Je, hili limewahi kukutokea?

Je, hili limewahi kukutokea?

Narudia tena, ukiona watu wanapendana humu we jua tu hawa hawajakutana bado! Siku wakikutana tu kila kitu kinaishia hapo hapo na kila mmoja anashika 50 zake 😀
Na wanaweza pia wasionane
Ila vizinga na kutotoa chiu vitawasambaratisha 🤣🤣🤣🤣🤸
 
Acha tu mkuu.. Unakuta mtu kaweka ki avatar kama cha Antonia hapo.. Siku ukikutana nae sasa we una picha hiyo ya avatar kichwani.. weeeee...!! Mbona utakimbia mwenyewe [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio ndiooo

🤸🤸🤸
Weee kumbe!!!!! Basi Ngoja nianze kujiachiaaaaaa nile mema ya nchi mieeee!! Waaapiiiii Djjjjjjjjjjjjjjjjjjjjj💃💃💃💃🤸🤸🤸🤸😁😁🤣🤣🤣🤣
 
Narudia tena, ukiona watu wanapendana humu we jua tu hawa hawajakutana bado! Siku wakikutana tu kila kitu kinaishia hapo hapo na kila mmoja anashika 50 zake [emoji3]
[emoji23] tupo tulikaa 2yrs na wa humu humu mbona
 
Back
Top Bottom