FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Jinsi unavyouliza unaonesha ni poyoyo.Mteuzi ni Allah?
Hii ni serikali ya Allah?
Theocracy regime ilianza lini?
Jinsi unavyouliza unaonesha ni poyoyo.Mteuzi ni Allah?
Hii ni serikali ya Allah?
Theocracy regime ilianza lini?
Tunandai twiga wetu aliyemgonga twiga ana thamani kuliko chatu,hapa uhujumu uchumi unamuhusu kwann akimbie speed mbugani?Ingekuwa mtu wa chadema mfano mbowe ndie amegonga twiga uhujumu uchumi usingemuacha sema tu mambo ya dabo std.Atumbuliwe tu atamuandamaje meya wetu wa Iringa na chatu wake
Umewahi kuwa hata msaidizi wa mjumbe (balozi) wa nyumba kumi?Mzee wa nje ya box jana kabanwa twitani hadi wananzengo wa ccm wameshindwa kumtetea, yaani hiyo kauli ya wasio na shukrani imekuja baada ya kuona anapambana peke yake haoni like hata ya naibu waziri wala katibu mkuu wake. Nguvu ya umma achana nayo.
Sawa nenda kakinge Buk 7 zako kwa Pole Pole pale Lumumba.Don't ..... with a fool people might not notice the difference!
Nani aliyempa?Kigwanga hizo Tsh 2.58 bil alitakiwa kuziombea IDHINI ya Bunge kuzitumia kupitia SHERIA ya MAREKEBISHO ya MATUMIZI ya Wizara yake. Na huko bungeni CCM ina majority, wangempitishia tu na kumuachia azitumie atakavyo. Kigwanga hata hilo HAJUI? Kwa kweli HAELEWI Governance at ALL! Soma maana ya WIZI kwenye Penal Code.
Kwahiyo Mbowe bado hajasema amechoka ndio maana bado ni mwenyekiti Chadema? Basi Sawa! Na kauli ya Meya Boniphace je?Hahahaaaaa....... Uongozi ni jalala bwashee.
Ukiona kiongozi anatamka neno " Nimechoka" ujue hapo hamna kiongozi tena!
Tatizo yule Bwana wa Ikulu mteuzi huwa anayapenda majitu kama haya. Anaweza asichukue hatua yeyote dhidi ya Kigwanga.
"Dini" maana yake nini?Bi dada dini inahusikaje hapo??!!! Kuwa mstaarabu.
Hapana bwana COVID ni Force Majeure,Mheshimiwa hawezi kuwajibikwa hilo suala hata kama mbuga hazina mtalii hata mmoja.Kipindi hiki alitakiwa kujiunga kwenye timu ya WM kupambana na hiki kirusi.Ila kusema na ule ukweli covid19 imeikumba wizara yake hard
Anajua mzigo wa lawama ulioambatana na matumbuzi uko njiani
Kuna mtu kaichakachuua kauli ya Kigwa. Mie nimesoma alichoandika Twitter, kuna maneno yamepotoshwa hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 mkuu , ndivyo zinaitwa hivo ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nmecheka kisenge man! "Koneksheni"
Hilo siyo la kuuliza.....🙄🙄🙄....
Huyu Mheshimiwa ni muumini wa matambiko?
Hivi unapoandika kila wakati "bwashee" unaamnisha "Bashe" au "Bwana Shemeji". Na ikiwa ni ndivyo huwa una maana gani kuwaita watu wote humu "Bashe" au "Bwana Shemeji"? Swali la ufahamu tu hebu tujibu tukueleweHahahaaaaa....... Uongozi ni jalala bwashee.
Ukiona kiongozi anatamka neno " Nimechoka" ujue hapo hamna kiongozi tena!
Nani aliyempa?
Yap hapo ndiyo immaturity ya Waziri Kigwanga inaonekana wazi. Kwenye football inaitwa anacheza na jukwaa.Sioni hatua yeyote ya kuchukua kwa sasa kwa sababu waziri hajakutwa na hatia yeyote.alichopaswa kufanya HK ni kukaa kimya.sasa wakina kigogo wamemjaza upepo nae kajaa mazima.
'Read between the lines bro'Kwani,awez kurisign. Au CAG alipompiga Tochi ndo kaamua kupanic.