Je Hii tabia nliyonayo ni mbaya???

Je Hii tabia nliyonayo ni mbaya???

ushauri wangu kama mfuko uko vizuri hamna mbaya ila kama ndo hoe hae unafanya ili kufurahisha watu basi jitahidi kuacha.
 
Kama wewe ndo unawa invite sio kosa kulipa wewe lakin kama wewe ndo unakuwa invited ni mbaya kulipa wewe !!!!
 
lol!!!!!! unanifatilia????! mie na uzamani wangu vinakuhusu nini???!
leo niko kwenye mood nzuri sana otherwise....... haaaaaaaaa!!!!

kama mie wa kizamani, mechunaji,, sifanyi kazi na mama ako je??????
kwa kunifatilia huko nimegundua huna kazi.... haaaaa!!!!!
as long as yangu yako kwenye mstari povu litakutoka saaana tu!!!"
.........fikiria nlilokuambia....
 
Ofcause sio mbaya ila unahatari ya kumpata asiyenamapenzi ya dhati aliyepagawa na hyo mpango tu..!
 
Ni bill ya aina gan unatoa.???? Aina ya bill nadhan inaweza kukufanya uwe na tabia mbaya ama nzur
 
.........fikiria nlilokuambia....

fungua website utoe ushauri lkn kwangu unajisumbua.......
hiyo tabia ya kufutilia usiyemjua ni bora uache maana siku nikijionyesh a kwako utatoa jasho la aibu!!!!!!!
 
^^
Hivi kumbe Quruxbadan ni mwanamke?
..anyway hongera kwa kutekeleza kauli mbiu ya haki sawa
^^

haaahahaaa.. eti haki sawa mpk maendeleo yako unaweka pending ili tabia i-take place, patamu hapo!
 
Last edited by a moderator:
mi mzima best, naona tunapishana kwenye nyuzi nyuzi teh teh.. daah hii thread imeninipa kutabasamu aisee..

^^
Umeona ee kuna wanawake wanapenda kututunza
Chezea kuhudumiwa wewe
^^
 
fungua website utoe ushauri lkn kwangu unajisumbua.......
hiyo tabia ya kufutilia usiyemjua ni bora uache maana siku nikijionyesh a kwako utatoa jasho la aibu!!!!!!!
....maneno mengi ya nini....if its not worth it acha....ila jitahidi ubadilike...
 
....maneno mengi ya nini....if its not worth it acha....ila jitahidi ubadilike...

kubishana sana siwezi!!!!! kubadilika not yet,,, but till i reach n' complish dreams
zangu....
kama nakuboa take a chill pill byeeee!!!!!!
 
kama unalipa na baadae hujutii kwa nini umelipa si vibaya but kuwa makini isijekuwa hao marafiki zako wanatake advantage of your good heart.
 
Back
Top Bottom