Je Hii tabia nliyonayo ni mbaya???

Je Hii tabia nliyonayo ni mbaya???

...aise ntafurahi...japo na mi ntachangia lakini at least inakuwa sio km wanawake wengine wanafanya km wanatukomoa hivi...nt

We acha tu wengine ukiitisha outing wanakuletea na wenzao utachoka watachoitisha
 
Kuna group inaitwa Arusha-Wing, wanadada wa hiyo group wanazama kwenye pochi pasupasu wahudumu wakileta bili(maarufu kama Talaka).

Ukitaka uwafukuze kwenye group ng'ang'ania kulipa bili, hutowaona tena!

Big up Wanachemba.
 
Inategemea na mtu, pia maendeleo kwako yatachelewa
 
Habarini zenu wana MMU
Hope muwazima na weekend inawaendea poa!

Actually kilichonisukuma kuweka huu uzi ni mawazo nliokua nao,
Hope mtanisaidia kwa hili.

Mimi nna tabia moja ambayo sielewi kama ni nzuri au mbaya, na itanicost vp


Hua nikitoka out na marafiki especially wa kiume hua mimi nalipa bili, yani ndo nilivyo, no matter if ni rafiki tu ama ndugu as am currenly not dating, lazma nilipe mimi, nisipofanya hvyo sitojiskia vizuri na roho yangu haitakua na amani au labda tulipe nusu kwa nusu.


Niwaulize nyie wanaume how do u fill when a woman pays the bill. Je mnahisi ni poa tu au mnahisi as if amekudharau kiaina flani

Je hii tabia niiache au vp??

I dnt want to disrespect any1!

Kungekuwepo wanawake wawili tu kama weye, dunia ingekalika kwa amani. Wenzio wanatukomoa kwa kwenda kuwaleta wenzao ili waweke akiba kwao kwamba siku sisi tukiishiwa waendelee kulamba vitu vya bure. B/up dada wafundishe wenzio kuwa hakuna pesa inayo okotwa hivyo sote tuchangie burudani. Inaonesha weye huwa unamwambie mwenzio polee..
 
kwa maendeleo sio nzuri punguza au acha kabisa!!!!
...Nakucheki nakuona kama...mwanamke wa kizamani..mchunaji...hutaki kufanya kazi unategemea mwanaume akupe hela....nakuona kama unapenda maisha rahisi...upo tayari hata kutoa k kwa ajili ya hela...hii nimekusoma kupitia post zako badilika..!!
 
Habarini zenu wana MMU
Hope muwazima na weekend inawaendea poa!

Actually kilichonisukuma kuweka huu uzi ni mawazo nliokua nao,
Hope mtanisaidia kwa hili.

Mimi nna tabia moja ambayo sielewi kama ni nzuri au mbaya, na itanicost vp


Hua nikitoka out na marafiki especially wa kiume hua mimi nalipa bili, yani ndo nilivyo, no matter if ni rafiki tu ama ndugu as am currenly not dating, lazma nilipe mimi, nisipofanya hvyo sitojiskia vizuri na roho yangu haitakua na amani au labda tulipe nusu kwa nusu.


Niwaulize nyie wanaume how do u fill when a woman pays the bill. Je mnahisi ni poa tu au mnahisi as if amekudharau kiaina flani

Je hii tabia niiache au vp??

I dnt want to disrespect any1!

Doesn't matter utajiri wako, 50 50 jitahidi sana, u respect they respect,
 
Tabia yako wala sio mbaya hata kidogo,na kwa kweli wewe unafaa kuwa mke.Unajua mke na mume ni mwili mmoja,sasa iweje mume atoe peke yake tu ingali wewe una uwezo pia?Mwanaume yeyote atayekwambia kuwa ni tabia mbaya na anakukatalia kata kuchangia basi jua huyo hata atakapokuoa basi anaweza kukuzuia pia husifanye kazi ili uwe mama wa nyumbani.Wanaume ni kweli tunapenda kuonekana tunatimiza wajibu kwa kufanya kila kitu,lkn ukweli ni kuwa hatupendi wake magolikipa.Lakini angalizo,husitoe hela kwa majigambo na kumfanya mwanaume ajione kama umemuona hawezi kulipia.Mwanaume yuko radhi hata kwenda kuiba lakini asidharaulike mbele ya mkewe!
 
...Nakucheki nakuona kama...mwanamke wa kizamani..mchunaji...hutaki kufanya kazi unategemea mwanaume akupe hela....nakuona kama unapenda maisha rahisi...upo tayari hata kutoa k kwa ajili ya hela...hii nimekusoma kupitia post zako badilika..!!

hahaa umenichekesha lol...
 
Tabia yako wala sio mbaya hata kidogo,na kwa kweli wewe unafaa kuwa mke.Unajua mke na mume ni mwili mmoja,sasa iweje mume atoe peke yake tu ingali wewe una uwezo pia?Mwanaume yeyote atayekwambia kuwa ni tabia mbaya na anakukatalia kata kuchangia basi jua huyo hata atakapokuoa basi anaweza kukuzuia pia husifanye kazi ili uwe mama wa nyumbani.Wanaume ni kweli tunapenda kuonekana tunatimiza wajibu kwa kufanya kila kitu,lkn ukweli ni kuwa hatupendi wake magolikipa.Lakini angalizo,husitoe hela kwa majigambo na kumfanya mwanaume ajione kama umemuona hawezi kulipia.Mwanaume yuko radhi hata kwenda kuiba lakini asidharaulike mbele ya mkewe!


Ahsaante mkuu kwa mchango wako
 
Sio mbaya kama pesa unazo we endelea tu kulipa bili
 
Tabia yako si mbaya. Lakini ni vyema kuwa mwangalifu kwani wengine huwa wana negative attitude has wakishakufahamu kuwa wewe ni mtoaji, wanaweza kukutumia kama door mat. Mie ni mtoaji mzuri hasa tukiwa kwenye group settings huwa nalipa bili wengine huchukulia advantage, ukishawafahamu watu hao wala haikupi shida. Ni vyema kujifunza hivi vitu vipo....
 
Back
Top Bottom