bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,737
- 10,364
Uislam hauujuwi wala Kigwangwala haumjui, huna haki ya kuongelea kitu usichokifahamu.
Wewe mkataa HADITHI Uislamu utaujulia wapi, punguani waheed
Uislam hauujuwi wala Kigwangwala haumjui, huna haki ya kuongelea kitu usichokifahamu.
Sasa kwanini uendelee kutumikia watu wasio na shukruni,Kama uwaziri si fursa kwako unataka tukusaidie nini ili ujiuzuluView attachment 1411989
Hii ndio kauli yake baada ya mashambulizi kutoka pande zote baada ya ripoti ya CAG
Kigwangwala si msimamizi wa fedha za wizara.
Wizara na idara zote za serikali zina taratibu na kanuni zake kuhusu mambo ya fedha.
Bwashee nguvu ya mamba iko kwenye maji huyo akishaachia uwaziri atakuwa kama Ngeleja atakachomzidi ni mavazi tu vipedo na makobasi!
Aah, kumbe huijuwi profession yake.
Usichukue mshahara wao uone Kama Kuna mtu atakufata nyumbani kwako kukupayukia, shida zako ndo zinakufanya unganganie hiyo nafasi mjinga wewehawapi, mkuu kuwaongoza watanzania yataka moyo sana japo viongozi wetu wana mapungufu lakini wananchi wengi ni wapuuzi sana, wakishatoka kuangalia picha za utupu (koneksheni) wanakuja kukupayukia hovyo.
.....🙄🙄🙄....Kesha enda kibla huyo. Labda aite wale waganga wake wafanye tambiko lingine
Hujajibu swali langu nilipokuuuluza kuwa nipe nukuu ya niliposema Kigwanga kaiba?Naona unafikiri ki academically sana! I have no time ya kubishana mkuu!
Sawa mimi nina ufahamu kidogo ila wewe kidogo zaidi!! Umerizika sasa?Hujajibu swali langu nilipokuuuluza kuwa nipe nukuu ya niliposema Kigwanga kaiba?
Ila wewe una ufahamu kidogo na ndiyo unautumia. Kumbuka kuwa ufahamu kidogo ni sumu kuliko kutofahamu kabisa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nmecheka kisenge man! "Koneksheni"hawapi, mkuu kuwaongoza watanzania yataka moyo sana japo viongozi wetu wana mapungufu lakini wananchi wengi ni wapuuzi sana, wakishatoka kuangalia picha za utupu (koneksheni) wanakuja kukupayukia hovyo.
😆Shikamoo CORONA Utalii chali, kiburi na majivuno kwisha.
Eti nimechoka ebo,! Unachoka wakati wa shida..?!
Vipi ile 1.8 T imeshatolewa majibu au majibu yake ilikuwa ni Assad kungolewa,mjuzi tujuze pleaseTatizo lenu ni umbumbumbu wa sheria ya ukaguzi. Audit Query siyo wizi au kosa la jinai ndiyo maana ikaitwa query wala siyo misappropriation au theft/fraud na ndiyo maana wizara na idara zinapewa muda wa kujibu query husika na mara nyingi hizo query hufutwa baada ya kupata majibu toka wizara au idara husika. Wizara au idara ikishindwa kujibu hizo Audit Query ndipo Police/PCCB investigations inakuwa initiated ili kujua ukweli kama kuna kosa la jinai ama la.
CAG Audit anaangali kama taratibu za uhasibu zimefuatwa wakati wa malipo husika wakati Police na PCCB investigators wanachunguza kujua kama kuna kosa la jinai limetendeka kwa kuangalia vipendele vya kosa la jinai kama vimetendwa na watuhumiwa.
Hivyo Audit Query ya CAG haina maana kuwa pesa zimeibiwa au kosa la jinai limetendeka. Na ripoti yake siyo conclusive evidence kwa kosa la jinai.
Tatizo la JF ya sasa haina Great Thinkers (GT) kwa kuwa wengi wa GT wameachana nayo tukabaki sisi washabiki wa siasa tu.
Hapa " msongo wa mawazo" unahusika!
Alikuwa anamjibu nani kwa lugha hii isiyo ya kiuongozi na iliyopungukiwa shukrani na adabu kwa mteuzi!
Ukiacha kufatilia ya watu utaendelea sana kimaishaView attachment 1411989
Hii ndio kauli yake baada ya mashambulizi kutoka pande zote baada ya ripoti ya CAG
Kamuulize Assad mwenyewe ndiye anajua. Alijifanya puyuyu kamwonyesha upuyuyu wake sasa kila siku anatembelea mashamba yake na ameanza kuwa mfanyabiashara uzeeni.Vipi ile 1.8 T imeshatolewa majibu au majibu yake ilikuwa ni Assad kungolewa,mjuzi tujuze please
Jifunze kutumia Google.Twambie wewe, maana lazima utamjua kisa jina lake linaanzia na Hamisi
In God we Trust
Kigwanga hizo Tsh 2.58 bil alitakiwa kuziombea IDHINI ya Bunge kuzitumia kupitia SHERIA ya MAREKEBISHO ya MATUMIZI ya Wizara yake. Na huko bungeni CCM ina majority, wangempitishia tu na kumuachia azitumie atakavyo. Kigwanga hata hilo HAJUI? Kwa kweli HAELEWI Governance at ALL! Soma maana ya WIZI kwenye Penal Code.Naona unafikiri ki academically sana! I have no time ya kubishana mkuu!
Ukikubali kuajiriwa lazima ukubari masharti na mazingira ya mwajiri wako,ukishindwa piga kazi chini,kwani lazima ufanye kazi hapo? Shida ni njaa zenu si watanzaniaNakubaliana na wewe 100%. Sisi wananchi pia tuna nongwa. Hatuna jema. Kutwa kulalama as bitches. Uongozi una changamoto zake. Lakini watu wanajua umepata hiyo nafasi kula bata sijui. Hata ungepewa wewe nafasi hiyo you can't fulfill everyone needs. Tuache nongwa.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Huu utumwa wa mazoea watu kuitwa hassan,ally,muddy, asha,chiku,Sofia, faiza nk kuhisi ni watu wa dini ya kiislam umepitwa na wakatiKumbuka Kigwangwala ni Muislam, mteuzi ni Allah pekee siyo binadam mwenzake.
Besides, Kigwangwala ana profession yake, sijui wewe?