Quruxbadan
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 232
- 80
Habarini zenu wana MMU
Hope muwazima na weekend inawaendea poa!
Actually kilichonisukuma kuweka huu uzi ni mawazo nliokua nao,
Hope mtanisaidia kwa hili.
Mimi nna tabia moja ambayo sielewi kama ni nzuri au mbaya, na itanicost vp
Hua nikitoka out na marafiki especially wa kiume hua mimi nalipa bili, yani ndo nilivyo, no matter if ni rafiki tu ama ndugu as am currenly not dating, lazma nilipe mimi, nisipofanya hvyo sitojiskia vizuri na roho yangu haitakua na amani au labda tulipe nusu kwa nusu.
Niwaulize nyie wanaume how do u fill when a woman pays the bill. Je mnahisi ni poa tu au mnahisi as if amekudharau kiaina flani
Je hii tabia niiache au vp??
I dnt want to disrespect any1!
Hope muwazima na weekend inawaendea poa!
Actually kilichonisukuma kuweka huu uzi ni mawazo nliokua nao,
Hope mtanisaidia kwa hili.
Mimi nna tabia moja ambayo sielewi kama ni nzuri au mbaya, na itanicost vp
Hua nikitoka out na marafiki especially wa kiume hua mimi nalipa bili, yani ndo nilivyo, no matter if ni rafiki tu ama ndugu as am currenly not dating, lazma nilipe mimi, nisipofanya hvyo sitojiskia vizuri na roho yangu haitakua na amani au labda tulipe nusu kwa nusu.
Niwaulize nyie wanaume how do u fill when a woman pays the bill. Je mnahisi ni poa tu au mnahisi as if amekudharau kiaina flani
Je hii tabia niiache au vp??
I dnt want to disrespect any1!