Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 5,280
- 7,149
Mungu alituumba sisi Kwa sababu ya Upendo tu, hatukufanya chochote kwake, alituchagua tu, kama wewe unaweza kuwa na Mtoto wako anatakiwa kwenda Boarding, utamwandalia kila kitu, Nguo za kushindia, Madaftari mpaka pesa ya kujikimu, na Bado utamwambia siku akipata tatizo aombe simu hata Kwa Mwalimu ili awàsiliane na wewe.
Hivyo ndivyo Mungu alifanya kwetu, aliandaa Hatima ya Kila mmoja wetu kabla hata hatujazaliwa....!
Ukisoma kwenye Kitabu Cha Yeremia Kuna kitu Mungu anamwambia Nabii Yeremia.
YEREMIA 1:5.
Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.
Ukisoma huo mstari utaona Mungu anamwambia Nabii Yeremia kuwa alimjua kabla hata hajazaliwa, Yeremia alikua Binadamu kama sisi, aliyezaliwa na Baba na Mama kama sisi, hivyo kama Mungu aliweza kumjua Yeremia, means Mungu anatujua Kila Mmoja wetu, na Kwa Yeremia utaona Mungu aliweka Hatma ya Unabii kwake, means hata kwa Kila mmoja Mungu ameweka Hatma.
Siku unayozaliwa unakua na Fully package Yako, unazaliwa na Kila kitu chako, njia Yako mpaka kuelekea kutimiza Hatma Yako ipo ndani Yako, Mungu anajua utakwama wapi, anajua utatoboa ama lah!
Sasa Ulimwengu wa Roho ndiyo unaendesha hii Dunia ya Nyama, Ulimwengu wa Roho una kanuni zake na Sheria zake, na Mungu naye ana kanuni na Sheria zake, kama utaishi Kwa kufata Sheria na kanuni za Mungu, then Mungu atawajibika kwako kuhakikisha unafikia Hatma Yako, kama utaamua kuishi bila kufata Sheria za Mungu, then Mungu hatakua responsible na Hatma Yako, japo anajua kabisa changamoto zako na wapi utakwama.
Shetani kama Shetani ni mpinzani, Shetani kama yeye Hana alichonacho zaidi ya ule uwezo wake aliokua nao kabla hajamwasi Mungu, Shetani hawezi hata na Nguvu ya kumpa mtu Utajiri, ila Shetani anachofanya ni kuiba kile kifurushu chenye Hatma Yako na kumpa mtu mwingine anayemtaka (wengine huita Nyota) wengine huita Baraka... Hakuna Baraka mpya ama Nyota mpya, Kila Mtu alipewa vyake alipozaliwa.
Wako Watu hatima zao ni Uongozi, Utajiri, Wakili n.k kinachotokea Kuna Marais Leo wanatawala Kwa sababu walienda Kwa Mganga (Agent wa Shetani) Mganga akaiba Hatma (Nyota) ya mtu mwingine, kitu ambacho ni rahisi kufanya, coz kwenye Ulimwengu wa Roho hakuna Siri, na akampa Mtu ambaye hakuwa na Nyota ya Uongozi na mtu huyo akawa Rais, unaweza kujua tu Kiongozi aliyepata Uongozi Kwa kuiba Nyota za Watu kuonekana Hatoshi, Yani anakua na madhaifu mengi.
Kuna Marais Tanzania wapo mitaani, Kuna mawaziri wapo mitaani, Kuna Matajiri ni Masikini mitaani, wengine wapo kaburini na hawakuwahi kufikia hatima zao.
Kufikia hatima Yako inabidi uishi sawa na Mapenzi ya Mungu, nje ya hapo, utaibiwa Hatma Yako kwenye Ulimwengu wa Roho na Kila kitu kitadhirika kwenye Ulimwengu huu.
Hivyo ndivyo Mungu alifanya kwetu, aliandaa Hatima ya Kila mmoja wetu kabla hata hatujazaliwa....!
Ukisoma kwenye Kitabu Cha Yeremia Kuna kitu Mungu anamwambia Nabii Yeremia.
YEREMIA 1:5.
Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.
Ukisoma huo mstari utaona Mungu anamwambia Nabii Yeremia kuwa alimjua kabla hata hajazaliwa, Yeremia alikua Binadamu kama sisi, aliyezaliwa na Baba na Mama kama sisi, hivyo kama Mungu aliweza kumjua Yeremia, means Mungu anatujua Kila Mmoja wetu, na Kwa Yeremia utaona Mungu aliweka Hatma ya Unabii kwake, means hata kwa Kila mmoja Mungu ameweka Hatma.
Siku unayozaliwa unakua na Fully package Yako, unazaliwa na Kila kitu chako, njia Yako mpaka kuelekea kutimiza Hatma Yako ipo ndani Yako, Mungu anajua utakwama wapi, anajua utatoboa ama lah!
Sasa Ulimwengu wa Roho ndiyo unaendesha hii Dunia ya Nyama, Ulimwengu wa Roho una kanuni zake na Sheria zake, na Mungu naye ana kanuni na Sheria zake, kama utaishi Kwa kufata Sheria na kanuni za Mungu, then Mungu atawajibika kwako kuhakikisha unafikia Hatma Yako, kama utaamua kuishi bila kufata Sheria za Mungu, then Mungu hatakua responsible na Hatma Yako, japo anajua kabisa changamoto zako na wapi utakwama.
Shetani kama Shetani ni mpinzani, Shetani kama yeye Hana alichonacho zaidi ya ule uwezo wake aliokua nao kabla hajamwasi Mungu, Shetani hawezi hata na Nguvu ya kumpa mtu Utajiri, ila Shetani anachofanya ni kuiba kile kifurushu chenye Hatma Yako na kumpa mtu mwingine anayemtaka (wengine huita Nyota) wengine huita Baraka... Hakuna Baraka mpya ama Nyota mpya, Kila Mtu alipewa vyake alipozaliwa.
Wako Watu hatima zao ni Uongozi, Utajiri, Wakili n.k kinachotokea Kuna Marais Leo wanatawala Kwa sababu walienda Kwa Mganga (Agent wa Shetani) Mganga akaiba Hatma (Nyota) ya mtu mwingine, kitu ambacho ni rahisi kufanya, coz kwenye Ulimwengu wa Roho hakuna Siri, na akampa Mtu ambaye hakuwa na Nyota ya Uongozi na mtu huyo akawa Rais, unaweza kujua tu Kiongozi aliyepata Uongozi Kwa kuiba Nyota za Watu kuonekana Hatoshi, Yani anakua na madhaifu mengi.
Kuna Marais Tanzania wapo mitaani, Kuna mawaziri wapo mitaani, Kuna Matajiri ni Masikini mitaani, wengine wapo kaburini na hawakuwahi kufikia hatima zao.
Kufikia hatima Yako inabidi uishi sawa na Mapenzi ya Mungu, nje ya hapo, utaibiwa Hatma Yako kwenye Ulimwengu wa Roho na Kila kitu kitadhirika kwenye Ulimwengu huu.