Je, hili limewahi kukutokea?

Je, hili limewahi kukutokea?

Hivu unaanzaje kumpendaga mtu humu jf? Yaani inakuwaje kuwaje kwanza. Sijawahi mfahamu member yoyote wa jf kwa kumuona live.
 
Narudia tena, ukiona watu wanapendana humu we jua tu hawa hawajakutana bado! Siku wakikutana tu kila kitu kinaishia hapo hapo na kila mmoja anashika 50 zake 😀
Weeeeeeeehhh 💃💃💃💃💃!! Dj ongeza sauti pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
 
Unampenda mtu kwa nyuzi zake, comments, haya majina ya uongo, avatar yake au kipi hasa kijafanya umepnde mtu wa jf ambae hata jina si lake!??
 
Kwa mwanamke kuzungumzia Ma-Ex wake huwa kunaumiza wanaume wengi (wanaomtaka, walijaribu hata wanaotegemea kujaribisha bahati yao), ndo maana nikampa warning aishie hapo asije akaumiza hapa JF wanaume karibia wote isipokuwa mizee
Nani huyo jamani kakuuzi Tena
 
Unampenda mtu kwa nyuzi zake, comments, haya majina ya uongo, avatar yake au kipi hasa kijafanya umepnde mtu wa jf ambae hata jina si lake!??
Acha tu mkuu.. Unakuta mtu kaweka ki avatar kama cha Antonia hapo.. Siku ukikutana nae sasa we una picha hiyo ya avatar kichwani.. weeeee...!! Mbona utakimbia mwenyewe 😆😆😆😆
 
Acha tu mkuu.. Unakuta mtu kaweka ki avatar kama cha Antonia hapo.. Siku ukikutana nae sasa we una picha hiyo ya avatar kichwani.. weeeee...!! Mbona utakimbia mwenyewe 😆😆😆😆
😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂😁😁😁😁😁😁! Dj Waletreeeeeeee 💃💃💃
 
Back
Top Bottom