Je, hili limewahi kukutokea?

Je, hili limewahi kukutokea?

Kuna mtu mwingine alisemaga alimuona mtu hapa ndani ana ID ya kiume, ila kwenye daladala alikuwa wa Kike 😂😂
Wapo wengi mno humu. Hata sijui hasa nia yao nini. Kama huyo msela hakuwahi hata kuomba hela kusema ni tamaa ama tapeli. na nilipokutana nae ni mshkaji mwenye maisha yake fresh tu sasa sijui ni punga au kuna kiki fulani anapata akitongozwa na midume wenzie.
 
Ni mimi ila siyo kwa id hii....

Niko Dar...

Wewe uko Chuga..

Enzi hizo tunapigiana video call sana, mpaka za nudes.

Tumetumiana nudes zetu sana..... Za kwako ninazo mpaka leo, za kwangu sijui kama bado unazo...

All in all respect mrembo...

Usione sikufeel ila ni life lilituwekea ukuta tuu.
 
Ni mimi ila siyo kwa id hii....

Niko Dar...

Wewe uko Chuga..

Enzi hizo tunapigiana video call sana, mpaka za nudes.

Tumetumiana nudes zetu sana..... Za kwako ninazo mpaka leo, za kwangu sijui kama bado unazo...

All in all respect mrembo...

Usione sikufeel ila ni life lilituwekea ukuta tuu.
Heee kibabu umefika 😂😂
 
Nilimpendaga kijana anashindaga kuleee JF garage 😂😂😂
Weeuhh alikuwa akinilike nasikia raha… alinikwoti nazimiaa sekunde 3.

Way back.. sahii feeelings zilikwenda na maji ya mvua ya msimu uliopita.

Ila kijana hajui
Unapenda wanaume wenyee magari adi Jf umempeNda mtu wa Jf GArage kwel🙌🙌🙌😂
 
Back
Top Bottom