Hatima/ destiny ni nini kwako ?Je hiyo ni Hatima?
Ni kasheshe watu wa navyo kuja kubishana moja kwa mojaAmbaye anasema hakuna hatma aje aseme atakufa lini na kwa namna gani ugonjwa au ajali au atalala asiamke tena
Hatma ipo ndio maana tunatakiwa kusali maana kesho yako huijui
Magu alikuwa Rais hakujua kama angekuwa Rais vilevile hakujua kama asingemaliza muda wake
Sijakuzoea kukusoma bila kiswanglish imekuwaje tena umetoa ile ladha? 😹
Maisha yako ni matokeo ya aina ya genes, mahali unapozaliwa, familia unayozaliwa, athari za watu wanaokuzunguka hasa ukiwa udogoni, bahati na jitihada zako binafsi vyote kwa pamoja.Hatma ni dhana ya kuwa sina complete dominance ya maisha na experience zangu. Ni Mungu au uhalisia wa kila jambo ndo unao control ninacho kuona, experience na uhai in gemeral
Ukisali unaweza kubadilisha hatma yako?Ambaye anasema hakuna hatma aje aseme atakufa lini na kwa namna gani ugonjwa au ajali au atalala asiamke tena
Hatma ipo ndio maana tunatakiwa kusali maana kesho yako huijui
Magu alikuwa Rais hakujua kama angekuwa Rais vilevile hakujua kama asingemaliza muda wake
Vipi kwa wasio na kazi kabisa ?Nadhani tafsiri ya nitabariki kazi ya mikono yako ndo hii.
Sasa nimekuuliza hiyo sio Hatima? Maana you've no control ya kila kitu hapoMaisha yako ni matokeo ya aina ya genes, mahali unapozaliwa, familia unayozaliwa, athari za watu wanaokuzunguka hasa ukiwa udogoni, bahati na jitihada zako binafsi vyote kwa pamoja.
Mi binafsi huwa napenda swaga zako za kumix lugha ni brand flani hiviNimeanza kuadapt na mazingira. Lugha sio issue tena. Na jitahidi kuondoa English maana inawakwaza wengi, na inaonekana kujifanya najua kumbe nami najifunza
Ulimwengu ambao kila mtu ana control ya kila kitu ni utopia. Utakuwa ulimwengu gani huo? Yani ukiamka ukitaka kuwa rais unakuwa, ukitaka kuua watu milioni unaweza, ukitaka ardhi yote Tanzania unaipata, ukitaka uraia wa Marekani unaipata tu, ukitaka mwanamke yoyote unampataSasa nimekuuliza hiyo sio Hatima? Maana you've no control ya kila kitu hapo
Sio kwamba naiacha mazima najua siwezi.Mi binafsi huwa napenda swaga zako za kumix lugha ni brand flani hivi
Dude live your life, huwezi msikiliza kila mtu katika maisha,kama ungeambiwa huna adabu na ukabadilika hapo hata mimi ningekuunga mkono kuwa watu wanachukiwa na utovu wako wa nidhamu
Lakini kumix lugha nayo unahofia watu?
Aisee tumekuzoea na zile swaga,endela kupiga swaga mzea
Sasa, what is that that makes people be who they're not?Ulimwengu ambao kila mtu ana control ya kila kitu ni utopia. Utakuwa ulimwengu gani huo? Yani ukiamka ukitaka kuwa rais unakuwa, ukitaka kuua watu milioni unaweza, ukitaka ardhi yote Tanzania unaipata, ukitaka uraia wa Marekani unaipata tu
Hii stori naijua mkuu,Speaking of destiny hiyo ipo kama wadau walivyosema haina ubishi
Huyu mwamba Denzil Washington
View attachment 3659652
Alivyokuwa mdogo alikutana na.bibi mmoja hivi,akashika kiganja chake na.kumwambia Utakuja kuwa mtu mashuhuri sana duniani
Kauli ya yule bibi ilikuja kusadifu hali halisi miaka kadhaa uko.mbele,the dude is famous sana tu
Kwahiyo destiny ipo homeboy
Ukizaliwa kwenye familia ya wezi na ukawa na marafiki wengi wezi au matapeli kuna uwezekano mkubwa ukawa mwizi lakini upo uwezekano kiasi pia wa kutokuwa mwizi kwa sababu nyingine nyingi mbalimbali. What make people who they are or not is both "nature" and "nurture".Sasa, what is that that makes people be who they're not?
Ndo maana bado unakimbia mzizi, what makes one azaliwe kwenye hizo scenario kama sio Hatima yake?Ukizaliwa kwenye familia ya wezi na ukawa na marafiki wengi wezi au matapeli kuna uwezekano mkubwa ukawa mwizi lakini upo uwezekano kiasi pia wa kutokuwa mwizi kwa sababu nyingine nyingi mbalimbali. What make people who they are or not is both "nature" and "nurture".
Iko hivi,ukiwa na hatima ya kuwa mchezaji mpira,makuzi yako yote yatakupeleka kwenye njia hizoHii stori naijua mkuu,
Sasa naanza kuona how this issue isn't a coincidence. Wengi tunajidanhanya na ku chase vitu visivyo Hatima yetu. Once uki gundua tu unaachana na drama