Je, Dkt. Kigwangalla amekata tamaa?

Je, Dkt. Kigwangalla amekata tamaa?

sasa kwani Allah hataki utawala bora, usimamizi na matumizi bora ya fedha za umma na kodi za waislamu na wasio waislamu? je mtu akishindwa kusimamia eneo lake la kazi ambalo alipewa na Allah, Allah huchukua hatua gani? Kigwangwala toka amemaliza MD amepractice udaktari kwa miaka mingapi? je ni daktari specialist wa nini?
Kigwangwala si msimamizi wa fedha za wizara.

Wizara na idara zote za serikali zina taratibu na kanuni zake kuhusu mambo ya fedha.
 
Kufa na tai shingoni Bashite sijui ana nini duh! akitaka uondoke unaondoka kweli

Ila nimependa ujasiri wake Mwanaume unatakiwa kufa kiume kama walivyo ondoka CAG, Mafuru, na Nape.

sio unaondoka kizembe kama wakina Mwigulu na Lugola.
Nape huyu aliyeenda ikulu akatembezwa kwa miguu kutoka Getini mpk ikulu huku anasema mh. Rais wewe ni baba yangu nisamehe tu baba sijui nini.
 
Huyu anamsingizia Allah na kumzulia uongo yaan hii siasa yenye kila aina ya fitna na uchafu eti ameteuliwa na Allah apunguze mahaba
sasa kwani Allah hataki utawala bora, usimamizi na matumizi bora ya fedha za umma na kodi za waislamu na wasio waislamu? je mtu akishindwa kusimamia eneo lake la kazi ambalo alipewa na Allah, Allah huchukua hatua gani? Kigwangwala toka amemaliza MD amepractice udaktari kwa miaka mingapi? je ni daktari specialist wa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa " msongo wa mawazo" unahusika!

Alikuwa anamjibu nani kwa lugha hii isiyo ya kiuongozi na iliyopungukiwa shukrani na adabu kwa mteuzi!
Kwa sasa watu washachoka kunyenyekea maana washatengeneza za kutosha

In God we Trust
 
Back
Top Bottom