Je, hili limewahi kukutokea?

Je, hili limewahi kukutokea?

Yebu namie nifanye mpango nikutane na mtu tuwekaneeee aririririririiiiiiiiiii! Au niseme aniweke !!
Yukwapi sasa
Kwa ulimbwende ulioumbiwa na Mola huo sema hujataka tu, hivi kuna mwanaume rijali haswaaa anaweza kuwa na jeuri ya kukataa kukuweka Antonnia?

Wewe kwa muonekano wa picha tu bolo linatema love juice, mapigo ya moyo yanaenda kwa kasi, mwili unasisimka, ........niendeleeeeee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ulimbwende ulioumbiwa na Mola huo sema hujataka tu, hivi kuna mwanaume rijali haswaaa anaweza kuwa na jeuri ya kukataa kukuweka Antonnia?

Wewe kwa muonekano wa picha tu bolo linatema love juice, mapigo ya moyo yanaenda kwa kasi, mwili unasisimka, ........niendeleeeeee?

Sent using Jamii Forums mobile app
huyo mtoto sijui anaishi wapi mkuu, namfananisha na watu wa Rwanda huko, moto kweli kweli..
 
Kwa ulimbwende ulioumbiwa na Mola huo sema hujataka tu, hivi kuna mwanaume rijali haswaaa anaweza kuwa na jeuri ya kukataa kukuweka Antonnia?

Wewe kwa muonekano wa picha tu bolo linatema love juice, mapigo ya moyo yanaenda kwa kasi, mwili unasisimka, ........niendeleeeeee?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mweh picha tu zile hazina uhalisia wowote Usidanganyike rafiki filter zinatubeba sanaaaa!!😉
 
Leo namtangaza kwenu!! Tuhesabu kdgo 1,.....2,......3 Huyu Hapa Huyu😆🇹🇿🇹🇿
 
Nilimpendaga kijana anashindaga kuleee JF garage
Weeuhh alikuwa akinilike nasikia raha… alinikwoti nazimiaa sekunde 3.

Way back.. sahii feeelings zilikwenda na maji ya mvua ya msimu uliopita.

Ila kijana hajui
Huyo ni Mimi kabisa, Fanya urudishe MOYO wako kwangu
 
Back
Top Bottom