mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,955
- 43,393
Kuwekana muhimu chiefBasi kwa thread hii tuhitimishe kuwa watu wanawekana sana eeeh!Hongereni wakuu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwekana muhimu chiefBasi kwa thread hii tuhitimishe kuwa watu wanawekana sana eeeh!Hongereni wakuu...
Kabesaaaaa sitaki hata kusikiaaaaa😁😁😁🤣🤣🤣🤣! Heko kwa wanaoziweza walaii auuuwiiiii!!Hahaha, mkuu tangu ulipoacha kukwoti hutaki tena..hekaheka za humu labda zinataka uwe underground ndio utafaidi...LABDA..mimi haya mambo pia kwangu magumu🤣🤣
Weeee hebu nipashe Rafiki 🤔🤔🤔😁😁Nani huyooo naemlavuu mie ??😂😂🤣🤣🤣!!Antonnia!!!..... antonnia!!.....acha kuficha hisia zako kwa naniliu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikumpenda kweli, nilimtamani tuSijapenda hapo pa kuzimia sekunde 3 ungefanya hata 10...ulimpenda kweli??![]()
Weeee hebu nipashe RafikiNani huyooo naemlavuu mie ??
!!
Dj waleteeeeeeeeeeeeeeeee waleteeeeeeeeeeeeeeeee![]()







Kuwekana muhimu chief.
Hongereni sana wakuu!😀
coca alikula maishaaaa vacay na kibabu chake akatusahau kabisa selfika 🤣🤣😂😂😂😂😁😁!!Yan nimekumbuka Coca alisema vibabu vilivyokataa kuzeeka.. hatuvitakii
Nacheka hadi tumbo linauma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hayanaga mwongozo BL...Weeee hebu nipashe RafikiNani huyooo naemlavuu mie ??
!!
Dj waleteeeeeeeeeeeeeeeee waleteeeeeeeeeeeeeeeee![]()



Hahahaa ngoja niingie chimbo, narudi na ushauri mmoja matata sanaLenie pleas help me with advice good one plz mamy
Mie mwenyewe yalinishinda Saivi nimetuliza mshono tyu hapa!! in coca's voice bwahahahahahaa.
Eti jamani sekunde 3 asa ndio mapenzi gani kama sio uwizi tuSijapenda hapo pa kuzimia sekunde 3 ungefanya hata 10...ulimpenda kweli??![]()
Wacha bwana!!Niliyewahi kumpenda na bado nampenda sana ameshakuja, yupo humu ana-komenti tu🤣
Sawa nipo seriousHahahaa ngoja niingie chimbo, narudi na ushauri mmoja matata sana
Eendiwoooooooo!! Hayanaga kabesaaaa💃💃💃💃!!Hayanaga mwongozo BL...![]()
Huyo mwenyewe mapenzi yanampelekesha, hapo katoka hospital alitundikiwa drip kisa stress za mapenziBasi naomba unishauri ukitiki nakuona zawadi ya xmass
Maisha ni fumbo ndugu zangu. Mimi niliwahi kumpenda mwananchi mmoja humu humu jf, na ilinoga hasa. Najua hata hapa atakuja kusoma, anyway!Umewahi mpenda mtu humu Jamii Forums ukaona huyu kakupenda kweli na ukampenda kweli halafu mlipoachana ikakuuma roho? Mimi ndiyo.
Niliwahi kumpenda mwanaume humu na hakuniacha, ila nilishindwa masharti, ila waleo namkumbuka sana. Ila yeye ndiyo basi tena, hajali tena, kipindi cha 2019 nilipofungua Unique Flower.
Je, wewe iliwahi kukutokea hali hii?