Je, hili Tangazo la Tigo linalotuhimiza kupata cha 'Asubuhi cha Tigo' TCRA na Serikali wamelibariki na kuona limekaa Kimaadili?

Nimekaa zangu nawaza niende kwaya,mara nikasikia tangazo la tigo wanahamasisha Cha asubuhi.kusema kweli nimewaza mbali akili yangu ikawazaaa.sijui Kama nitalala home leo niombeeni tu.namba nilishablock ila namtafuta kwenye file la emergency
Tigo mlaaniwe
Ushawahi kuliwa Tigo
 
Back
Top Bottom