Swenti
Member
- Oct 13, 2013
- 67
- 50
Basi poa jaribu tena.Hapana sio dini alikuwa dini yangu
Basi poa jaribu tena.Hapana sio dini alikuwa dini yangu
Mapenzi ya utu uzima raha sana BL maana hakuna drama. We acha tu...Wauweeeehhhhh!! Hadi mtu mzima umekiriiii lol!! Mpe hongera zakeeee Msukumaaa!!
Hakunaga namba ninayo eti ila nimeziriwa balaaaBasi poa jaribu tena.
😁😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂! Kweli teinaaa 😁😁😁! Usinambie unajua nampenda nani humu mimii??😁😁😁😁😂😂!
Ujeuri umekujaa wewe binti, ukaachia ndege anapepea 🤣🤣Asubutuuuu
Si unanijua lakini
Ujasiri hapa ni pasee zote 🤸
Antonnia tumwogope Mungu hahaha!!Sikuhizi Sina mtuuuuuu humuuu Sipendi wala sijawahi pendaaaa mtu humu tenaa mieeee!! 🙇🙇🙇🙇!!
Much congrats msukumaaaa!! Shikilia hapohapooooo👌👌👌Mapenzi ya utu uzima raha sana BL maana hakuna drama. We acha tu...
Mama E akipita hapa najua ataishia kutabasamu tu na lile tabasamu lake liletalo matumaini mema kama jua mchomozo kwenye nchi iliyogharikishwa! Na jioni lazima niletewe kizawadi. Yaani [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
😂😂 dk 0 sana kupeperushaUjeuri umekujaa wewe binti, ukaachia ndege anapepea 🤣🤣
Nakumiss we Fa*"l&a mdogo[emoji8]Mtaje shost tusaidie kumwambia akupunguzie masharti
🤣🤣🤣🤣🤸Basi kwa thread hii tuhitimishe kuwa watu wanawekana sana eeeh! 🤣🤣🤣Hongereni wakuu...
Nzuri sana hii, pongezi zenu wewe na mama E...... enjoyMapenzi ya utu uzima raha sana BL maana hakuna drama. We acha tu...
Mama E akipita hapa najua ataishia kutabasamu tu na lile tabasamu lake liletalo matumaini mema kama jua mchomozo kwenye nchi iliyogharikishwa! Na jioni lazima niletewe kizawadi. Yaani [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Hakiii tenaaa😁😁😁😂😂😂😁😂! Hekaheka za mapenzi suziwezagi kabisa mwenziooo😂😂😂🤣🤣🤣!!Antonnia tumwogope Mungu hahaha!!
Me phaller ? 🤣😂😂😂Nakumiss we Fa*"l&a mdogo[emoji8]
Hahaha, mkuu tangu ulipoacha kukwoti hutaki tena..hekaheka za humu labda zinataka uwe underground ndio utafaidi...LABDA..mimi haya mambo pia kwangu magumu🤣🤣Hakiii tenaaa😁😁😁😂😂😂😁😂! Hekaheka za mapenzi suziwezagi kabisa mwenziooo😂😂😂🤣🤣🤣!!
So humunnipo kama sipoo walaiii! Una mtu uniunganishie Ndugu 🤔🤔🤔!!😂😁😁😁😁
Yan nimekumbuka Coca alisema vibabu vilivyokataa kuzeeka.. hatuvitakiiSikuhizi Sina mtuuuuuu humuuu Sipendi wala sijawahi pendaaaa mtu humu tenaa mieeee!! 🙇🙇🙇🙇!!
Antonnia!!!..... antonnia!!.....acha kuficha hisia zako kwa naniliu[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]! Kweli teinaaa [emoji16][emoji16][emoji16]! Usinambie unajua nampenda nani humu mimii??[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]!
Sinaaaa hataaa sijapenda wala kupendwa mieb!! Nimedodaaa tyuuuu
Sijapenda hapo pa kuzimia sekunde 3 ungefanya hata 10...ulimpenda kweli??[emoji849]Nilimpendaga kijana anashindaga kuleee JF garage [emoji23][emoji23][emoji23]
Weeuhh alikuwa akinilike nasikia raha… alinikwoti nazimiaa sekunde 3.
Way back.. sahii feeelings zilikwenda na maji ya mvua ya msimu uliopita.
Ila kijana hajui