Je, ile 'confidence' ya Kuongea Kiingereza 'fluently' bila kuandikiwa au kusoma akina Nyerere na Mkapa waliitoa wapi nami nikajifunze?

Natamani sana nami GENTAMYCINE nijue Kuongea Kiingereza kizuri kama cha akina Nyerere na Mkapa na siyo nije nikijue vizuri baada ya Kustaafu Majukumu yangu au niwe nakiongea kwa kutegemea Kuandikiwa kisha kila nikiwa nahutubia niwe 'nazuga' kwa Kukiongea kwa Sekunde Tano, nakunywa Maji na nakohoa ili kuwaonyesha wanaonisikiliza kuwa nakijua kisha narejea tena Kusoma huku nikiwa natetemeka na kila mara.

ANGALIZO
Kujua Kiingereza si lazima kwani Kiswahili, Kizanaki na Kinyarwanda kinatosha na wala kujua Kiingereza si kipimo cha ama Mtu kuwa Msomi (Intellectual) au Mwerevu (Brainiac) katika Jamii ila katka Uga wa Kimataifa na kwa Heshima ya Lugha ya Kiingereza tokea enzi na enzi kutokujua Kiingereza (Kiswahili cha duniani kama alivyowahi kusema Mwalimu Nyerere) wakati hata 'Mitaala' yetu ya Elimu ni ya Kiingereza kunaweza Kutafsiriwa ni Uwendawazimu na Unafiki usiovumilika.
MKAPA LILE JAMAA NI JEMBE LA ENGLISH LILIJUA KUTEMA UNG'ENG'E NOMA NOMA. HAWA WA SAIVI HAMNA KITU.
 
You need not be a footballer to examine a footballer.

Above all, I have never claimed that I'm superb in English.

Umeamkaje leo, hujambo kichwani??
Hogwash!

You "examine and judge" something you have no clue about?

This is further vindication of your mental case condition.
 
Lugha yoyote ukiipenda....ukijitoa kuipenda kwa kutaka uijue vyema kwa ARI KUBWA NA KUJIFUNZA basi utaifahamu vyema tu....

Kuna watu wana ufaswaha mwepesi wa kutamka maneno ya lugha ya kigeni kuliko wengine....inaonekana "brain centers" zao za lugha ziko "strong" kuliko wengine, hawa hawatumii nguvu kubwa iliyopitiliza kuliko makundi mengine.

Kwa makundi mengine wasio wao huhitajika kujitoa mno....mno haswa ikiwa hiyo lugha ya kigeni anajifunza mtu akiwa ukubwani.

Ninaamini mbali na JUHUDI KUBWA aliyokuwa nayo mathalani hayati Ben.Mkapa ila pia "language center yake upstairs" ilikuwa iko vyema sana.

Hayati Mkapa alikuwa anapenda sana kusoma lugha ya KIINGEREZA kupitia vitabu vya tamthilia za kiingereza,michezo,riwaya na hadithi.Alipenda makala tofauti kupitia lugha hiyo....yuko mzee mmoja alipata kuhadithia kuwa huko Makerere hayati Mkapa alikuwa moto mno.....sawa na jamaa wa Kijaluo kutoka nchini Kenya WALIOKUWA huko chuoni.

Kiufupi hayati Mkapa alikuwa CHARISMATIC aliyependa sana "kumaintain classy" driving force aliyokuwa nayo ilitoka moyoni (passion).

Kuhusu hayati baba wa taifa JKN "ugenius wake" charisma yake ya kiuongozi ,kupenda sana kusoma ,kupata elimu MAKERERE na EDINBURGH kulimsaidia sana....alijiandaa kujua mengi ili kuwakabili wazungu kwa HOJA ZA MOTO.

#KaziIendelee
Well said.
 
Ni kweli bhana,mwenyewe natamani sana niwe ivo.Yaan inaumiza sana pale unapokuwa unajua tu kiingereza cha kuchochea mwenzako afike haraka mshindo....yeah,yeaaah! Yeaaah baby! SHWAINIII
 
Hogwash!

You "examine and judge" something you have no clue about?

This is further vindication of your mental case condition.


What comes first, Examination or judgment??

Please, do not insult, let's just go with arguments only, for insulting is a pure sign of bastardism, I frankly do not believe you are the one.

There are several forums in here and we may meet one onother in any one of them under any theme, let's bury the dagger for all.

let's agree in our disagreement, I respect your opinion on Nyerere Spoken English, we all take him with a great reverence as a father of nation, and it is up to you to respect or disrespect my opinion about his spoken english prowess, I'm free to express my opinion and I tried to express in a modest way, in contrary you expressed yours in obscenity, it's you who started provocative shameful remarks against me to which I reluctantly replied accordingly only as a revenge.

Mind you, I have never at any place claim that I'm an English language Wallah and in this writtings of mine there may be some grammatical and syntax errors as an inkling that I'm not an Englishman, however that does not bar me from examine and express my opinion and rulings on someone English prowess, and that's the freedom of expression and opinions Jf has provided us, based on experience from a number of sources and interactions overtimes around me I have been learning not only english but Arabic, France just to mention a few, from the experience and interactions vis a vis listening to Mwalimu's speeches in english I come to a conclusion that; I'm NOT attracted by Mwalimu's spoken english rather I'm attracted by his Spoken Swahili, in this study case and onother as a rule never can we ponder, perceive and see matters and issues in the same styles and fashions even if we were born identical let alone fraternal twins and distant individuals.

I confess, Nyerere was very brilliant person right from schools to the political arenas and international forums, indeed he was among the great influential international figures to be precise, with all that stuffs still he had his own shortcomings and it's not a sinful act or taboo for any body to humbly expose him.

Let bury the dagger right here in this grave (page) and meet with love and affection in other forums as Jf brothers.

"I love you all and hate none"

Henceforth the matter is closed.

Kwaheri.
ماسلام
Goodbye
Adios.
Aurevoire.
 
Kabla hawajajua kingereza walishaenda nje kusoma elimu waliipata huko ndo maana waliweza kuongea Sasa wewe hata debate hujawai unataka upayuke kingereza😂😂😂😂
wao walipelekwa mpaka nje kusoma kumbuka wazee wao walikuwa machief koo ilikuwa rahisi kwao kusoma na kujua lugha
 
Fidel Castro on Face the Nation in 1959


Face the Nation" is America's premier Sunday morning public affairs program. The broadcast is one of the longest-running news programs in the history of television, having debuted November 7, 1954 on CBS. Every Sunday, "Face the Nation" moderator and CBS News senior foreign affairs correspondent Margaret Brennan welcomes leaders, newsmakers, and experts to a lively round table discussion of current events and the latest news.
 
Natamani sana nami GENTAMYCINE nijue Kuongea Kiingereza kizuri kama cha akina Nyerere na Mkapa na siyo nije nikijue vizuri baada ya Kustaafu Majukumu yangu au niwe nakiongea kwa kutegemea Kuandikiwa kisha kila nikiwa nahutubia niwe 'nazuga' kwa Kukiongea kwa Sekunde Tano, nakunywa Maji na nakohoa ili kuwaonyesha wanaonisikiliza kuwa nakijua kisha narejea tena Kusoma huku nikiwa natetemeka na kila mara.

ANGALIZO
Kujua Kiingereza si lazima kwani Kiswahili, Kizanaki na Kinyarwanda kinatosha na wala kujua Kiingereza si kipimo cha ama Mtu kuwa Msomi (Intellectual) au Mwerevu (Brainiac) katika Jamii ila katka Uga wa Kimataifa na kwa Heshima ya Lugha ya Kiingereza tokea enzi na enzi kutokujua Kiingereza (Kiswahili cha duniani kama alivyowahi kusema Mwalimu Nyerere) wakati hata 'Mitaala' yetu ya Elimu ni ya Kiingereza kunaweza Kutafsiriwa ni Uwendawazimu na Unafiki usiovumilika.
Hawakusoma shule za kata walisoma makerere na Britain
 
Lugha yoyote ukiipenda....ukijitoa kuipenda kwa kutaka uijue vyema kwa ARI KUBWA NA KUJIFUNZA basi utaifahamu vyema tu....

Kuna watu wana ufaswaha mwepesi wa kutamka maneno ya lugha ya kigeni kuliko wengine....inaonekana "brain centers" zao za lugha ziko "strong" kuliko wengine, hawa hawatumii nguvu kubwa iliyopitiliza kuliko makundi mengine.

Kwa makundi mengine wasio wao huhitajika kujitoa mno....mno haswa ikiwa hiyo lugha ya kigeni anajifunza mtu akiwa ukubwani.

Ninaamini mbali na JUHUDI KUBWA aliyokuwa nayo mathalani hayati Ben.Mkapa ila pia "language center yake upstairs" ilikuwa iko vyema sana.

Hayati Mkapa alikuwa anapenda sana kusoma lugha ya KIINGEREZA kupitia vitabu vya tamthilia za kiingereza,michezo,riwaya na hadithi.Alipenda makala tofauti kupitia lugha hiyo....yuko mzee mmoja alipata kuhadithia kuwa huko Makerere hayati Mkapa alikuwa moto mno.....sawa na jamaa wa Kijaluo kutoka nchini Kenya WALIOKUWA huko chuoni.

Kiufupi hayati Mkapa alikuwa CHARISMATIC aliyependa sana "kumaintain classy" driving force aliyokuwa nayo ilitoka moyoni (passion).

Kuhusu hayati baba wa taifa JKN "ugenius wake" charisma yake ya kiuongozi ,kupenda sana kusoma ,kupata elimu MAKERERE na EDINBURGH kulimsaidia sana....alijiandaa kujua mengi ili kuwakabili wazungu kwa HOJA ZA MOTO.

#KaziIendelee
Umedadavua vizuri mno ,walistahili sana ,mazingira yaliwaruhusu
 
Ni ngumu sana kuwa kama nyerere au mkapa ktk lugha hii ya kizungu, hawa walisoma nje elimu za juu ila msingi na sekondari walipiga hapa hapa tz tena shule za kata za enzi hizo.
ni kwamba hawa jamaa walijiamini sana, waliongea awali bila kujali wanakosea au laa walisoma vitabu na kujimiks haswa na wale wasiojua kiswahili hivyo walilazimika kuongea lugha hiyo na kupitia hiyo walijifunza sana. Ukitaka kujua lugha fulani jimiks na watu wasiojua kiswagili hata kidogo. Wawe wanaongea hiyo lugha unayoongea nao hivyo hata ukikosea hawajui kwa kiswahili kuwa umekoeea. Wakosoaji wengi wa kibongo ni wale ambao akizungumza kwanza lazima atafsiri kichwani kwa kiswahili. Kasumba yetu sasa wa senti kayumba ni unakuta unajua jua ila ukiongea sana maneno yanaisha au unakuta kuna mwenzako ambaye hajui kabisaaa hiyo lugha ila amekaa kitako anasubiri uchapie moja akitangaze sasa kahofu ka kutaniea unabaki hufanyi mazoezi.
Well said ,point yako ina mashiko na ipo relevant ,,kujichanganya na watu wasiojua/kujali kuwa unakosea ,kibongobongo nimewahi ifanya hii practically nilipata ajira English medium moja watoto wapo vizuri sana so mi nilikuwa najichanganya nao kuliko waalimu na nilipata kitu ,
 
Fluency pekee yake haitakubeba. Unahitaji vitu vitatu, all at once: umahiri wa lugha, umahiri wa public speaking na subject matter expertise. Ukikosa umahiri wa public speaking na subject matter expertise, hata ukiongea kwa kutumia lugha ya mama yako, watu watatoka hawajui hata ulichoongea!
Madini nimeyaokota
 
Back
Top Bottom