe ni....msshsgdnnn ngoja nikuhifadhi kwanza!
 
Wewe bado ni mtoto mdogo kwangu, mimi nimesoma Azania zama za Waalimu wa lugha ya Kiingereza akina madam Menezes na Dimelow (Indians) na Sir Bosco Jutha (Mswahili), nimesoma Kibaha high school nimefundishwa na akina Mzee Yona Kazibure (marehemu na Mungu amlaze mahali pema peponi) huyu alisomea Uingereza Telecom Engineering, kifupi nimefundishwa na Waalimu wengi wa hiyo lugha na wasiokuwa waalimu wa hiyo lugha ambao wamenifundisha masomo mengine kupitia hiyo lugha kwa maana hiyo nimekuwa katika uwanja mpana kwa muda mrefu katika Lugha hiyo japo siwezi kudai kwamba mimi ni mwamba katika hiyo lugha lakini hiyo hainiondolei haki ya kuamua au kumpima mtu uwezo wake wa kuongea hiyo lugha kwani uzoefu wa kimazingira niliopitia/ninaopitia wa Lugha hiyo unanipa haki ya kutoa maoni yangu na kutoa maoni au mtazamo sio kashfa, dhambi au kuteza heshima ya mtu tunayemjadili isitoshe haihitaji mtu ujue kucheza mpira ndipo upate haki ya kumkosoa mchezaji anapokosea uwanjani, ni experience tu ya kuangalia sana mpira ndiyo inayomfanya mtu aseme mchezaji fulani ni mzuri au ni mbaya uwanjani au kakosea hapa na pale nk.

Kwa bahati nzuri nimesikiliza hotuba kadhaa za mwalimu akiongea kiingereza--- bila kusoma mahali popote (free speaking) na ninasema--with due respect-- "I am not impressed by Mwalimu Spoken English".
Basi Sawa mkuu..
Kama kwako lafudhi fasaha ya kuongea English sio kigezo cha kujuwa kuongea English basi upo vzr sn mkuu...
Na sidhani kama huyo Peter mashanga ninayemuongelea ulipata hata bahati kumuona.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
sivutiwi na kiingereza chake cha kuongea"---- hayo maoni na fikra zangu jinsi ninavyo au nilivyomuona na huwezi kuzibadilisha kamwe juu ya Mwalimu. Huwezi kamwe kunifanya nimuone katika jambo hilo jinsi wewe kwa mtazamo wako unavyomuona Mwalimu katika jambo hilo, wewe ni wewe na mimi ni mimi--- two different persons reared, schooled etc, at different environments.
Yeees!! Mie nimpumbavu!!...ndo kawaida sisi Ma-idealistic wapevu kuitwa ivo!! ni cheo!! ita tena...... sawa!! sawa wewe mjanja kiingereza chako ulichokwenda kuongea UNO wakakuelewa kiko wapi??..

shule zenyewe zako hizo utoporo mtupu!!.....kuumbe form six leaver ya mavumbini hapo kibaha??? fikra mfu hizo kazizizke hukooo! km hutaki kumuona nyerere km mie funga kopo lako faster!

ficha fikra zako kijana siku nyingine usirudi hapa na hoja hizo!! Julius ni level nyingine kabisa haibadilishi kitu!! bana shut up yo warms cans!! ..... wajinga wajinga hawawezi kuelewa hili! tupia hapa project paper zako tuone km kweli wewe unaweza ku-challenge Nyerere wetu!

siku zote wajinga wajinga watadharau ya Nyerere hiyo ni kawaida....., hata Yesu Mungu mwana kuna watu mna vaaga nguo ndeefu mnamponda mpaka leo!! ...ndo hao hao mnamponda nyerere!! hata kwanza hueleweki mara una heshimu mara una vutiwa nae

huko shuleni ndo ulisomeshwa ivo kutukana hovyo wakubwa zako?? weweweeeee!........ na nukuu maneno Makuu.....''Kinywa Domo la mpumbavu hunena ya ujazayo moyo''!!
 
Wewe bado ni mtoto mdogo kwangu, mimi nimesoma Azania zama za Waalimu wa lugha ya Kiingereza akina madam Menezes na Dimelow
Hakuna kitu acha sifa za kishamba wewe mzee Mwlm Segua segua unamjua wewe!!.....km humjui weye ni mtoto wa juzi!
 
Blind fool. Kumbe naongea na mwendawazimu,😀

Kwakuwa kichwa chako ni kama chicken gizzard, narudia kusema hivi; Nyerere namuheshimu na nitaendelea kumuheshimu kwa mambo mema aliyoyafanya na sio kwa mabaya aliyofanya kwani yapo mabaya ya kibinadamu aliyafanya, hayo mazuri yake hayanifanyi mimi niwe mentally blind folded kama wewe kwa kutokusema yale yasiyokuvutia kutoka kwake, ndio ma
Mwenyewe ndo uko hivo km ulivo sema stress za maisha zina kusumbua ....km unajua alikuwa na mapungufu ya kibinadamu Mazuri yake mengi yanambeba....primitive life failure to hell!
 
Tofauti ya kuongea kingereza kati ya Mahiga na Nyerere ni hii:
Nyerere anaongea kingereza kwa kutumia lafudhi yake ya kizanaki (kiafrika) ila matamshi mazuri na mtiririko mzuri wa lugha hiyo.
Mahiga anaongea kwa kuiga lafudhi ya kigeni na anaongea kama siyo yeye mwenyewe. Ni kama ana soma taarifa ya habari! Pia anafikiria kila neno kabla ya kulitamka ili aendelee kuiga ile lafudhi ambayo siyo yake. Anajaribu kuficha kihehe na hapo ndipo ana haribu.
My take - Nyerere is better
Mkuu umeongea vizuri sana. Hii komenti Yako ilipashwa iwe hitimisho la huu Uzi. Asante sana.
 
Back
Top Bottom