Je, Dkt. Kigwangalla amekata tamaa?

Je, Dkt. Kigwangalla amekata tamaa?

Ila kusema na ule ukweli covid19 imeikumba wizara yake hard
Anajua mzigo wa lawama ulioambatana na matumbuzi uko njiani
Haya, hapa utamlaumu kwa lipi? Kwa kuileta COVID-19?

Acha akili zituingie vichwani kama tunataka kujifunza kutokana na makosa.

Nchi kama Tanzania kutegemea pato la utalii kuwa ndio namba moja ni ujuha wa hali ya juu kabisa.
 
Kigwa amepungukiwa busara na ubunifu! Anakurupuka na anamajibu ya nyodo na anausukuma flani kama mteec Uzy wake
 
Sina Zaidi...

tapatalk_1586305219145.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hawapi, mkuu kuwaongoza watanzania yataka moyo sana japo viongozi wetu wana mapungufu lakini wananchi wengi ni wapuuzi sana, wakishatoka kuangalia picha za utupu (koneksheni) wanakuja kukupayukia hovyo.
Nakubaliana na wewe 100%. Sisi wananchi pia tuna nongwa. Hatuna jema. Kutwa kulalama as bitches. Uongozi una changamoto zake. Lakini watu wanajua umepata hiyo nafasi kula bata sijui. Hata ungepewa wewe nafasi hiyo you can't fulfill everyone needs. Tuache nongwa.

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
 
Kesha enda kibla huyo. Labda aite wale waganga wake wafanye tambiko lingine
Siyo yeye peke yake bali sehemu kubwa ya viongozi waandamizi wa serikali ya ccm ni washirikina. Elimu kwao haina maana kwani hata kwa upatikanaji wake ni kwa njia hizo hizo. Niambie kiongozi yupi awe ni Prof. au Phd holder nchi hii inaweza kumjivunia?? Wote hushindana kwa idadi ya waganga walionao ktk kulinda vyeo vyao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa " msongo wa mawazo" unahusika!

Alikuwa anamjibu nani kwa lugha hii isiyo ya kiuongozi na iliyopungukiwa shukrani na adabu kwa mteuzi!
Mkuu hata huyo Mteuzi wake mwenyewe hana shukurani. Nasikia keshawandaa wapeperusha bendera wake kwenye majimbo. Wengi wao ni wakuu wa mikoa/wilaya pamoja na wakurugenzi wa halmashauri. Hata mkuu wa mjengoni pale yuko mashakani. Hiki kipindi ni kizuri sana kwa waganga wa kienyeji. Phd na u Prof tupa kule wote ni kwa mwendo wa DAB.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka Kigwangwala ni Muislam, mteuzi ni Allah pekee siyo binadam mwenzake.

Besides, Kigwangwala ana profession yake, sijui wewe?
Hahahaha ajuza hukosi chakuchangia

Kigwangala mtetezi wake sio Allah nj wale waganga ndio maana anaelekea kubuma soon sababu yawezekana hakuupata huo uwaziri kihalali

Kila mtu ana anaprofesional yake hapa duniani inayoleta mkate mezani kwake so hio ni bullshit

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lenu ni umbumbumbu wa sheria ya ukaguzi. Audit Query siyo wizi au kosa la jinai ndiyo maana ikaitwa query wala siyo misappropriation au theft/fraud na ndiyo maana wizara na idara zinapewa muda wa kujibu query husika na mara nyingi hizo query hufutwa baada ya kupata majibu toka wizara au idara husika. Wizara au idara ikishindwa kujibu hizo Audit Query ndipo Police/PCCB investigations inakuwa initiated ili kujua ukweli kama kuna kosa la jinai ama la.

CAG Audit anaangali kama taratibu za uhasibu zimefuatwa wakati wa malipo husika wakati Police na PCCB investigators wanachunguza kujua kama kuna kosa la jinai limetendeka kwa kuangalia vipendele vya kosa la jinai kama vimetendwa na watuhumiwa.

Hivyo Audit Query ya CAG haina maana kuwa pesa zimeibiwa au kosa la jinai limetendeka. Na ripoti yake siyo conclusive evidence kwa kosa la jinai.

Tatizo la JF ya sasa haina Great Thinkers (GT) kwa kuwa wengi wa GT wameachana nayo tukabaki sisi washabiki wa siasa tu.
Naona kama huna hoja
 
sasa kwani Allah hataki utawala bora, usimamizi na matumizi bora ya fedha za umma na kodi za waislamu na wasio waislamu?

je mtu akishindwa kusimamia eneo lake la kazi ambalo alipewa na Allah, Allah huchukua hatua gani? Kigwangwala toka amemaliza MD amepractice udaktari kwa miaka mingapi? je ni daktari specialist wa nini?


Huyu bi mkora akikujibu nijulishe.
 
Back
Top Bottom