Je, hili limewahi kukutokea?

Je, hili limewahi kukutokea?

Maisha ni fumbo ndugu zangu. Mimi niliwahi kumpenda mwananchi mmoja humu humu jf, na ilinoga hasa. Najua hata hapa atakuja kusoma, anyway!

Iliniumiza mno kutengana naye japokuwa haikuwa na jinsi - tofauti ya umri ilikuwa ni kubwa mno. Hilo jambo niligundua mwenyewe bila yeye kunijulisha. Ila usiombe, ni huzuni, tulikuwa tume-share mengi mno. Kama ni Long distance relationship isiyo na upweke wowote ndio ile sasa. Mdau alijua kupenda kwa kalamu, alionekana ni perfect match kama vile kuokota embe chini ya mnazi. Tulizoea kuongea mengi na kukubaliana lakini utata ukaanza pale tulivyoahidiana kukutana live maana tuliishi mikoa tofauti.

Imagine enzi hizo ilikuwa meseji zake nazisubiri huku kimoyo kinapwita! Na nikipokea ujumbe wake napata nguvu ya ajabu kuwajibika kwa ajili ya familia tarajiwa 😇

Alinijulia yule mtu, na alionekana ni 'jiniasi'. Pia kuna stori najua alidanganya na alijua nikijua lazima nitam-mind, ikafika mahali mawasiliano yakaanza kuisha polepole....hebu fikiria miezi minne ya raha za maandishi zikakatika ghafla!

J kokote uliko, maisha hayana fomula. Leo mwenzio nimekukumbuka na kukuenzi kwa maandishi haya.🥰
Kwamba hamkuonana kabisa? Nimecheka asee!!
 
Maisha ni fumbo ndugu zangu. Mimi niliwahi kumpenda mwananchi mmoja humu humu jf, na ilinoga hasa. Najua hata hapa atakuja kusoma, anyway!

Iliniumiza mno kutengana naye japokuwa haikuwa na jinsi - tofauti ya umri ilikuwa ni kubwa mno. Hilo jambo niligundua mwenyewe bila yeye kunijulisha. Ila usiombe, ni huzuni, tulikuwa tume-share mengi mno. Kama ni Long distance relationship isiyo na upweke wowote ndio ile sasa. Mdau alijua kupenda kwa kalamu, alionekana ni perfect match kama vile kuokota embe chini ya mnazi. Tulizoea kuongea mengi na kukubaliana lakini utata ukaanza pale tulivyoahidiana kukutana live maana tuliishi mikoa tofauti.

Imagine enzi hizo ilikuwa meseji zake nazisubiri huku kimoyo kinapwita! Na nikipokea ujumbe wake napata nguvu ya ajabu kuwajibika kwa ajili ya familia tarajiwa 😇

Alinijulia yule mtu, na alionekana ni 'jiniasi'. Pia kuna stori najua alidanganya na alijua nikijua lazima nitam-mind, ikafika mahali mawasiliano yakaanza kuisha polepole....hebu fikiria miezi minne ya raha za maandishi zikakatika ghafla!

J kokote uliko, maisha hayana fomula. Leo mwenzio nimekukumbuka na kukuenzi kwa maandishi haya.🥰
Acha tu mie hadi tulionana hadi Raha kabisa anajua kitu caring Ile kukataa atakacho basi
 
Kwa mwanamke kuzungumzia Ma-Ex wake huwa kunaumiza wanaume wengi (wanaomtaka, walijaribu hata wanaotegemea kujaribisha bahati yao), ndo maana nikampa warning aishie hapo asije akaumiza hapa JF wanaume karibia wote isipokuwa mizee
Wanaume mna heka heka sana 😂😂

Mizee 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌
 
Kwa mwanamke kuzungumzia Ma-Ex wake huwa kunaumiza wanaume wengi (wanaomtaka, walijaribu hata wanaotegemea kujaribisha bahati yao), ndo maana nikampa warning aishie hapo asije akaumiza hapa JF wanaume karibia wote isipokuwa mizee
Uliwahi mpenda mtyuuuuuu humuu????
 
😂😂😂😂 nitumie kwenye kibus
Weee
kitu sensitive hivyo naanzaje kutuma kwa bus?? Hii nikitoa tu unawekewa chapu hatusubiri hata ipoe vidudu mtu visije kui- contaminate🤣🤣
 
Back
Top Bottom