Je Hii tabia nliyonayo ni mbaya???

Je Hii tabia nliyonayo ni mbaya???

Quruxbadan

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2013
Posts
232
Reaction score
80
Habarini zenu wana MMU
Hope muwazima na weekend inawaendea poa!

Actually kilichonisukuma kuweka huu uzi ni mawazo nliokua nao,
Hope mtanisaidia kwa hili.

Mimi nna tabia moja ambayo sielewi kama ni nzuri au mbaya, na itanicost vp


Hua nikitoka out na marafiki especially wa kiume hua mimi nalipa bili, yani ndo nilivyo, no matter if ni rafiki tu ama ndugu as am currenly not dating, lazma nilipe mimi, nisipofanya hvyo sitojiskia vizuri na roho yangu haitakua na amani au labda tulipe nusu kwa nusu.


Niwaulize nyie wanaume how do u fill when a woman pays the bill. Je mnahisi ni poa tu au mnahisi as if amekudharau kiaina flani

Je hii tabia niiache au vp??

I dnt want to disrespect any1!
 
Si mbaya na si nzuri sana.
Uchumi wako hautakaa sawa
 
Habarini zenu wana MMU Hope muwazima na weekend inawaendea poa! Actually kilichonisukuma kuweka huu uzi ni mawazo nliokua nao, Hope mtanisaidia kwa hili.Mimi nna tabia moja ambayo sielewi kama ni nzuri au mbaya, na itanicost vp Hua nikitoka out na marafiki especially wa kiume hua mimi nalipa bili, yani ndo nilivyo, no matter if ni rafiki tu ama ndugu as am currenly not dating, lazma nilipe mimi, nisipofanya hvyo sitojiskia vizuri na roho yangu haitakua na amani au labda tulipe nusu kwa nusu. Niwaulize nyie wanaume how do u fill when a woman pays the bill. Je mnahisi ni poa tu au mnahisi as if amekudharau kiaina flani Je hii tabia niiache au vp?? I dnt want to disrespect any1!

Mi nafurahi kichizi tatizo masimango sasa! Panapo hali ngumu, mnafungukaje!
 
^^
Hivi kumbe Quruxbadan ni mwanamke?
..anyway hongera kwa kutekeleza kauli mbiu ya haki sawa
^^
 
Last edited by a moderator:
Habarini zenu wana MMU
Hope muwazima na weekend inawaendea poa!

Actually kilichonisukuma kuweka huu uzi ni mawazo nliokua nao,
Hope mtanisaidia kwa hili.

Mimi nna tabia moja ambayo sielewi kama ni nzuri au mbaya, na itanicost vp


Hua nikitoka out na marafiki especially wa kiume hua mimi nalipa bili, yani ndo nilivyo, no matter if ni rafiki tu ama ndugu as am currenly not dating, lazma nilipe mimi, nisipofanya hvyo sitojiskia vizuri na roho yangu haitakua na amani au labda tulipe nusu kwa nusu.


Niwaulize nyie wanaume how do u fill when a woman pays the bill. Je mnahisi ni poa tu au mnahisi as if amekudharau kiaina flani

Je hii tabia niiache au vp??

I dnt want to disrespect any1!

nitumie namba yako pm....unahitaji ushauri very serious
 
Habarini zenu wana MMU
Hope muwazima na weekend inawaendea poa!

Actually kilichonisukuma kuweka huu uzi ni mawazo nliokua nao,
Hope mtanisaidia kwa hili.

Mimi nna tabia moja ambayo sielewi kama ni nzuri au mbaya, na itanicost vp


Hua nikitoka out na marafiki especially wa kiume hua mimi nalipa bili, yani ndo nilivyo, no matter if ni rafiki tu ama ndugu as am currenly not dating, lazma nilipe mimi, nisipofanya hvyo sitojiskia vizuri na roho yangu haitakua na amani au labda tulipe nusu kwa nusu.


Niwaulize nyie wanaume how do u fill when a woman pays the bill. Je mnahisi ni poa tu au mnahisi as if amekudharau kiaina flani

Je hii tabia niiache au vp??

I dnt want to disrespect any1!

usiache, safi sana
 
Back
Top Bottom