Je, asili ya majini ni ipi?

Je, asili ya majini ni ipi?

Mkuu! Ha ha ha ha ha ha
Unachekesha sana
Ushawahi ona wapi jini akaitwa majina ya kikristo?


Hakuna jina hata moja la kikristo la majini
Tafuta popote na ulete mrejeo hapa
Ingia google tafuta types za majini na kazi zao


100+ utakuta

Astronomy -habari za nyota sijui Capricorn, cancer utazikuta pia

Google.com


Sina haja ya kuandika risala hapa nipo safari

Kigiriki,kiyahudi nk wamewa classify hao majini
 
Mkuu! Ha ha ha ha ha ha
Unachekesha sana
Ushawahi ona wapi jini akaitwa majina ya kikristo?


Hakuna jina hata moja la kikristo la majini
Tafuta popote na ulete mrejeo hapa
Alafu mkuu ebu ondoka ndani ya "CHUPA YA JINA LA KIKRISTO" kuna majina ya makabila kiinchi ama kibara


Binafsi sijawahi ona jina hili la dini fulani.
 
wewe mimi nadhani hata bible ya haswa huisomi, unasikia na wewe unasema bila ya hata kutumia akili yako hata chembe.

Ngoja nikupe shule kidogo.

Mwenyezi Mungu aliumba Malaika, majini na binaadamu. Na wote hawa kawaumba kwa ajili ya kumtumikia yeye.

Malaika waliumbwa kwa nuru, Majini kwa moto na binaadamu kwa udongo.
Katika Malaika hawa ni special wameumbwa na hawamuasi Mwenyezi Mungu kamwe, ni wenye kuabudu tuu.

Binaadamu na Majini sisi ndio tulokuwa na Mitihani maana ndio tupo hapa ulimwenguni,

Tulichoumbiwa ni kumuabudu Mwenyezi Mungu. Na atakaemuasi ikiwa jini au binaadamu basi Mwenyezi Mungu hatamuacha siku ya mwisho atamuingiza motoni, na ikiwa atafuata maarisho ya Mungu ikiwa jini au binaadamu akitaka mwenyewe Mungu atamuingiza peponi.

Sasa ikiwa jini au binaadamu atamuasi Mwenyezi Mungu huyo ndio anakuwa shaytani. Maisha yao ya kuzaliana kama sisi tunavyozaliana ila tumetofautiana na vyakula vyao na makaazi yao wanayoishi.

Na hawana nguvu yoyote ile ya kusema kuwaogopa, Mtume Suleiman yeye alipewa ufalme wa watu, majini, wanyama, ndege, upepo N.k Ni ulfalme ambao alimuomba Mwenyezi Mungu asijempa yoyote badala yake.

Na walikuwa chini ya amri ya Mtume Suleiman aliwadhibiti sawa sawa.
Haya yamo ndani ya Quran tukufu.

binaadamu hutakiwi kuwaogopa kabisa wao ni viumbe wameumba kama sisi, na wengine huwaogopa binaadamu haswa.

Na binaadamu hatakiwi kuyaingilia katika maisha yao na wao hawatakiwi kutuingilia katika maisha yetu. Ila kama utawaingilia na kutaka kujua zaidi na kuwafatilia utaishia katika shirki ambayo itakupeleka kuunguzwa na Mwenyezi Mungu.

TATIZO BAADHI YA WASIOKUWA WAISLAM WANAKURUPUKA SANA NA KUTOA MAJIBU AMBAYO HATA AKILINI HAYAINGII, BINAADAMU SOMA MWENYEWE UELEWE USIKUBALI KUHADITHIWA TUU.

KWA NGUVU ZA NANI KWA NGUVU ZA NANI TOKA HAMNA KITU HICHO NI KIINI MACHO TUU CHA KUCHEZEWA.

MWENYE UWEZO WA KUMTOA JINI AKIKUSIBU NI MWENYEZI MUNGU PEKEE YAKE.

KUNA VISOMO KATIKA QURAN UNASOMA KAMA AKIKUPATA, NA JINI HAMPATI MTU AMBAE AMEJIWEKA MBALI NA MAMBO AMBAYO MWENYEZI MUNGU AMEHARAMISHA.

KAMA MTU ANASEMA SHEIKH ANA MAJINI NI MUONGO, KUNA BAADHI YA WATU HUWAFUTILIA HAWA MAJINI AMBAO KWA MAJINA WANAITWA WAISLAM ILA UNAKUWA USHAJIVUA KATIKA UISLAM IKIWA WEWE KAZI YAKO KUYAFUGA KWA AJILI YA SHIRKI.

HAKUNA USHIRIKA WOWOTE UNAOHUSIANA UISLAM NA MAJINI, NI KUWA ATI WAISLAM WANATUMIA MAJINI, MSIDANGANYWE MKADANGANYIKA.

NI KATIKA QURAN KILA KITU KIMO WATU WAACHE UVIVU WASOME.
Naomba kujua kwamba waikristo hukemea jini
Je,
waislamu hukemea jini au huliomba kutoka?
 
Alafu mkuu ebu ondoka ndani ya "CHUPA YA JINA LA KIKRISTO" kuna majina ya makabila kiinchi ama kibara


Binafsi sijawahi ona jina hili la dini fulani.
Kwa hiyo majini
Wanatoka bara la asia ?

 
Hawajielewi tu hao,pale wanaposema PEPO WACHAFU,lazima kutakuwa na kinyume chake PEPO WASAFI.Mbona hawesemi Malaika wasafi,wanasema malaika tu,kwa sababu hakuna kinyume chake.
Kwa hiyo wajuwe,ikiwa wapo Pepo wachafu na Pepo wasafi watakuwako.
Tatizo kitabu chao,kimetafsiriwa kutoka mlolongo mrefu wa lugha ya asili,kila tafsiri inavyoongezeka,ndio vitu vingi vinaachwa,kutegemea na ugumu wa kutafsiri.
Kwahiyo mkuu unalazimisha kuna pepo wasafi, Ila kwenye biblia hakuna sehemu ilioandikwa kuwa kuna pepo wasafi labda kama kuna sehemu unaijua imeandika naomba unijuze hapa.....nashukuru sana
 
Majini wameumbwa kwa moto ni viumbe kama ww.Allah anasema sikuumba majini na watu ila waniabudu
 
Kama majini huzaana ina maana hao wanaozaliwa nao pia moja kwa moja huwa ni waasi? na cha kunichanganya zaidi ni hiyo asili yao ya kuwa ni malaika.
Unachanganyikiwa na nini sasa Mapepo na Shetani asili yao kuwa malaika Ndugu?
 
Kama ingekuwa hakuna pepo wachafu na wasafi,wangeitwa pepo, tu.
Hahahahaha naona unatusahihisha mkuu, Ila mapepo ni machafu yote tu na kuita "pepo wachafu" tunakua tunakazia tu uchafu wao
 
Majini wazuri wanaitwa maruhani,majini wabaya wanaitwa mashetani
 
Kuamin na kujarib kujifananisha na aliewaumba na kukataa kumsujudia binadamu ilihali wanamwona kaumbwa kwa udongo tu wakat wao wameumbwa kwa moto
Umeongea mashudu na uongo wa lami kusema majini yalikataa kumuabudu Binadamu ilihali Biblia haijasema hivyo...acha uongo na uzandiki
 
Ndio ulivyokaririshwa huko kwenye nyumba zenu za ibada?Jini ni kiumbe,na ni tofauti na binadamu,ataswali vipi na binadamu.Jini anamuogopa binadamu,hawezi kusogea sehemu binadamu yupo.Kama unavyoona wanyama wa porini hawasogei,binadamu walipo,mbali ya kuwa na wao pia ni viumbe.
Mbona sasa mna swali nayo misikitini na pia eti mwanamke akiwa kwenye siku zake haruhusiwi kuja misikitini kuogopa kujeruhiwa na hayo majini
 
There's no problem of language whatsoever, except the problem is you for lack of sufficient knowledge of your own Qur'an! You must be a nutcase to claim that the Qur'an has truth and lies especially when you are also a Muslim! Do you think that is what Muslims believe that their Noble Qur'an contains some truth and falsehood? You dare say that in the face of an Isis or any Muslim I'm sure you will loose your life! That's not respecting the Qur'an as you claim to be! You seem to be inexperience and narrow minded. Be warned! Never say to a radical Muslim that there's some truth and some lies... That's blasphemy!

In addition, you can't say that you personally respect Christianity while at the same time claiming there's some lies and truth in it. Who gives you the authority to judge the Bible? I'll tell you one thing that christians holy book is the Bible, we strongly believe that it's all truth and nothing but the truth from Almighty God. Do you get that? Does your malnourished brain get that?

There's nothing bias for quoting the verse/ Aya and use it as a reference for my argument. I didn't merely copy and paste, I literally used the aya as reference to support my argument.

The Quran I used was translated by a scholar who certainly knows the Qur'an better than you! I did not write nor translate it, so stop calling people bias. Now find out who is Talal Itani and go blame him for the wrong translation of the word Satan.

I am sorry by saying you have very poor communication skills ,your problem is you read for the intent to reply not to understand.
I did Not say that in Quran there is truth and lies ,i did not say that in bible there is truth and lies .
I said in Islam there is truth and untruth ,I said in Christianity there is truth and untruth.,so you must be very smart to understand my words ,just get your mind right ,I am sure you will understand.
You are replying things I didn't even say ,interesting.
 
Wewe unaongea vitu ambavyo huvijui na vya kipuuzi. Eti Mandela, wazungu kuchezea biblia! Nani alikwambia biblia imechezewa? Quran ndiyo imekwambia biblia imechezewa? Husiongee pumba hapa! Huna ushaidi wa kuchezewa biblia, haya maandiko yamekuwa yakilindwa na Mungu mweza yote ndiyo maana yapo mpaka leo. Muhammad wenu Ali copy na ku paste kutoka kwenye biblia!
Mungu wa biblia alithibitisha hilo kwa kusema katika:-
Isaya:55.10
Maana kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko; bali huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apandaye mbegu, na mtu alaye chakula;
Isaya:55.11
ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.

Kwahiyo wacha pumba yako hisiyo na ushaidi. Quran yenu haijabadilishwa lakini ni maneno ya shetani, hakiitaji kubadilishwa.
Hebu nieleweshe kwanini mna biblia ya agano la kale na biblia ya agano jipya? Lile la kale lilikuwa na mapungufu gani mpaka wakatengeneza agano jipya?
Biblia ni maneno ya mungu...je maneno ya mungu yana mapungufu? Kama hayana kwanini kuwe na biblia ya zamani na mpya?
Hilo agano jipya amelitunga nani?
Naomba unijibu maswali yangu...
 
Back
Top Bottom