Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,242
- 183,127
Nakaziaaaaaaaaaaaaaa!!Kumpenda sio kweli ila kumtamani yes ni kweli.
Kumpenda mtu kumebeba vitu vingi mno ikiwa ni pamoja na kuvumiliana katika baadhi ya mapungufu.
Nakaziaaaaaaaaaaaaaa!!Kumpenda sio kweli ila kumtamani yes ni kweli.
Kumpenda mtu kumebeba vitu vingi mno ikiwa ni pamoja na kuvumiliana katika baadhi ya mapungufu.
Nani huyo mdudu🤣🤣Nilimpendaga kijana anashindaga kuleee JF garage 😂😂😂
Weeuhh alikuwa akinilike nasikia raha… alinikwoti nazimiaa sekunde 3.
Way back.. sahii feeelings zilikwenda na maji ya mvua ya msimu uliopita.
Ila kijana hajui
Sema hakuna aliyewahi kukuelezea hisia zake kwako kwahiyo hujuiHakuna aliyewahi nipenda humu,tunataniana tu
Sio rahisi kumtaja, mwambie ahsanteeeYupooo [emoji7][emoji7]
Ila hadharani siwezi mtaja [emoji2960]
Nzuri tu umeadimika kwel za siku lakin...Nipo mkuu..
Habari yako!
Mtume kwenye meseji chap 🤣🤣🤣 ndio maombi yaendeleeeNani huyo mdudu🤣🤣
Kuna kijana naanza kujikuta nampenda, naomba uniombee.
Huu ni ugonjwa wa wanawake wote..kupenda helaHa ha ha,mi mnyakyusa bana,tunapenda hela balaa
Toooba yule sijui mchawi haki ya nani 🤣🤣🤣Mtume kwenye meseji chap 🤣🤣🤣 ndio maombi yaendeleee
Kama ni at ur own risk hata maombi yanaweza yasifike mawinguni
Asante Bosi Ledi [emoji1545]Hongeraaa sanaaaa msukumaaa !!
😂😂Sasa chibabu wako si umfate muyajengeMbona wewe hutuambii na buji buji
🤦♀️Kuna mtu nampenda sana humu. Uzuri ni kwamba naye anaua kwamba nampenda sana sana.
Basi tu hua hatupati vile tunavyovipenda
Hongera mpwaNa miaka yangu 76 hii mapenzi ya kweli nimekuja kuyaonja kwa binti niliyekutana naye hapa JF.
Mungu Ambariki sana aliyeanzisha JF hii wallahi!
Thanks for loving me Mama E...We are going places babygirl [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
View attachment 2419434
Kyeeee…Nzuri tu umeadimika kwel za siku lakin...
hiyo chako chake nimeweka intentionally ukumbuke😀
Kabisa tunatamaniana then kupendana kunakuja badaeKumpenda sio kweli ila kumtamani yes ni kweli.
Kumpenda mtu kumebeba vitu vingi mno ikiwa ni pamoja na kuvumiliana katika baadhi ya mapungufu.
UshaishaaaaToooba yule sijui mchawi haki ya nani 🤣🤣🤣
Kila nikitaka kumpotezea nashindwa
Nope ideas yakukubaliwa jamani😂😂Sasa chibabu wako si umfate muyajenge
Pedhiii kikohodhiiii 🤭Kumbe mbona wanajificha ficha Sasa😂😂
Asante sana mpwa. Maisha menyewe ni haya haya mpwa hakuna mengine. Ubarikiwe mpwa!Hongera mpwa
Heko kwa mama E!! 👏👏👏👏👍👍👍👍Asante Bosi Ledi [emoji1545]