Je Hii tabia nliyonayo ni mbaya???

Je Hii tabia nliyonayo ni mbaya???

Pay da bill mkuu, tabia njema hiyo, ni heri kutoa kuliko kupokea.... Changanya a zako
 
Niwaulize nyie wanaume how do u fill when a woman pays the bill. Je mnahisi ni poa tu au mnahisi as if amekudharau kiaina flani

Je hii tabia niiache au vp??

I dnt want to disrespect any1!

Mwamamme "Yahaya" hata ww Quruxbadan ulipe bills kila mkienda out yy kwake poa tu !Mwanamme rijali kama mm siwezi ruhusu nilipiwe bills na ww au na mwingine yyt zaidi ya mara 2!

Mwanadam ambaye anakubali kulipiwa bills zaidi ya mara moja na mtu ambaye wala sio mpenzi wake wala sio mzazi wake wala sio ndugu yake wa damu mm huwa namchukulia kama hamnazo!

Hata kama ni rafiki yangu wa karibu uki clear bills week hii basi week ijayo nitajitahidi nilipe mm na kama sitakuwa na pesa out siendi!
 
Last edited by a moderator:
Jiulize ni kwanini unajisikia kufanya hivyo, wakati mwingine inaweza ikawa ni tabia yako uliyojifunza nyumbani kwenu au unafanya hivyo ili uwapendeze watu unaotoka nao out! ila kama unafanya kwa sababu unapenda moyoni kufanya hivyo ni jambo zuri lakini liwe na kiasi, hasa kwa jinsia tofauti na yako.
 
Angalia mwisho wa siku usije kuashiwa na marafik zako wakakumbia jaman take care and control your resources
 
lipa kutegemeana na mtu,,Kumbuka wema ukizidi ni dhambi!!!
 
Sidhan kama ni tatizo japo yakupasa uangalie sababu ya hiyo Out na nani aliyeisababisha iwepo. Ila cha msingi ni kujithid kulipa bill ambayo ni ya chini au hata mzunguko mmoja lakin haitakuwa sasa kuwa mbele kwa kila bill

Sent from my BlackBerry - jamiiforums
 
Mwamamme "Yahaya" hata ww Quruxbadan ulipe bills kila mkienda out yy kwake poa tu !Mwanamme rijali kama mm siwezi ruhusu nilipiwe bills na ww au na mwingine yyt zaidi ya mara 2!

Mwanadam ambaye anakubali kulipiwa bills zaidi ya mara moja na mtu ambaye wala sio mpenzi wake wala sio mzazi wake wala sio ndugu yake wa damu mm huwa namchukulia kama hamnazo!

Hata kama ni rafiki yangu wa karibu uki clear bills week hii basi week ijayo nitajitahidi nilipe mm na kama sitakuwa na pesa out siendi!

Well said Mkuu!! Binti achukue ushauri huu
 
Last edited by a moderator:
uko wapi? du mara ya mwisho kudate na type kama yako ni 2008. tulitenganishwa na kazi tu mpaka kesho nitamkumbuka.
 
Habarini zenu wana MMU
Hope muwazima na weekend inawaendea poa!

Actually kilichonisukuma kuweka huu uzi ni mawazo nliokua nao,
Hope mtanisaidia kwa hili.

Mimi nna tabia moja ambayo sielewi kama ni nzuri au mbaya, na itanicost vp


Hua nikitoka out na marafiki especially wa kiume hua mimi nalipa bili, yani ndo nilivyo, no matter if ni rafiki tu ama ndugu as am currenly not dating, lazma nilipe mimi, nisipofanya hvyo sitojiskia vizuri na roho yangu haitakua na amani au labda tulipe nusu kwa nusu.


Niwaulize nyie wanaume how do u fill when a woman pays the bill. Je mnahisi ni poa tu au mnahisi as if amekudharau kiaina flani

Je hii tabia niiache au vp??

I dnt want to disrespect any1!
to me i will respect her and the relationship we have, and to me its a nice thing.
 
Inategemea na situation!!!!!

Kwenye hood hamuwezi kuwa wote mko poa kiuchumi sasa kama wewe umefanikiwa kiuchumi na mwngine muumba hajawapa kama wewe mimi binafsi sioni shida kutoka nao na kuwapa gud time kwa gharama yangu!!!!!!

Ni watu umekuwa nao mmesoma wote wao wakaishia kati,labda una mishe zako nao huwa unawarusha hapa na pale kufuatilia hili na.lile informally hawa kula nao faida brings no pain!!!!!!

Sijui hao marafiki unaowazungumzia ni wepi sasa!!!! Kama ni hawa hapo juu no shida kabisa ila kama ni akina YAHAYA achana nao fasta
 
Habarini zenu wana MMU
Hope muwazima na weekend inawaendea poa!

Actually kilichonisukuma kuweka huu uzi ni mawazo nliokua nao,
Hope mtanisaidia kwa hili.

Mimi nna tabia moja ambayo sielewi kama ni nzuri au mbaya, na itanicost vp


Hua nikitoka out na marafiki especially wa kiume hua mimi nalipa bili, yani ndo nilivyo, no matter if ni rafiki tu ama ndugu as am currenly not dating, lazma nilipe mimi, nisipofanya hvyo sitojiskia vizuri na roho yangu haitakua na amani au labda tulipe nusu kwa nusu.


Niwaulize nyie wanaume how do u fill when a woman pays the bill. Je mnahisi ni poa tu au mnahisi as if amekudharau kiaina flani

Je hii tabia niiache au vp??

I dnt want to disrespect any1!

huu moyo wako uelekezee kwenye nyumba za ibada!

na wala si bar! bar hakuna baraka zozote zaidi ya economic slump!

ni hayo tu mpenzi!
 
Binasfi napenda kushare kila ki2..so sioni ubaya kama tunalipa kwa kushare.
 
Back
Top Bottom