Je, asili ya majini ni ipi?

Je, asili ya majini ni ipi?

Majini ni malaika walio muasi Mungu pamoja na Shetani ,Majini yanatumiwa na shetani kutumikisha watu. wakrito wanayaita mapepo .Hakuna ushirika wowote kati ya ukristo na majini au mapepo ,kiufupi hayataki jina la Yesu. Ila kuna ushirika mkubwa kati ya uislamu na Majini ,wanaswali nayo wanasema ni maislamu .Mimi hapo ndio napata mashaka makubwa juu ya Dini hii.
Hii elimu umeptapa wapi rudi kasome biblia vizuri
 
Naombeni kusadiwa kujua kuhusu majini. Nina imani watu wengi huwa tunatishwa sana..

Nina maswali naombeni kupewa msaada..

[emoji117] Nani aliwaumba majini?

[emoji117] Majini wameumbwaje na kwanini waliumbwa kwa kazi gani?

[emoji117] Kwanini hawaonekani nguvu gani au wao wapo ulimwengu gani hasa hadi tunashindwa kuwaona?

[emoji117]Je, vitabu vya dini vinasemaje kuhusu hawa viumbe ni sehemu gan majini watajwa na je mitume wa Mungu wamewahi kuwatumia hawa kwa kazi gani na kwanini?

[emoji117] Kwanini wanaonekana kuwa na nguvu zaid kuliko binadamu, mbinu ipi sahihi ya kuwadhibiti hao viumbe?

[emoji117] Je, maumbile yao halisi ni yapi na utawezaje kuwatambua?

[emoji117] Je, Mungu wanayemwamini ni huyu tunayemwamini sisi na huko watahesabiwa vipi haki siku ya mwisho na adhabu yao itakuwaje kwenye moto wa milele (nasikia wapo kama moto sina uhakika).

[emoji117] Je, wanaliana vip mimba zao hukaa muda gan na huishii miaka mingap tokea azaliwe yaani jin Mzee yupoje.

[emoji117] Mfumo wao wa utawala upoje na je kuna adhabu za kuwapatia endapo wanasumbua binadamu?

[emoji117] Je, wanaweza kuzaa na binadamu na mtoto akizaliwa huwaje?

Yaan dah yapo mengi maswali!
Unataka kufahamu asili ya majini kwa misingi ya Dino gani?
 
Naombeni kusadiwa kujua kuhusu majini. Nina imani watu wengi huwa tunatishwa sana..

Nina maswali naombeni kupewa msaada..

[emoji117] Nani aliwaumba majini?

[emoji117] Majini wameumbwaje na kwanini waliumbwa kwa kazi gani?

[emoji117] Kwanini hawaonekani nguvu gani au wao wapo ulimwengu gani hasa hadi tunashindwa kuwaona?

[emoji117]Je, vitabu vya dini vinasemaje kuhusu hawa viumbe ni sehemu gan majini watajwa na je mitume wa Mungu wamewahi kuwatumia hawa kwa kazi gani na kwanini?

[emoji117] Kwanini wanaonekana kuwa na nguvu zaid kuliko binadamu, mbinu ipi sahihi ya kuwadhibiti hao viumbe?

[emoji117] Je, maumbile yao halisi ni yapi na utawezaje kuwatambua?

[emoji117] Je, Mungu wanayemwamini ni huyu tunayemwamini sisi na huko watahesabiwa vipi haki siku ya mwisho na adhabu yao itakuwaje kwenye moto wa milele (nasikia wapo kama moto sina uhakika).

[emoji117] Je, wanaliana vip mimba zao hukaa muda gan na huishii miaka mingap tokea azaliwe yaani jin Mzee yupoje.

[emoji117] Mfumo wao wa utawala upoje na je kuna adhabu za kuwapatia endapo wanasumbua binadamu?

[emoji117] Je, wanaweza kuzaa na binadamu na mtoto akizaliwa huwaje?

Yaan dah yapo mengi maswali!

Qur an sura ya 51 aya ya 56, "Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi".
Alie waumba majini ni Mungu na lengo ya kuwaumba kwake ni kama lengo la kuumbwa kwetu; kumuabudu yeye.

Qur an sura ya 27 aya ya 07, "Na alikusanyiwa Sulaiman majeshi yake ya majini, na watu, na ndege; nayo yakapangwa kwa nidhamu".
Nabii Suleiman aliwatumia majini katika kazi mbalimbali ikiwa ni pamoja na ujenzi.
 
Hiyo elimu ya uhusiano wa uislamu na majini umeipata wapi mkuu?
Wanamezeshwa na wachungaji makanisani ili waichukie dini nyingine . Mbaya zaid wanashindwa hata kuigusa quran kwa dhana mbovu walizomezeshwa...sasa cjui watajuaje kilichoandikwa ndani yke.
 
Wanamezeshwa na wachungaji makanisani ili waichukie dini nyingine . Mbaya zaid wanashindwa hata kuigusa quran kwa dhana mbovu walizomezeshwa...sasa cjui watajuaje kilichoandikwa ndani yke.
Nani anashindwa kuigusa quran wewe!!!!

Mbona unaongea vitu kwa kukisia tu.??.tumejuaje kwamba majini walisilimu baada ya kusikia neno kutoka kwa muhamad..????
Tumejuaje allah aliapa kwa aliyeumba kiumeni na kike????
Tumejuaje mbingu ya allah ina ahadi ya mito ya pombe na wanawake.????

Acha kuandika mitizamo yako humu.
 
Kwahiyo ibilisi ndiyo huyo huyo shetani, lakini hawa waislamu wanadai ni tofauti. Tatizo jamaa hawa wanaitetea Qur'an yao kiasi cha kushindwa kujiuliza maswali juu ya kitabu wanachokiami kama kina make any sense. Sisi wakristo tunaelewa Qur'an ni kitabu full of contradictions, confusions and unreadable.
Go Back to school !!
 
Nani anashindwa kuigusa quran wewe!!!!

Mbona unaongea vitu kwa kukisia tu.??.tumejuaje kwamba majini walisilimu baada ya kusikia neno kutoka kwa muhamad..????
Tumejuaje allah aliapa kwa aliyeumba kiumeni na kike????
Tumejuaje mbingu ya allah ina ahadi ya mito ya pombe na wanawake.????

Acha kuandika mitizamo yako humu.
Basi endelea kuisoma with open mind tafuta unachotaka utakipata. Huenda ukaja kugundua kwann waislam wanaifuata biblia kuliko wakristo, tena kwa matendo sio kwa kuongea kisha useme unaangalia moyoni!
 
Basi endelea kuisoma with open mind tafuta unachotaka utakipata. Huenda ukaja kugundua kwann waislam wanaifuata biblia kuliko wakristo, tena kwa matendo sio kwa kuongea kisha useme unaangalia moyoni!
Mpaka sasa nimegundua waislam wanaisoma biblia kuliko kitabu chao quran, lakini shida ni msaada wa kuielewa hawana.

Ninaendelea kuisoma quran si tu nikiwa na akili huru peke yake,bali pia nikiwa na uchu wa kuitumia kuwaonyesha zaidi ni jinsi gani allah amefanywa kuwa msanii tofauti na Mungu menyezi.
 
Go Back to school !!
You are one of those foolish and stupid Muslim thug, aren't you? If you have nothing constructive to say! Just keep quiet, go to your mosque where you can meet majini for daily prayers that are never answered by Allah. If you are one of those who profess to being a Muslim but never pray 5 times a day! Go to your nearest bar for a beer and "nguruwe kwa dhaurula lakini husishibe." Lastly, respond I'm waiting!
 
Majini ni malaika walio muasi Mungu pamoja na Shetani ,Majini yanatumiwa na shetani kutumikisha watu. wakrito wanayaita mapepo .Hakuna ushirika wowote kati ya ukristo na majini au mapepo ,kiufupi hayataki jina la Yesu. Ila kuna ushirika mkubwa kati ya uislamu na Majini ,wanaswali nayo wanasema ni maislamu .Mimi hapo ndio napata mashaka makubwa juu ya Dini hii.
Hata mimi pia.
 
Qur'an nzima inamlaani shetani na kikataza binadamu kumfuata shetani.Shetani aandike kitabu chake halafu ajipinge mwenyewe,asijisifie.
Na shetani unayemtaja ni yule,aliyembeba yule aliyefungishwa siku 40,akamuweka na njaa jangwani?Alizidiwa akili na shetani.
Mkuu..! Mdomo uliponza kichwa
 
Majini ni malaika walio muasi Mungu pamoja na Shetani ,Majini yanatumiwa na shetani kutumikisha watu. wakrito wanayaita mapepo .Hakuna ushirika wowote kati ya ukristo na majini au mapepo ,kiufupi hayataki jina la Yesu. Ila kuna ushirika mkubwa kati ya uislamu na Majini ,wanaswali nayo wanasema ni maislamu .Mimi hapo ndio napata mashaka makubwa juu ya Dini hii.
MAJINI SI MALAIKA, KUNA MALAIKA NA MAJIN, MALAIKA WAMEUMBWA KWA MWANGA NA MAJINI WAMEUMBWA KWA MOTO, MALAIKA NI VIUMBE WANAOTEKELEZA AMRI YA MW. MUNGU NA HAWAMKOSEI MW. MUNGU, HAWALI HAWANYWI HAWAZAI NA HAWANA HISIA ZOZOTE KM KUTAMANI, MALAIKA WANA UWEZO AU NGUVU KULIKO MAJINI, MF WA MALAIKA HAO NI, MALAIKA JIBRIL, MIKAIL, ISRAIL, ISRAFIL, RAQIB, ATID, NA KILA MMOJA ANA KAZI YAKE SPECIAL, KWA MF, ISRAIL NI KUTOA ROHO NDIYE ANAYEFISHA VIUMBE VYOTE PAMOJA NA MAJINI, ISRAFIL NDIYE ATAKAYEPULIZA PARAPANDA CKU YA KIYAMA ITAKAPOFIKA, MIKAIL KAZI YAKE NI KULETA MVUA NA RADI NK. MAJINI NI VIUMBE WALIOISH DUNIA HII KABLA YA KUUMBWA BINADAMU, WALIISHI KM TUNAVYOISHI, ILA TU BAADA YA KUMUASI MW. MUNGU NDIPO ALIPOWAONDOA KTK DUNIA HII NA KUMUUMBA BINADAMU ILI AJE KUTAWALA DUNIA HII, BAADA YA KUUMBWA BINADAMU NDIPO WALIPOMUOMBA MW. MAMBO MATATU, 1. WASIWEZE KUONEKANA KWA MWANADAMU NA WAMUINGIE BINADAMU WANAVYOTAKA KTK MWILI, 2. WAISHI UMRI MREFU, NA 3. WAWEZE KUJIBADILISHA UMBO LOLOTE WANALOTAKA, NDIPO MW. MUNGU ALIPOWAKUBALIA.
ILA WAPO MAJINI WANAOMUABUDU MW. MUNGU NA PIA WAPO WAASI,
NA CKU YA KIYAMA WATAHUKUMIMIWA KWA MATENDO YAO KM BINADAMU.

KWENYE KITABU CHA QURAN MW. MUNGU ANASEMA "CKUWAUMBA BINADAMU NA MAJINI ILA WANIABUDU"
NA IPO CHAPTER KWENYE QURAN INAYOWAZUNGUMZIA MAJINI.

KWA UFUPI TU, WANAJUA ZAIDI WANAWEZA KUKUELEWESHA.
 
I am sorry by saying you have very poor communication skills ,your problem is you read for the intent to reply not to understand.
I did Not say that in Quran there is truth and lies ,i did not say that in bible there is truth and lies .
I said in Islam there is truth and untruth ,I said in Christianity there is truth and untruth.,so you must be very smart to understand my words ,just get your mind right ,I am sure you will understand.
You are replying things I didn't even say ,interesting.
So In Islam there's truth and untruth! Tell us about the untruth and truth of Islam then?

Islam is the religion of Allah and He accept only Islam, to say that there's untruth in it is like insulting Allah.

Ali-Imran 3:19. Religion with Allah is Islam. Those to whom the Scripture was given differed only after knowledge came to them, out of envy among themselves. Whoever rejects the signs of Allah-Allah is quick to take account.

Ali-Imran 3:85. Whoever seeks other than Islam as a religion, it will not be accepted from him, and in the Hereafter he will be among the losers.

61:7. And who is a greater wrongdoer than he who attributes falsehoods to Allah, when he is being invited to Islam? Allah does not guide the wrongdoing people.

You are a disgrace to your fellow Muslim? I think you must be punished by Sharia law where your head gets chopped off for blasphemy.
 
You are one of those foolish and stupid Muslim thug, aren't you? If you have nothing constructive to say! Just keep quiet, go to your mosque where you can meet majini for daily prayers that are never answered by Allah. If you are one of those who profess to being a Muslim but never pray 5 times a day! Go to your nearest bar for a beer and "nguruwe kwa dhaurula lakini husishibe." Lastly, respond I'm waiting!
Huu ni Ujinga ambao unaelekea kwenye Upumbava au USHETANI ! ! Je hayo majibu ya Matusi ndiyo Mafundisho ya Ukristo ?? [emoji1] [emoji1] pole sana ndugu
 
Huu ni Ujinga ambao unaelekea kwenye Upumbava au USHETANI ! ! Je hayo majibu ya Matusi ndiyo Mafundisho ya Ukristo ?? [emoji1] [emoji1] pole sana ndugu
Hapo ndipo utajua nyiye vibaraka na kiongozi wenu shetani. Kwani shetani wenu Allah umeona wapi akimsifia mkristo hata akitenda mazuri?
Aliyetukana nani? Wewe umeambiwa ukweli kwamba ni mjinga na mpumbavu!
Kwani Qur'an imewafundisha wakristo hawatokwambia wewe mjinga na mpumbavu? Utakapo achana na Qur'an ya majini utaondokana na huo ujinga na upumbavu. Mimi kama mkristo lazima nikukemee ili ujue kweli, ufunuliwe macho.
 
Waislamu ndiyo walikukaririsha kuwa majini ndiyo pepo wachafu?

Na kama ukristo hauyajuwi hayo mnajuaje kama pepo wachafu ndiyo hayo majini?

Mnaweza vipi kuyatoa katika miili ya binadamu huku hamna ilmu ya hayo majini au huwa mnakisia?
Kwa post hiyo uliyoijibu, ulitakiwa tu ujue kwakuwa wewe ni great thinker kwamba pepo wachafu na majini ktk mdahalo huu ni vitu viwili tofauti. Pepo wachafu wameumbwa kwa nuru (malaika) Wakahasi. Majini yameumbwa kwa moto, na ni viumbe kamili vyenye wema na ubaya. Swali lako bado tu litakuwa na mantiki kweli?
 
Kumbe ww huwa unayaona msikitini, basi itakuwa mganga wa kienyeji ww.
Jibu kwanza utupe ilmu mkuu, kweli huwa mnatoa mikono baada ya swala hata ukiwa pekee? Kama kweli nini mantiki yake?
 
Back
Top Bottom