Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,782
- 21,010
Wapo wengi mno humu. Hata sijui hasa nia yao nini. Kama huyo msela hakuwahi hata kuomba hela kusema ni tamaa ama tapeli. na nilipokutana nae ni mshkaji mwenye maisha yake fresh tu sasa sijui ni punga au kuna kiki fulani anapata akitongozwa na midume wenzie.Kuna mtu mwingine alisemaga alimuona mtu hapa ndani ana ID ya kiume, ila kwenye daladala alikuwa wa Kike 😂😂


