Wewe ni mbishi tu, itoshe kusema hivyo.Hata mawazo mgando, cha asubuhi ubaya upo wapi? acha kuwaza ngono waza pesa utakufa masikini wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mbishi tu, itoshe kusema hivyo.Hata mawazo mgando, cha asubuhi ubaya upo wapi? acha kuwaza ngono waza pesa utakufa masikini wewe.
Hakuna tabu yoyote ni mawazo ya kingono tu kwa huyu ndugu yetuKIFURUSHI CHA ASUBUHI... Shida iko wapi hapo?
Inashangaza sana!Hakuna tabu yoyote ni mawazo ya kingono tu kwa huyu ndugu yetu
kwanza tujiulize, umaarufu wa hili neno 'cha asubuhi' umetokana na nini? kama umetokana na mitazamo ya kingono ina maana tiGo wamecopy huo msemo kutokana na umaarufu wake!Hata mawazo mgando, cha asubuhi ubaya upo wapi? acha kuwaza ngono waza pesa utakufa masikini wewe.
Sawa mkuu mimi ni mhamaWewe ni mbishi tu, itoshe kusema hivyo.
Pamoja mkuuInashangaza sana!
Sawa Bashitekwanza tujiulize, umaarufu wa hili neno 'cha asubuhi' umetokana na nini? kama umetokana na mitazamo ya kingono ina maana tiGo wamecopy huo msemo kutokana na umaarufu wake!..
Samahani kwani CHA ASUBUHI lina maana gani katika muktadha wa lugha bila kuweka dhana ya kipotoshaji kumaanisha "kufanya mapenzi asubuhi"Hili tangazo la TIGO ... CHA ASUBUHI... linadhihirisha mmomonyoko wa maadili. Serikali ya mama SSH ilione na kulikemea haraka sana. Tusirasimishe lugha za matusi. Kama serikali ilipiga marufuku matangazo ya FATAKI, wimbo Magendaheka kwanini tuendelee kusikia hili tangazo la hovyo...
Say No #ChaAsubuhi.
Mpaka hapo hata wewe imekukamata...mpaka ukasema ... Negativity...Icho ni kifurushi CHA ASUBUH
Negativity ni mbaya sana usipende ikutawale
...TIGO. ..unamaanisha?Tangazo la kisenge toka kwenye mtandao wa kisenge
iyo ni ya mtoa mada ungemuuliza kwanini anaenda kinyume na tangazoMpaka hapo hata wewe imekukamata...mpaka ukasema ... Negativity...
Hizi akili hizi,niambie kwenye maneno "Cha asubuhi"tusi lipo wapi?Hili tangazo la Tigo 'Cha Asubuhi' linadhihirisha mmomonyoko wa maadili. Serikali ya Rais Samia ilione na kulikemea haraka sana. Tusirasimishe lugha za matusi. Kama serikali ilipiga marufuku matangazo ya Fataki, wimbo Magendaheka kwanini tuendelee kusikia hili tangazo la hovyo?
Say No #ChaAsubuhi.
Unaowaambia wapige marufuku ndiyo wenye hisa humo, kumbuka "jaza ujazwe"Hili tangazo la Tigo 'Cha Asubuhi' linadhihirisha mmomonyoko wa maadili. Serikali ya Rais Samia ilione na kulikemea haraka sana. Tusirasimishe lugha za matusi. Kama serikali ilipiga marufuku matangazo ya Fataki, wimbo Magendaheka kwanini tuendelee kusikia hili tangazo la hovyo?
Say No #ChaAsubuhi.
Hata bila mkalimani dagazo ni la hovyoHivi hapo tatizo ni tangazo au tatizo ni mkalimani? Sioni shida ya tangazo wakalimani uchwala hili ndio lao.
Asante
Sijui unajua nini ila niruhusu nikuarifu kuwa maana hutengenezwa na mpokea ujumbe. Kama mpokea ujumbe kasema ujumbe wako una ukakasi huna namna. Wacha Tigo wazibe masikio ila madhara yake siyo ya leo wala kesho ytakuwa ni madhara ya kudumuHizi akili hizi,niambie kwenye maneno "Cha asubuhi"tusi lipo wapi?
Tusi limejaa kwenye kichwa chako,maana unawaza ngono tu,inawezakana ni Cha asubuhi kifurushi,Cha asubuhi kikombe Cha chai!
Hii ni Sawa waliopiga kelele wimbo wa Nyegezi upigwe marufuku,lakini walivyo wajinga,Kuna sehemu nchi hii inaitwa Nyengezi stand,nyegezi Kona.
Kama unasema "Cha asubuhi"ni matusi,vipi kuhusu "makunduchi"mchamba wima"
Na haya ni majina ya vitongoji kule Zenj!
Acha ujinga.
Hakuna tatizo kwenye tangazo bali tatizo ni watafsiri wa Tangazo na katika hili nawapongeza tigo kwa kuwa wabunifu... hata mtando wao kuuita tigo kuna watu wanaona ni shida na ni tusi kwa sababu wanawaza ngono.kwanza tujiulize, umaarufu wa hili neno 'cha asubuhi' umetokana na nini? kama umetokana na mitazamo ya kingono ina maana tiGo wamecopy huo msemo kutokana na umaarufu wake!
Tukikaa kimya, kesho na keshokutwa, Voda nao watakuja na slogan ya 'mpelekee moto' nao watasema kwani kuna ubaya gani...... tutaendelea kuwa jamii ya kipuuzi.