Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,359
- Thread starter
- #261
Unaringa kwendraaaaMmmh!
Unaringa kwendraaaaMmmh!
Na wanaweza pia wasionaneNarudia tena, ukiona watu wanapendana humu we jua tu hawa hawajakutana bado! Siku wakikutana tu kila kitu kinaishia hapo hapo na kila mmoja anashika 50 zake 😀
[emoji23][emoji23][emoji23]Acha tu mkuu.. Unakuta mtu kaweka ki avatar kama cha Antonia hapo.. Siku ukikutana nae sasa we una picha hiyo ya avatar kichwani.. weeeee...!! Mbona utakimbia mwenyewe [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ongeza sauti pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 🤣🤣🤣!!Na wanaweza pia wasionane
Ila vizinga na kutotoa chiu vitawasambaratisha 🤣🤣🤣🤣🤸
🤸😂😂🤣😂Ongeza sauti pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 🤣🤣🤣!!
Weee kumbe!!!!! Basi Ngoja nianze kujiachiaaaaaa nile mema ya nchi mieeee!! Waaapiiiii Djjjjjjjjjjjjjjjjjjjjj💃💃💃💃🤸🤸🤸🤸😁😁🤣🤣🤣🤣Ndio ndiooo
🤸🤸🤸
Majina si tunaulizana pm 🤣🤣🤣Unampenda mtu kwa nyuzi zake, comments, haya majina ya uongo, avatar yake au kipi hasa kijafanya umepnde mtu wa jf ambae hata jina si lake!??
[emoji23] tupo tulikaa 2yrs na wa humu humu mbonaNarudia tena, ukiona watu wanapendana humu we jua tu hawa hawajakutana bado! Siku wakikutana tu kila kitu kinaishia hapo hapo na kila mmoja anashika 50 zake [emoji3]
Ila nadhani selifika "pameibua vipaji sana"[emoji3]Niliwah kumpenda mkaka wa kule selfika lkn mambo yalikua sio mambo kila mtu akapita hivi.
Hahaha, unique mambo vipi?Unaringa kwendraaaa
[emoji23] vipaji tena rafiki?Ila nadhani selifika "pameibua vipaji sana"[emoji3]
[emoji23][emoji23]Situmiagi pm nlimjaribugi masai dada kwa id nyingine akanambia mi bado mtoi atanibemenda [emoji23][emoji23]
Nikakausha
Dah..!!! Ushamchomea kihenge tayari..!! Usikute walikuwa hawajuani..!!Ila unaye mpenda mtu humu ni Sophie na even salt hao ukiwasikia na Kelsea wewe unaweweseka
Ngoja nitunze Siri za kambi[emoji3]Karibu bila shaka [emoji7]
Nimefanyaje?
Nipo sana fundi wangu