ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,626
- 127,252
Hahah, acha tu mkuu!tafsida zako sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Vipaji mara kuwekana[emoji119][emoji119][emoji119][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
Hahah, acha tu mkuu!tafsida zako sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Vipaji mara kuwekana[emoji119][emoji119][emoji119][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
Bora nawe uneshtuka mkuu, haka kaupepo nadhani ni kazuri, sie wazee tumekaa pembeni tunaangalia tu[emoji3][emoji3][emoji3]Yeah .. kwa komenti hiziii watu wanawekana kinoma noma humuu[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!
Kupitia Antonnia nimekuelewa [emoji23]Rafiki utakuwa umenielewa[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa ulimbwende ulioumbiwa na Mola huo sema hujataka tu, [emoji39][emoji39] hivi kuna mwanaume rijali haswaaa anaweza kuwa na jeuri ya kukataa kukuweka Antonnia?Yebu namie nifanye mpango nikutane na mtu tuwekaneeee aririririririiiiiiiiiii! Au niseme aniweke[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji2960][emoji2960][emoji2960] [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji16][emoji16]!!
Yukwapi sasa[emoji848][emoji848][emoji848]
Mtumeeeeeee! sophy27 una tuhumiwa hukuMimi nilimpenda sophy27 ila kumbe mwenzangu nia yake anichezee aniache.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo mtoto sijui anaishi wapi mkuu, namfananisha na watu wa Rwanda huko, moto kweli kweli..Kwa ulimbwende ulioumbiwa na Mola huo sema hujataka tu, [emoji39][emoji39] hivi kuna mwanaume rijali haswaaa anaweza kuwa na jeuri ya kukataa kukuweka Antonnia?
Wewe kwa muonekano wa picha tu bolo linatema love juice, mapigo ya moyo yanaenda kwa kasi, mwili unasisimka, ........niendeleeeeee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ng'ombe hazeeki maini, tafuta manzi muwekeleeBora nawe uneshtuka mkuu, haka kaupepo nadhani ni kazuri, sie wazee tumekaa pembeni tunaangalia tu[emoji3][emoji3][emoji3]
Mweh picha tu zile hazina uhalisia wowote Usidanganyike rafiki filter zinatubeba sanaaaa!!😉Kwa ulimbwende ulioumbiwa na Mola huo sema hujataka tu, [emoji39][emoji39] hivi kuna mwanaume rijali haswaaa anaweza kuwa na jeuri ya kukataa kukuweka Antonnia?
Wewe kwa muonekano wa picha tu bolo linatema love juice, mapigo ya moyo yanaenda kwa kasi, mwili unasisimka, ........niendeleeeeee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana tu mbona, mwanamke anakuwa anakuhitaji tu pale akipata hisia za kuwekwa kamba, mkimaliza hapo roho yake kwatuuuuu hadi wakati mwingine. Hasa sisi akina popapo[emoji848] Hiv wanaume nanyi huwa mnachezewa na kuachwa? [emoji23][emoji23]
Na mbalizi1 Nitafutieni kipaji pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 😁😂😂! Dadaenu Nahitaji kuwekewaa buanaa😆 Nimejidodea tu hapaa🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo mtoto sijui anaishi wapi mkuu, namfananisha na watu wa Rwanda huko, moto kweli kweli..
[emoji1787] hii mupyaSana tu mbona, mwanamke anakuwa anakuhitaji tu pale akipata hisia za kuwekwa kamba, mkimaliza hapo roho yake kwatuuuuu hadi wakati mwingine. Hasa sisi akina popapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa Morogoro, sijui kwa sasa yupo wapi, ana sura ana mshepu wa aina yake halafu ana rangi ya upekee, ana lips za kumtoa nyoka pangoni, ana msambwanda wa kusuuza moyo , Mungu anaumba we acha tu Antonnia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo mtoto sijui anaishi wapi mkuu, namfananisha na watu wa Rwanda huko, moto kweli kweli..
Ujue fundi yyt mzuri hajisifii hata siku moja ohoooooo! Sifa zako zipo wazi AntonniaMweh picha tu zile hazina uhalisia wowote Usidanganyike rafiki filter zinatubeba sanaaaa!![emoji6]
Huyo ni Mimi kabisa, Fanya urudishe MOYO wako kwangu[emoji12]Nilimpendaga kijana anashindaga kuleee JF garage [emoji23][emoji23][emoji23]
Weeuhh alikuwa akinilike nasikia raha… alinikwoti nazimiaa sekunde 3.
Way back.. sahii feeelings zilikwenda na maji ya mvua ya msimu uliopita.
Ila kijana hajui
Utakua umenifananisha mbalizi! Sina hizo sifa hata chembeeeAlikuwa Morogoro, sijui kwa sasa yupo wapi, ana sura ana mshepu wa aina yake halafu ana rangi ya upekee, ana lips za kumtoa nyoka pangoni, ana msambwanda wa kusuuza moyo , Mungu anaumba we acha tu Antonnia
Sent using Jamii Forums mobile app
We ukiwa tyr sema tu, chap kwa mwendo kipaji kinakuweka mnawekana [emoji1][emoji1][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]Na mbalizi1 Nitafutieni kipaji pullliiizzzzzzzzzzzzzzz [emoji16][emoji23][emoji23]! Dadaenu Nahitaji kuwekewaa buanaa[emoji38] Nimejidodea tu hapaa[emoji1787]
Pambania kombe mkuu, wewe unaonekana bado nguvu zipo[emoji1787][emoji1787]Alikuwa Morogoro, sijui kwa sasa yupo wapi, ana sura ana mshepu wa aina yake halafu ana rangi ya upekee, ana lips za kumtoa nyoka pangoni, ana msambwanda wa kusuuza moyo , Mungu anaumba we acha tu Antonnia
Sent using Jamii Forums mobile app