Je, hili limewahi kukutokea?

Je, hili limewahi kukutokea?

Yakawaje jamani

Hutaki waliowowaaa
Shida inaanza nilimuelewa kuliko alivyonielewa akawa ananiletea sana pozi nikaona isiwe kesi ikawa boy byeeee.

Waliowowa hapana nan anataka kufichwa kama picchu, hao sitaki labda nisijue
 
Yaani akirudi nitafurahi sana mie mtu mzima sidhani kama akirudi nitamkataa nilimpenda sana alinipenda sio viumiza kichwa
 
Shida inaanza nilimuelewa kuliko alivyonielewa akawa ananiletea sana pozi nikaona isiwe kesi ikawa boy byeeee.

Waliowowa hapana nan anataka kufichwa kama picchu, hao sitaki labda nisijue
🤪🤪 Kwenye jina lake kuna alphabet ya 5 eeeh
Ungeacha akuelewe sana yeye, hao watu tukianza kuwaelewa sie wanaanza na mashauzi.


🤣🤣🙌
 
Na miaka yangu 76 hii mapenzi ya kweli nimekuja kuyaonja kwa mwanamke niliyekutana naye hapa JF.

Mungu Ambariki sana aliyeanzisha JF hii wallahi!

Thanks for truly loving me Mama E...We are going places babygirl

2.4886956676394481E18.jpg
 
Ndio wapi huko Mkuu? hebu nitoe ushamba.
Utangulizi kwaNza
Nilimpendaga kijana anashindaga kuleee JF garage 😂😂😂
Weeuhh alikuwa akinilike nasikia raha… alinikwoti nazimiaa sekunde 3.

Way back.. sahii feeelings zilikwenda na maji ya mvua ya msimu uliopita.

Ila kijana hajui

Jf garage ndio nilikuwa namuona sana bana🤣🤣🤸
baada kusoma hizi comments nenda kwenye list ya forums za JF utaiona
 
Back
Top Bottom