Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,016
- 177,326
👏👏👏👏👏👏👏👏Hongeraaaaatupo tulikaa 2yrs na wa humu humu mbona
👏👏👏👏👏👏👏👏Hongeraaaaatupo tulikaa 2yrs na wa humu humu mbona
Ahsante kipenzi japo nilitaman tufike mbali zaidi ila ilishindikana.Hongeraaaaa
tafsida zako sasa 😂😂😂😂 Vipaji mara kuwekana🙌🙌🙌😁😁😁🤣Ila nadhani selifika "pameibua vipaji sana"![]()
Maisha lazima yaendelee no way haikupangwa!Ahsante kipenzi japo nilitaman tufike mbali zaidi ila ilishindikana.
Yaan wewe ndio umenipa maana ya vipaji sikua najua na Eroni hajanijibutafsida zako sasaVipaji mara kuwekana
![]()


Nimecheka kweliiii!! !!Yaan wewe ndio umenipa maana ya vipaji sikua najua na Eroni hajanijibu![]()
Sawa sawa, unakula kitu roho inapenda sio!Huyu nilimpenda zaman nilivyoona mambo hayaelewek nikapita kushoto. Niko ulimwengu mwingne kabisa kwa sasa.
Hongera walau ulipiga hatua moja mbele.Acha tu mie hadi tulionana hadi Raha kabisa anajua kitu caring Ile kukataa atakacho basi
Kuwekana inasound poa eenh!tafsida zako sasaVipaji mara kuwekana
![]()
Ndiwooooo
Yeah .. kwa komenti hiziii watu wanawekana kinoma noma humuu🙌🙌🙌🙌!
Kuwekana hakuepukiki, ya nini kujinyima maisha ndio haya haya kula kitu roho inapendaYeah .. kwa komenti hiziii watu wanawekana kinoma noma humuu!
Ukumbuke tuliamini kwamba kila mmoja ndio kafika. Hatukuwa na haraka wala papara. Picha tulibadilishana chache (Carefully selected 😛) kwa madai ya kuvizia kutovuruga suprise ya kukutana ana kwa ana (which never came to pass 😂😂😂)na tulizoea kutumiana voice notes mara kwa mara. Kiujumla ukaribu 'wenye afya ' ulikuwepo.Kwamba hamkuonana kabisa? Nimecheka asee!!
Dj waleteeeeeeeeeeeeeeeee 💃💃Kuwekana hakuepukiki, ya nini kujinyima maisha ndio haya haya kula kitu roho inapenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Yebu namie nifanye mpango nikutane na mtu tuwekaneeee aririririririiiiiiiiiii! Au niseme aniweke🤣🤣🤣🤣🤣😂🤭🤭🤭 💃💃💃💃😁😁!!
Kwa hiyo mliachana bila kuonana kabisa? AiseeMaisha ni fumbo ndugu zangu. Mimi niliwahi kumpenda mwananchi mmoja humu humu jf, na ilinoga hasa. Najua hata hapa atakuja kusoma, anyway!
Iliniumiza mno kutengana naye japokuwa haikuwa na jinsi - tofauti ya umri ilikuwa ni kubwa mno. Hilo jambo niligundua mwenyewe bila yeye kunijulisha. Ila usiombe, ni huzuni, tulikuwa tume-share mengi mno. Kama ni Long distance relationship isiyo na upweke wowote ndio ile sasa. Mdau alijua kupenda kwa kalamu, alionekana ni perfect match kama vile kuokota embe chini ya mnazi. Tulizoea kuongea mengi na kukubaliana lakini utata ukaanza pale tulivyoahidiana kukutana live maana tuliishi mikoa tofauti.
Imagine enzi hizo ilikuwa meseji zake nazisubiri huku kimoyo kinapwita! Na nikipokea ujumbe wake napata nguvu ya ajabu kuwajibika kwa ajili ya familia tarajiwa
Alinijulia yule mtu, na alionekana ni 'jiniasi'. Pia kuna stori najua alidanganya na alijua nikijua lazima nitam-mind, ikafika mahali mawasiliano yakaanza kuisha polepole....hebu fikiria miezi minne ya raha za maandishi zikakatika ghafla!
J kokote uliko, maisha hayana fomula. Leo mwenzio nimekukumbuka na kukuenzi kwa maandishi haya.![]()