Je, ile 'confidence' ya Kuongea Kiingereza 'fluently' bila kuandikiwa au kusoma akina Nyerere na Mkapa waliitoa wapi nami nikajifunze?

Wewe ulipata bahati ya kumuona Marehemu Yona Kazibure??--- huyo hakuwa Mwalimu wa kiingereza, alikuwa mwalimu wa Physics A level, huyo alisoma uingereza Engineer (msc ) na kanifundisha Physics,--- Mimi so far sijapata kumsikia Mtanzania yeyote anayetema Kiingereza grammatical na chenye flow nzuri na hata pronounciation yake ya "kiafrika-kizungu" na mipachiko ya maneno fasaha ya kiingereza katika maongezi kama huyo teacher, utapenda uongeaji wake soft, sasa hujajaja katika uandishi wake; utapenda anavyoshuka ubaoni kuandika notes zake kwa lugha fasaha ya kiingereza bila kunukuu hizo notes kibao na Calculations za Physics.

Nakumbuka kauli yake moja ya kuchekesha kipindi anatufundisha topic ya "SEISMIC WAVES" alipokuwa anaondoka alipomaliza kipindi alisema; "-----there are so much dangerous things within the earth crust the less we know about them the better"--- kwasababu topic yenyewe ina involve the earth crust na earthquakes ilibidi darasa zima tuangue kicheko.🤣

RIP Yona Kazibure.
hapo kwenye quote yake ondoa 'much' weka 'many'...
 
You are right 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 since then it is a long time now, mistakes are inevitable as human being.🤣
At least you tried.

Man is to err so don't be afraid to keep practicing.
 
Wewe bila shaka waalimu wako walipata shida sana kukufundisha kwani you are unteachable.

Ni hivi; Mtu yeyote hata awe na mazuri gani lakini ni lazima awe na MAPUNGUFU, asiyekuwa na mapungufu ni Mungu pekee mapungufu ni Sifa ya binadamu, Nyerere ni binadamu na hata yeye amepata kusema baadhi ya makosa aliyofanya Katika uongozi wake, makosa ni Mapungufu (short comings). Ndio maana nasema unaonekana kumfanya Nyerere ni Mtu lakini kiuhalisia You are intoxicated by loves and affections to him so much that you are mentally docile to think out of Nyerere pandora box, the box you created in your minds "figmentally", the box in which the demi-god creed of yours resides.
Waalimu wangu walipata shida sana!! ni kweli kabisa hujakosea!! kwa kuwa nilikuwa najua! tena nilijua kuwa najua!..UPE ndo kabisaaaa!! ...so.ndo maana nikapaa shule maalum!! sasa nikikutana na vilaza humu inakuwa shida zaidi!!....

Sikia sasa Mtu makini hana Mapungufu!! wewe msikilizaji mpokea taarifa km mukazwa ndo una pamapungufu unasikia!!!...jiulize weye ujihoji mapungufu yako!!!..usiangalie mwingine

Usituhukumu wote kiivo!! hayo nayo ni mapungufu yako wewe!!!...nakufundisha bure ili siku nyingine usirudie.......kwa watu wenye akili nyingi kama mie.......Kama Mungu wako huyo asinge kuwa na Mapungufu kwa nini Shetani alimkimbia?

Tena mbaya zaidi theluthi tatu ya Malaika wote waliasi pamoja na shetani wakawa upande wa shetani mpaka leo? ...Mapungufu ni sifa za binadamu km wewe si wote!!...Duniani humu kuna vizazi vya aina mbili....Cha Nyoka kupitia cain... na Seth......

Kizazi cha nyoka always ni mapungufu tu!! ...tena maajabu wana jikubali kirahisi sana....sasa ume-m- categorize vepe Julius kambarage Nyerere kuwa ni kizazi cha nyoka mwenye asili ya Mapungufu???

Ok! Pamoja na Mungu wako kumsamehe bure satan!! shetani aliukataa msamaha huo na Mpaka leo hataki suruhu??? anaendelea kuwatesa wasiojua kweli yao km wewe? ? na weye anakutesa sana mpaka unajua kuwa mbinguni huendi?? na uko sawa!!

Kumbuka kuwa Mungu aliumba viumbe vyoooteeee!!...vyenye kiburi/matusi na visivyo na kiburi, vyenye kumjua na visivyo mjua!!....akazidi kudadavua kuwa ''Imani si mali ya kila mtu''!

Ila nawasifu wana wa Devil huwaga mna kili kabisaa kuwa mna Mapungufu na kweli manake tumeshuhudia humu jinsi kinywa chako kilivojaa mitusi! na uelewa hafifu! ...nakueleza haya ujue tofauti yangu na yako!!!
 
--there are so much dangerous things within the earth crust the less we know about them the better"--- kwasababu topic yenyewe ina involve the earth crust na earthquakes ilibidi darasa zima tuangue kicheko.🤣
Wajameni sasa!!! heee!! hapo kwenye hiyo statement simple tu!!...nini kilicho kuchekesha cha kufurahisha/na ajabu!! mweee!!!! ...ujue dogo mie nakusaidia ujue namna bora ya kufikiri!!..ni kwa faida yako tu.
 
Natamani sana nami GENTAMYCINE nijue Kuongea Kiingereza kizuri kama cha akina Nyerere na Mkapa na siyo nije nikijue vizuri baada ya Kustaafu Majukumu yangu au niwe nakiongea kwa kutegemea Kuandikiwa kisha kila nikiwa nahutubia niwe 'nazuga' kwa Kukiongea kwa Sekunde Tano, nakunywa Maji na nakohoa ili kuwaonyesha wanaonisikiliza kuwa nakijua kisha narejea tena Kusoma huku nikiwa natetemeka na kila mara.

ANGALIZO
Kujua Kiingereza si lazima kwani Kiswahili, Kizanaki na Kinyarwanda kinatosha na wala kujua Kiingereza si kipimo cha ama Mtu kuwa Msomi (Intellectual) au Mwerevu (Brainiac) katika Jamii ila katka Uga wa Kimataifa na kwa Heshima ya Lugha ya Kiingereza tokea enzi na enzi kutokujua Kiingereza (Kiswahili cha duniani kama alivyowahi kusema Mwalimu Nyerere) wakati hata 'Mitaala' yetu ya Elimu ni ya Kiingereza kunaweza Kutafsiriwa ni Uwendawazimu na Unafiki usiovumilika.
walitoa shuleni walikosoma na ku-practice kuongea kiingereza. Wote degree zao wamesoma nje ya nchi tena iaka hiyo, achilia mbali na shule za msingi na sekondari zikuwa kiingereza tupu, hivyo kwao isingekuwa shida.
 
Natamani sana nami GENTAMYCINE nijue Kuongea Kiingereza kizuri kama cha akina Nyerere na Mkapa na siyo nije nikijue vizuri baada ya Kustaafu Majukumu yangu au niwe nakiongea kwa kutegemea Kuandikiwa kisha kila nikiwa nahutubia niwe 'nazuga' kwa Kukiongea kwa Sekunde Tano, nakunywa Maji na nakohoa ili kuwaonyesha wanaonisikiliza kuwa nakijua kisha narejea tena Kusoma huku nikiwa natetemeka na kila mara.

ANGALIZO
Kujua Kiingereza si lazima kwani Kiswahili, Kizanaki na Kinyarwanda kinatosha na wala kujua Kiingereza si kipimo cha ama Mtu kuwa Msomi (Intellectual) au Mwerevu (Brainiac) katika Jamii ila katka Uga wa Kimataifa na kwa Heshima ya Lugha ya Kiingereza tokea enzi na enzi kutokujua Kiingereza (Kiswahili cha duniani kama alivyowahi kusema Mwalimu Nyerere) wakati hata 'Mitaala' yetu ya Elimu ni ya Kiingereza kunaweza Kutafsiriwa ni Uwendawazimu na Unafiki usiovumilika.
Soma novo
angalia move za kiinglsih................... hata hivyo umesoma shule gani kuanzia O to A level regardless UNI?
 
19 February 2022

Meet Fatma Karume - The woman whose office was bombed and she got fired from her job...



Her office was bombed, she was fired from her job, and her friend opposition leader Tundu Lissu survived an assassination attempt. This Sunday at 3p.m, on our YouTube Channel, we air the story of Fatma Karume, daughter to Zanzibar's former President Amani Karume
Source : Mwanzo TV
 
Graduates wengi wa Udsm kiingereza kwao ni majanga, kama uamini mtafuta Dr Joi ndalycherco uone atakavyokusononesha la lafudhi yake.
 
Zamani ilikuwa ni kawaida sana hata kwa mhitimu wa darasa la nne kuongea fluent ng’eng’e, makanjanja walio jificha kwa mwamvuli wa ‘lugha ya kiswahili’ ndoyo walio tupoteza na kuharibu kabisa msingi mzima wa elimu yetu!
 
15 March 2022

Exclusive with Dr. Abdallah Saleh Possi Ambassador of Tanzania to Germany



Source : News Central TV
 
2021

How A Tanzanian Built A Beautiful Resort On a Mountain!



Mr Baptista Filipatali who is a Tanzanian entrepreneur who has built one of the most beautiful resorts at a unique location which is on a Mountain in Iringa, Tanzania. He tells us about how he was able to build his business in Tanzania and some of the challenges he has faced on his entrepreneurial journey.

Source : Tayo Aina Films
 
2021
How He Built a Multi Million Dollar Business from Wood in Tanzania



Mr Elisha Edison who is a Tanzanian entrepreneur who has built a successful Wood Production Business in Tanzania from the ground up. He is also currently building one of the biggest Wood House Manufacturing Startups in Tanzania. He shares his story on how he was able to build this business in Africa and some of the challenges he has faced on his entrepreneurial journey.

Source : Tayo Aina Films
 
27 February 2022

"Crafting a 20 / 20 Vision " with Dr. Frannie Lèautier and Shalini Unnikrishnan



Africa and "Gentleman farmers", 4th Industrial Revolution, Artificial Intelligence etc
Frannie Léautier is a Tanzanian civil engineer, academic, and international finance and development consultant. She leads and helps organizations in the private, public, and not-for-profit spheres thrive in advanced and emerging economies. Léautier was admitted to the University of Dar es Salaam, graduating in 1984 with a Bachelor of Science (B.Sc.) in Civil Engineering. Dad Frank Humplick was a famous guitarist with a band going by name Frank and His Sisters : Educational and Revolutionary songs from Tanzania, Mississippi Records Frank and His Sisters LP — Mississippi Records

Dr. Frannie Léautier is an African finance and development expert, with long-standing global experience leading and transforming organizations in the private, public and not-for-profit spheres. Prior to joining TDB, she served as Senior Vice President at the African Development Bank, Vice President at the World Bank Group, and Executive Secretary of the African Capacity Building Foundation. In addition to having founded two companies, Dr. Léautier is a board member, trustee, special advisor, and member of a number of international and regional organisations including the World Economic Forum, UN Foundation, Southbridge Group, OCP Group, Orca Explorations, African Risk Capacity (ARC), African Economic Research Consortium (AERC), and Institute for Security Studies (IIS). She previously served on the boards of the King Baudouin Foundation USA (KBFUS), Nelson Mandela Institute for Science and Technology (NM-AIST), and Uongozi Institute among others. Likewise, she is a well-recognised author and academic, having published numerous books, articles and papers in finance, economics and international development. Dr. Léautier has taught graduate-level courses at Sciences Po Paris, MIT, Harvard, Duke, and the University of Tokyo. Dr. Léautier holds a degree in Civil Engineering from Dar es Salaam University and a PhD in Infrastructure Systems from MIT. She also holds honorary doctorates in humane letters from North Central College and Laws from Lancaster University. Filmmaker: Josue Mpia Contact: smithlufoko@rocketmail.com

Source : Africa Business Conference at HBS
 
Kwa umri wako sasa hakutakuwa na improvement . sanasana kama unakijua japo cha kuvunjikavunjika kinatosha kwa kuwasiliana, ukitaka kinyooke japo kwa muda PIGA KILAJI
 
Back
Top Bottom