mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,955
- 43,392
Mimi iliwahi kunitokea ila akaniambia niwe na vitalu vya mafuta kwanza dahh sitasahauUmewahi mpenda mtu humu Jamii Forums ukaona huyu kakupenda kweli na ukampenda kweli halafu mlipoachana ikakuuma roho? Mimi ndiyo.
Niliwahi kumpenda mwanaume humu na hakuniacha, ila nilishindwa masharti, ila waleo namkumbuka sana. Ila yeye ndiyo basi tena, hajali tena, kipindi cha 2019 nilipofungua Unique Flower.
Je, wewe iliwahi kukutokea hali hii?
😂😂 sirudishagi moyo nyumaHuyo ni Mimi kabisa, Fanya urudishe MOYO wako kwangu![]()
Ohooooo Sio mimi huyooo!!Ujue fundi yyt mzuri hajisifii hata siku moja ohoooooo! Sifa zako zipo wazi Antonnia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mletreeeeeeeee mletreeee🤸🤸🤸💃💃💃💃💃!🤣🤣🤣We ukiwa tyr sema tu, chap kwa mwendo kipaji kinakuweka mnawekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndio uhalisia nakuambia na kama hujijui basi kuanzia sasa ujijue na ujikubali. Ujue wakati mwingine utamu wa kuwekana unaanzia kwenye muonekano kama wa kwako huo, ukienda kufunguliwa zipu unakutana na kiwekeo kimesimama kimekomaa kama mtiUtakua umenifananisha mbalizi! Sina hizo sifa hata chembeee
😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mbavu zangu hukuuu mbaliziiii😂😂😂😁😁😁😁🤣 kiwekeo😁😁Huo ndio uhalisia nakuambia na kama hujijui basi kuanzia sasa ujijue na ujikubali. Ujue wakati mwingine utamu wa kuwekana unaanzia kwenye muonekano kama wa kwako huo, ukienda kufunguliwa zipu unakutana na kiwekeo kimesimama kimekomaa kama mti
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri wa hawa walimbwende ni kuwajulia tu, usiwe na papara. Unaenda nae hatua kwa hatua, ujue miguso inayowafaa na kuwalegeza na kuwalowesha na kuwafikisha. Lakini ni lazima ule ushibe maana kuwekana si lelemamaPambania kombe mkuu, wewe unaonekana bado nguvu zipo![]()
Samaleko dyadya wa faidaaaa😘😘😘Mmmhhh
Haya mambo ni ntu na ntu. Kuna siku nilifatwa PM nikaulizwa katika maswali ya mwanzoni kabisa unafanya kazi gani. Nikajibu napikaga vitumbua mkuu. Ah nikaona vumbi tu....hivi si wapika vitumbua mnatuonaje??![]()



Samaleko sisy uko poa? Miss you kitambo sanaSamaleko dyadya wa faidaaaa😘😘😘
Mbavu zangu hukuuu mbaliziiii
kiwekeo
![]()


kiwekeo aikuweka nacho na wewe unamuweka nacho mnakuwa mnawekana sio!





Niko poa sis!! Tunasogeza masaa tu hapa!! Miss you more sis akee😍Samaleko sisy uko poa? Miss you kitambo sana
Fanya hima namsubiria kwahamuu miee💃💃💃💃🤸🤸🤸🤸🤸💃🤸🤸🤸🤸🤸🤸kiwekeo aikuweka nacho na wewe unamuweka nacho mnakuwa mnawekana sio!
Sent using Jamii Forums mobile app