GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,551
- 108,888
Tuendeleeni tu Kuruhusu 'Upuuzi' na 'Uhuni' huu wa maneno yanayoashiria 'Ufirauni' kutumika na Makampuni ya Simu huku Serikali mkipokea Kodi yenu Kubwa na Maadili kwa Jamii na Kizazi kuzidi 'Kudidimia' tu.
Kuna Kampuni nyingine nayo nimedokezwa inataka kuja na 'Promo' yake isemayo ' Ukitaka Utamu wakati wa Kuingiza tumia Vocha za Mtandao wao' murua wa katikati ya Morocco na Victoria.
Hata hivyo na Mimi GENTAMYCINE kama Mtoto wa Pwani nasema tena kwa Kukiri kabisa kuwa cha Asubuhi cha Tigo kama ukiwa na Wese la Vaseline ni Kitamu kweli kweli.
Kuna Mtu Tangazo hili limemfanya aambulie 'Kipigo' leo Mchana maeneo ya Ubungo na nilishindwa Kusogelea zaidi eneo la Tukio baada ya kugundua kuwa aliyetoa Kipigo ni Mwana Medani wa Lugalo ambaye Juzi alinikuta nikikojoa katika Kichaka eneo na kutaka kunikamata ila nikamuachia 'Manyoya' tu kwa kutoka zangu baru ( nduki ) na nahisi hata Sura huenda alinikariri pia.
Kuna Kampuni nyingine nayo nimedokezwa inataka kuja na 'Promo' yake isemayo ' Ukitaka Utamu wakati wa Kuingiza tumia Vocha za Mtandao wao' murua wa katikati ya Morocco na Victoria.
Hata hivyo na Mimi GENTAMYCINE kama Mtoto wa Pwani nasema tena kwa Kukiri kabisa kuwa cha Asubuhi cha Tigo kama ukiwa na Wese la Vaseline ni Kitamu kweli kweli.
Kuna Mtu Tangazo hili limemfanya aambulie 'Kipigo' leo Mchana maeneo ya Ubungo na nilishindwa Kusogelea zaidi eneo la Tukio baada ya kugundua kuwa aliyetoa Kipigo ni Mwana Medani wa Lugalo ambaye Juzi alinikuta nikikojoa katika Kichaka eneo na kutaka kunikamata ila nikamuachia 'Manyoya' tu kwa kutoka zangu baru ( nduki ) na nahisi hata Sura huenda alinikariri pia.