Je, asili ya majini ni ipi?

Je, asili ya majini ni ipi?

Ni uasi gani hao malaika waliufanya kwa mungu?

Na je,idadi ya hao malaika waliyomuasi mungu huwa haipungui wala kuongezeka?
Uasi mkuu kuliko wote unafanywa kwa mara ya kwanza na maraika mkuu aliyepewa nguvu na uwezo lucifer.kujiona anatosha sasa hata kupambana na aliyemuumba anafanikiwa kuwa na wafuasi malaika wenzie.vita kubwa inazuka mbinguni kati ya jeshi la malaika mkuu mtiifu mikael na huyo ibilisi anatupwa duniani pamoja na wafuasi wake akiapa kwenda kinyume na kila matakwa ya Mungu kwa watu wake duniani.

Huyu anayo nguvu sana si masihara kama wapuuzi flani wanavyomchukulia.
 
Uasi mkuu kuliko wote unafanywa kwa mara ya kwanza na maraika mkuu aliyepewa nguvu na uwezo lucifer.kujiona anatosha sasa hata kupambana na aliyemuumba anafanikiwa kuwa na wafuasi malaika wenzie.vita kubwa inazuka mbinguni kati ya jeshi la malaika mkuu mtiifu mikael na huyo ibilisi anatupwa duniani pamoja na wafuasi wake akiapa kwenda kinyume na kila matakwa ya Mungu kwa watu wake duniani.

Huyu anayo nguvu sana si masihara kama wapuuzi flani wanavyomchukulia.
Sasa hao wafuasi wake huwa wanaongezeka au wale wale tu aliyoshushwa nao?

Na umesema alijiona anatosha kupambana na mungu kwa sababu ya nguvu alizopewa, je nini hasa alikuwa akikitaka hadi ikafikia kutaka kupambana na mungu?
 
Shirki ndio nini?
Na unaposema mtume suleimani alipewa ifalme juu ya majini na viumbe vingine una maana gani?
Je kuna ruhusa ya binadamu kuwasiliana na majini.
Kama haipo huo ufalme wa suleiman juu ya majini ulikuaje
 
inategemea umeamua kuita jina gani kwenye kitabu chako lakini haiondoi maana halisi ya kitu mfano mandela aliitwa gaidi na mataifa yenye nguvu duniani ingawa ukweli ilikuwa tofauti.
yapo majini wakristo na wazungu ,wahindi n.k
biblia imebadilishwa na kuchezewa sana na wazungu na hii unayoisoma wewe inawezekana hata bwana trump alishiriki kwenye editing
Wewe unaongea vitu ambavyo huvijui na vya kipuuzi. Eti Mandela, wazungu kuchezea biblia! Nani alikwambia biblia imechezewa? Quran ndiyo imekwambia biblia imechezewa? Husiongee pumba hapa! Huna ushaidi wa kuchezewa biblia, haya maandiko yamekuwa yakilindwa na Mungu mweza yote ndiyo maana yapo mpaka leo. Muhammad wenu Ali copy na ku paste kutoka kwenye biblia!
Mungu wa biblia alithibitisha hilo kwa kusema katika:-
Isaya:55.10
Maana kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko; bali huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apandaye mbegu, na mtu alaye chakula;
Isaya:55.11
ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.

Kwahiyo wacha pumba yako hisiyo na ushaidi. Quran yenu haijabadilishwa lakini ni maneno ya shetani, hakiitaji kubadilishwa.
 
Kila navojitahidi kusoma hilo andika ndo nazidi kupata ukakasi kama si kuvurugwa zaidi. Maana maelezo yako yamekuwa kivurugeee

Wewe unaongea vitu ambavyo huvijui na vya kipuuzi. Eti Mandela, wazungu kuchezea biblia! Nani alimwambia biblia imechezewa? Quran ndiyo imekwambia biblia imechezewa? Husiongee pumba hapa! Huna ushaidi wa kuchezewa biblia, haya maandiko yamekuwa yakilindwa na Mungu mweza yote ndiyo maana yapo mpaka leo. Muhammad wenu Ali copy na ku paste kutoka kwenye biblia!
Mungu wa biblia alithibitisha hilo kwa kusema katika:-
Isaya:55.10
Maana kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko; bali huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apandaye mbegu, na mtu alaye chakula;
Isaya:55.11
ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.

Kwahiyo wacha pumba yako hisiyo na ushaidi. Quran yenu haijabadilishwa lakini ni maneno ya shetani, hakiitaji kubadilishwa.
Qur'an nzima inamlaani shetani na kikataza binadamu kumfuata shetani.Shetani aandike kitabu chake halafu ajipinge mwenyewe,asijisifie.
Na shetani unayemtaja ni yule,aliyembeba yule aliyefungishwa siku 40,akamuweka na njaa jangwani?Alizidiwa akili na shetani.
 
Qur'an nzima inamlaani shetani na kikataza binadamu kumfuata shetani.Shetani aandike kitabu chake halafu ajipinge mwenyewe,asijisifie.
Na shetani unayemtaja ni yule,aliyembeba yule aliyefungishwa siku 40,akamuweka na njaa jangwani?Alizidiwa akili na shetani.
Shetani aliye mjaribu Yesu ndiyo huyo huyo shetani aliyetunga Qur'an!
 
Kwa kuchokoza zaidi mada... Elimu ya majini kwa Wakristo na Waislamu ni tofauti ingawa wapo Wakristo ambao hubeba mafundisho au elimu ya majini kutoka kwa Waislamu na kuichomeka kwenye Ukristo kwa support ya mistari flani ya Biblia. Mfano ukisikiliza mafundisho juu ya nyota asili yake si Ukristo. Sisi Wakristo tunajua habari ya karama za Roho Mtakatifu na si nyota ....

Hivyo tunapozungumzia habari za majini ni vizuri kujikita vizuri kwenye imani yako ili kama ni muislamu tukuelewe na Mkristo ueleweke ..

Hata msamiati majini si Wakikristo ndio maana huwezi kukuta sehemu imeandikwa Yesu akatoa majini .....Biblia imechagua kwa umakini sana misamiati ya kutumia ikiwemo mapepo n.k ...

Tujiulize majini kwa tafsiri ya Waislamu ni kitu kilekile kwa tafsiri ya Mapepo ktk Biblia? Nimechokoza tu mada ..
Kwenye bible hamna msitari unaotaja jini?
 
Qur'an nzima inamlaani shetani na kikataza binadamu kumfuata shetani.Shetani aandike kitabu chake halafu ajipinge mwenyewe,asijisifie.
Na shetani unayemtaja ni yule,aliyembeba yule aliyefungishwa siku 40,akamuweka na njaa jangwani?Alizidiwa akili na shetani.
Shetani anauwezo wa kusaulisha. Shetani husaulisha waislamu!! Inawezekana Allah naye alisaulishwa! Pia Muhammad alisaulishwa nani alijenga Al Kaaba maana hamna kwenye Qur'an kusema ilijengwa na Ibrahim na mwanawe Ishmaeli!

Al-Anam 6:68. 68.
Na unapo waona wanao ziingilia Aya zetu, basi jitenge nao mpaka waingilie mazungumzo mengine. Na kama Shet'ani akikusahaulisha, basi baada ya kutanabahi usikae pamoja na watu madhaalimu.

Yesu hakusaulishwa na shetani maana alikumbuka kila jaribio.. Hapo ndiyo utaona tofauti ya biblia na Qur'an situkufu!
 
Shetani anauwezo wa kusaulisha. Shetani husaulisha waislamu!! Inawezekana Allah naye alisaulishwa! Pia Muhammad alisaulishwa nani alijenga Al Kaaba maana hamna kwenye Qur'an kusema ilijengwa na Ibrahim na mwanawe Ishmaeli!

Al-Anam 6:68. 68.
Na unapo waona wanao ziingilia Aya zetu, basi jitenge nao mpaka waingilie mazungumzo mengine. Na kama Shet'ani akikusahaulisha, basi baada ya kutanabahi usikae pamoja na watu madhaalimu.

Yesu hakusaulishwa na shetani maana alikumbuka kila jaribio.. Hapo ndiyo utaona tofauti ya biblia na Qur'an situkufu!
Yesu alibebwa juu kwa juu na shetani.Na alimsahaulisha kula Siku 40,akamuweka na njaa jangwani.Soma biblia.Soma Matayo 4(1-11).
 
NAKUJIBU KWA MUJIBU WA MAFUNDISHO YA UISLAMU...PIA NAWEZA KUKOSOLEWA KWA MAFUNDISHO YA DINI NA SIO MAFUNDISHO YA KISHIRIKINA.

Nani aliwaumba majini?
MWENYEZI MUNGU

Majini wameumbwaje na kwanini waliumbwa kwa kazi gani?
WAMEUMBWA KWA NDIMI ZA MOTO,WAMEUMBWA ILI KUMUABUDU MWENYEZI MUNGU

Kwanini hawaonekani nguvu gani au wao wapo ulimwengu gani hasa hadi tunashindwa kuwaona?
WANAONEKANA WAKITAKA WENYEWE,WAO WANAWAONA BINADAM LAKINI BINADAM HATUWAONI LABDA KWA NGUVU YA ZIADA.

Je, vitabu vya dini vinasemaje kuhusu hawa viumbe ni sehemu gan majini watajwa na je mitume wa Mungu wamewahi kuwatumia hawa kwa kazi gani na kwanini?
QURAN INAMTAJA JINI KAMA MIONGONI MWA VIUMBE WA MWENYEZI MUNGU,LENGO LA KUUMBWA KWAO NI SAWA NA LENGO LA KUUMBWA MWANADAM LA KUMUABUDU MWENYEZI MUNGU.KUNA SURA KATIKA QURAN ITAITWA SURAT JINN IMEWAONGELEA.
KUHUSU MITUME KUWATUMIA KUNA HADITHI INAZUNGUMZIA KUNA VITA JINI ALISHIRIKI.

Kwanini wanaonekana kuwa na nguvu zaid kuliko binadamu, mbinu ipi sahihi ya kuwadhibiti hao viumbe?
NDIVYO MUUMBA ALIVYOWAJAALIA...IJAPO WANAUWEZO MKUBWA UKILINGANISHA NA BINADAM LAKINI MAJINI WANAWAOGOPA WANADAM HASA WACHAMUNGU.KUWATHIBIT HAO VIUMBE NI KUWA MCHA MUNGU NA KUISHI UKIJIKINGA NA DUA ZILIZOFUNDISHWA MFANO PINDI UNAINGIA CHOONI KUNA DUA YAKUOMBA ULINZI WA MWENYEZI MUNGU...PIA USIWACHOKOZE MF KUYAHARIBU MAKAZ YAO KAMA KUKOJOA KTK MASHIMO,MAPANGO,MAGOFU NA MAKAZ YAO MENGINE..KIDINI HAKUNA MAFUNGAMANO/MAHUSIANO BAINA YA BINADAM NA MAJINI SO MWENYE KUTAFUTA MAFUNGAMANO/MAPATANO/MAHUSIANO NA MAJINI AMEMUASI MWENYEZI MUNGU NAE JINI MWENYE KUJIINGIZA KTK MAISHA YA MWANADAM KWA NAMNA YOYOTE AMEMUAS MUUMBA.

Je, maumbile yao halisi ni yapi na utawezaje kuwatambua?
HUBADILIKA KWA KADIRI ATAKAVYO AWEZA KUWA UPEPO,MTU/BINADAM,JIWE MNYAMA NK.

Je, Mungu wanayemwamini ni huyu tunayemwamini sisi na huko watahesabiwa vipi haki siku ya mwisho na adhabu yao itakuwaje kwenye moto wa milele (nasikia wapo kama moto sina uhakika).
NDIO NAO WAMEPEWA AMRI YA KUMUABUDU ILA KAMA TULIVYO WANAADAM TUKO WACHA MUNGU NA WAASI NAO NDIO IVYO IVYO..JUU YA HUKUMU YAO SIKU YA MWISHO SINA UFAHAM JUU YA HILO.

Je, wanaliana vip mimba zao hukaa muda gan na huishii miaka mingap tokea azaliwe yaani jin Mzee yupoje.
WANAISHI MIAKA MINGI ZAIDI YA BINADAM ILA SIJUA KIMA CHA UMRI WAO....WANAOANA NA KUZAA.

Mfumo wao wa utawala upoje na je kuna adhabu za kuwapatia endapo wanasumbua binadamu?
WANAUTAWALA WAO NA MASULTAN WAO....INAPOTOKEA JINI KAMUINGILIA MWANADAM KWA NAMNA YOYOTE HUTOLEWA KWA KISOMO CHA RUQYA HAPA KUNA KUWASIHI,KUWAONYA,KUWAADHIBU KUWAUWA KWA KISOMO ICHO)

Je, wanaweza kuzaa na binadamu na mtoto akizaliwa huwaje?
SIJUI KAMA WANAWEZA KUZAA NA BINADAM ILA WANAWEZA KUFANYA MAPENZI NA BINADAM(NI MAKOSA/DHAMBI KUFANYA MAHUSIANO NA JINI)

Yaan dah yapo mengi maswali![/QUOTE]


MAJINI WANATUMIKA MARA NYINGI NA BINADAM HASA WACHAWI,WAGANGA NA WANAJIM....ILI KUFANYA NAO KAZI HUINGIA MAPATANO AMBAYO MARA NYINGI HUWA NI YA KUMUASI MUUMBA....MFN UMWAGAJI DAMU NA KAFARA ZINGINE.....TUNATAKIWA KUMTEGEMEA MUUMBA KWA KILA KITU NA SI KIUMBE WALA MTU......NA ALLAH ANAJUA ZAIDI
 
Shetani anauwezo wa kusaulisha. Shetani husaulisha waislamu!! Inawezekana Allah naye alisaulishwa! Pia Muhammad alisaulishwa nani alijenga Al Kaaba maana hamna kwenye Qur'an kusema ilijengwa na Ibrahim na mwanawe Ishmaeli!

Al-Anam 6:68. 68.
Na unapo waona wanao ziingilia Aya zetu, basi jitenge nao mpaka waingilie mazungumzo mengine. Na kama Shet'ani akikusahaulisha, basi baada ya kutanabahi usikae pamoja na watu madhaalimu.

Yesu hakusaulishwa na shetani maana alikumbuka kila jaribio.. Hapo ndiyo utaona tofauti ya biblia na Qur'an situkufu!
Hehe..nyie jamaa watu wakianza kuchambua biblia mnajitetea kuwa mara biblia haisomwi kama gazetil mara roho mtakatifu.
 
Yesu alibebwa juu kwa juu na shetani.Na alimsahaulisha kula Siku 40,akamuweka na njaa jangwani.Soma biblia.
Yesu hakupandishwa na shetani wala hakusaulishwa kula na shetani! Wewe ndiyo soma biblia uelewa! Roho ni active force ya Mungu ambayo ilimpeleka Yesu kiroho. Husisome biblia macho juu kama Qur'an!

Matayo:4.1
Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi.

Matayo:4.2
Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.

Matayo:4.3
Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate.

Matayo:4.4
Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.

Matayo:4.11
Kisha Ibilisi akamwacha; na tazama, wakaja malaika wakamtumikia.

Luka:4.1
Na Yesu, hali amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho muda wa siku arobaini nyikani,
Luka:4.2
akijaribiwa na Ibilisi. Na siku hizo alikuwa hali kitu; hata zilipotimia, aliona njaa.


Yesu alibebwa juu kwa juu na shetani.Na alimsahaulisha kula Siku 40,akamuweka na njaa jangwani.Soma biblia.
Yesu hakupandishwa na shetani wala hakusaulishwa kula na shetani! Wewe ndiyo soma biblia uelewa! Husisome biblia macho juu kama Qur'an

Matayo:4.1
Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi.
Matayo:4.2
Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.
Matayo:4.3
Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate.
Matayo:4.4
Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.
Matayo:4.5
Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mji mtakatifu, akamweka juu ya kinara cha hekalu,
Matayo:4.6
akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu jitupe chini; kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake; Na mikononi mwao watakuchukua; Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.
Matayo:4.7
Yesu akamwambia, Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.
Matayo:4.8
Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mlima mrefu mno, akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake,
Matayo:4.9
akamwambia, Haya yote nitakupa, ukianguka kunisujudia.
Matayo:4.10
Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.
Matayo:4.11
Kisha Ibilisi akamwacha; na tazama, wakaja malaika wakamtumikia.
 
Yesu hakupandishwa na shetani wala hakusaulishwa kula na shetani! Wewe ndiyo soma biblia uelewa! Roho ni active force ya Mungu ambayo ilimpeleka Yesu kiroho. Husisome biblia macho juu kama Qur'an!

Matayo:4.1
Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi.

Matayo:4.2
Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.

Matayo:4.3
Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate.

Matayo:4.4
Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.

Matayo:4.11
Kisha Ibilisi akamwacha; na tazama, wakaja malaika wakamtumikia.

Luka:4.1
Na Yesu, hali amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho muda wa siku arobaini nyikani,
Luka:4.2
akijaribiwa na Ibilisi. Na siku hizo alikuwa hali kitu; hata zilipotimia, aliona njaa.



Yesu hakupandishwa na shetani wala hakusaulishwa kula na shetani! Wewe ndiyo soma biblia uelewa! Husisome biblia macho juu kama Qur'an

Matayo:4.1
Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi.
Matayo:4.2
Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.
Matayo:4.3
Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate.
Matayo:4.4
Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.
Matayo:4.5
Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mji mtakatifu, akamweka juu ya kinara cha hekalu,
Matayo:4.6
akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu jitupe chini; kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake; Na mikononi mwao watakuchukua; Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.
Matayo:4.7
Yesu akamwambia, Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.
Matayo:4.8
Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mlima mrefu mno, akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake,
Matayo:4.9
akamwambia, Haya yote nitakupa, ukianguka kunisujudia.
Matayo:4.10
Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.
Matayo:4.11
Kisha Ibilisi akamwacha; na tazama, wakaja malaika wakamtumikia.
Huyo roho ndio shetani mwenyewe,akishirikiana na iblisi,huyo roho mchafu na huyo pepo mchafu.Ni majina yao hayo.
 
Majini ni shetani waliosilimu.

Yaani mashetani waislamu.
Sasa kama walisilimu mbona hawakurudi kuungana na malaika na pindi walipo jaribu kurudi walikuta pana ulinzi mkali sasa si wange ruhusiwa kuingia . Hata shetani alitamani arudi tena mbinguni lakini alikataliwa aliambiwa amesha chelewa sasa kusema yamesilimu huu ni mkanganyiko mkubwa
 
Huyo roho ndio shetani mwenyewe,akishirikiana na iblisi,huyo roho mchafu na huyo pepo mchafu.Ni majina yao hayo.
Roho ni active force ya Mungu. Siyo shetani.
Luka:4.1
Na Yesu, hali amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho muda wa siku arobaini nyikani,
Luka:4.2
akijaribiwa na Ibilisi. Na siku hizo alikuwa hali kitu; hata zilipotimia, aliona njaa.

Hapo kuna Roho ya Mungu na shetani ibilisi. Wacha kujifanya kujua, hujui kitu
 
Watu wanalishwa majani kama mbuzi kisa roho mtakatifu,watu watu wana nyweshwa hadi sumu kisa roho mtakatifu,wengine wanaambiwa wafanye masturbation kisa roho mtakatifu.

Ebwana huyu roho mtakatifu sasa balaa,maana hapo ndipo mkristo alipokamatwa hana ujanja chochote utakacho mwambia atafanya kwa sababu ya roho mtakatifu.

Si ajabu hata hizi ndoa za jinsia moja akawa ni yeye aliyeruhusu.
 
Sasa kama walisilimu mbona hawakurudi kuungana na malaika na pindi walipo jaribu kurudi walikuta pana ulinzi mkali sasa si wange ruhusiwa kuingia . Hata shetani alitamani arudi tena mbinguni lakini alikataliwa aliambiwa amesha chelewa sasa kusema yamesilimu huu ni mkanganyiko mkubwa
Kwahiyo kwa mujibu wa biblia haya mashetani ni malaika wa mungu?
 
Sasa kama walisilimu mbona hawakurudi kuungana na malaika na pindi walipo jaribu kurudi walikuta pana ulinzi mkali sasa si wange ruhusiwa kuingia . Hata shetani alitamani arudi tena mbinguni lakini alikataliwa aliambiwa amesha chelewa sasa kusema yamesilimu huu ni mkanganyiko mkubwa
Mkuu hili swali unanionea mimi hata sijui,ngoja masheikh waje tutawauliza humu.
 
Back
Top Bottom