Je Hii tabia nliyonayo ni mbaya???

Je Hii tabia nliyonayo ni mbaya???

Tabia yako si mbaya. Lakini ni vyema kuwa mwangalifu kwani wengine huwa wana negative attitude has wakishakufahamu kuwa wewe ni mtoaji, wanaweza kukutumia kama door mat. Mie ni mtoaji mzuri hasa tukiwa kwenye group settings huwa nalipa bili wengine huchukulia advantage, ukishawafahamu watu hao wala haikupi shida. Ni vyema kujifunza hivi vitu vipo....


Yah watu kama hao ni kawaida kukumbana nao, jus kuwazoea tu na kuwachukulia kama walivyo
 
si mbaya

Ila inategemea na kujiamini kwa mwanaune unayetoka nae na uhusiano upoje, ni mpz au rafiki

Ila kama ni marafiki tu wa kawaida kuchangia muhimu na kama pia mpz wako umemwalika haina taabu kumlipia au sonetimea unaweza changia

Pia kama wewe ndo umewaalika kulipa muhimu

Lakini kama umetolewa out/ umealikwa marufuku kulipa
 
hiyo tabia si nzuri..mwanamke aishi kama mwanamke ..huko ni kujikweza na ubabe



So u mean mwanmke ni mtu wa kupewa tu??, wa mizinga?? Who is dependent na hawezi kucontribute chochote??

What kind of woman ar u if I may ask??
 
Hahahaaa!! Eti kutia

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
si mbaya

Ila inategemea na kujiamini kwa mwanaune unayetoka nae na uhusiano upoje, ni mpz au rafiki

Ila kama ni marafiki tu wa kawaida kuchangia muhimu na kama pia mpz wako umemwalika haina taabu kumlipia au sonetimea unaweza changia

Pia kama wewe ndo umewaalika kulipa muhimu

Lakini kama umetolewa out/ umealikwa marufuku kulipa



Shukriyaa

Ill consider the last part nxt time
 
So u mean mwanmke ni mtu wa kupewa tu??, wa mizinga?? Who is dependent na hawezi kucontribute chochote??

What kind of woman ar u if I may ask??
sio wa kupewa saa zote ila sio wa kutoa saa zote kama wewe!
 
kwa maendeleo sio nzuri punguza au acha kabisa!!!!


...Nakucheki nakuona kama...mwanamke wa kizamani..mchunaji...hutaki kufanya kazi unategemea mwanaume akupe hela....nakuona kama unapenda maisha rahisi...upo tayari hata kutoa k kwa ajili ya hela...hii nimekusoma kupitia post zako badilika..!!

duh ...kuna watu mnawafuatilia watu
 
...Nakucheki nakuona kama...mwanamke wa kizamani..mchunaji...hutaki kufanya kazi unategemea mwanaume akupe hela....nakuona kama unapenda maisha rahisi...upo tayari hata kutoa k kwa ajili ya hela...hii nimekusoma kupitia post zako badilika..!!

lol!!!!!! unanifatilia????! mie na uzamani wangu vinakuhusu nini???!
leo niko kwenye mood nzuri sana otherwise....... haaaaaaaaa!!!!

kama mie wa kizamani, mechunaji,, sifanyi kazi na mama ako je??????
kwa kunifatilia huko nimegundua huna kazi.... haaaaa!!!!!
as long as yangu yako kwenye mstari povu litakutoka saaana tu!!!"
 
...endelea tuuu kulipa bili wanakusifu masikio yanakuwa makubwa, wakitoka hapo wameshiba halafu wanaenda kukamuliwa wanakukejeli tu
 
Kwa mm mwanasaikolojia nishakusoma,una infiority complex,nitafute nikutibie,pole sana
 
Back
Top Bottom