Je, Dkt. Kigwangalla amekata tamaa?

Je, Dkt. Kigwangalla amekata tamaa?

kabisa mkuu, tena hapo ushukuru siku hiyo wasiwe wameongeza na uchungu wa maisha, watakusema sana mpaka ukonde ndo mana unaona yule gavana anaongezeka matako maana anasemwa kila muda anatupiwa laana
....🙄🙄🙄....

Dah!.. mkuu umewaza nini mpaka ukaandika haya....🙄🙄🙄.

Ila kusema kweli tabia za Watz ni pasua kichwa.
 
Kamuulize Assad mwenyewe ndiye anajua. Alijifanya puyuyu kamwonyesha upuyuyu wake sasa kila siku anatembelea mashamba yake na ameanza kuwa mfanyabiashara uzeeni.
Ule ulikuwa wizi au audit query?
 
Huu utumwa wa mazoea watu kuitwa hassan,ally,muddy, asha,chiku,Sofia, faiza nk kuhisi ni watu wa dini ya kiislam umepitwa na wakati
NB ukija hapa zenji na maeneo mwngi ya pwani A/mashariki watu jinsi hiyo nao makafiri tuu, hata HK vivyo hivyo jina lisiwadanganye hata hiyo elimu ya MD in elimu kama zilivyo zingine atumvuliwe tuu maana anatumalizia nguruwe pori wetu.
Utumwa unao tu ukipenda usipende, una nini cha kukufanya usiwe mtumwa?
 
Kigwanga hizo Tsh 2.58 bil alitakiwa kuziombea IDHINI ya Bunge kuzitumia kupitia SHERIA ya MAREKEBISHO ya MATUMIZI ya Wizara yake. Na huko bungeni CCM ina majority, wangempitishia tu na kumuachia azitumie atakavyo. Kigeanga hata hilo HUJUI? Kwa kweli HUELEWI Governance at ALL! Soma maana ya WIZI kwenye Penal Code.
Don't ..... with a fool people might not notice the difference!
 
Kumbuka Kigwangwala ni Muislam, mteuzi ni Allah pekee siyo binadam mwenzake.

Besides, Kigwangwala ana profession yake, sijui wewe?
Kumbe ni Mwislamu?
Kateuliwa na Allah?
Mbona Magufuli ndio Anateua watu?

Kumbe Magufuli ndio Allah wenu?

Ndio maana nilimuona msikitini pale Kinondoni? Tena alikuwa amevaa kanzu kazungukwa na Mashehe na ma Alhaji.

Ila mbona anakula kitimoto?

Kumbe na nyie mnakula?
Asante kwa ufafanuzi.
Nilikuwa sijui kabisa
 
Mzee wa nje ya box jana kabanwa twitani hadi wananzengo wa ccm wameshindwa kumtetea, yaani hiyo kauli ya wasio na shukrani imekuja baada ya kuona anapambana peke yake haoni like hata ya naibu waziri wala katibu mkuu wake. Nguvu ya umma achana nayo.
 
Back
Top Bottom