Je, asili ya majini ni ipi?

Je, asili ya majini ni ipi?

Acha uzushi
Hakuna mkristo aliyemkashifu muislam.

Watu tunaeleza hali halisi ya ukweli uliopo.

Kwani ni uongo kwamba waislam wanachangia mungu mmoja na majini???
Duh! Ukweli mwingine mgumu kumeza mkuu.
 
Hilo ulilouliza.
Okay! Ni kwamba ukristu hautegemei mapungufu ya uislamu ktk kujisimamia. Yenyewe inajitosheleza. Hivyo muhubiri wa Kikristu hana haja ya kuitaja imani ya kiislamu ili mahubiri yake yawe na mashiko. Nilikuwa nikijibu hoja kwamba makanisa yanaongea propaganda juu ya uislamu.

Hili liko wazi, kuanzia Quran yenyewe na uislamu, kuwa hauwezi kujisimamisha wenyewe pasi na kuongelea kinyume cha yafungamanayo na Ukristu. Umenipata?
 
Acha uzushi
Hakuna mkristo aliyemkashifu muislam.

Watu tunaeleza hali halisi ya ukweli uliopo.

Kwani ni uongo kwamba waislam wanachangia mungu mmoja na majini???
Hats Yesu yupo pamoja na majini
Soma Luka 10:17-20
 
Okay! Ni kwamba ukristu hautegemei mapungufu ya uislamu ktk kujisimamia. Yenyewe inajitosheleza. Hivyo muhubiri wa Kikristu hana haja ya kuitaja imani ya kiislamu ili mahubiri yake yawe na mashiko. Nilikuwa nikijibu hoja kwamba makanisa yanaongea propaganda juu ya uislamu.

Hili liko wazi, kuanzia Quran yenyewe na uislamu, kuwa hauwezi kujisimamisha wenyewe pasi na kuongelea kinyume cha yafungamanayo na Ukristu. Umenipata?
Wakristo wengi mnafikiria Yesu,alikuwa mzungu na aliishi ulaya,kwa sababu wanaomtangaza Yesu ni wazungu.
Yesu alizaliwa na kuishi mashariki ya kati,nchi ya Israel,na Uislamu nao pia unatoka mashariki ya kati,lazima hizi dini ziwe na mafungamano,kutokana na asili inakotokea.Ila kosa linakuja pale ambapo Biblia ilitafsiriwa kutoka Lugha yake ya asili,mpaka kufikia kiswahili,tafsiri imeshatoa maneno tofauti na yale ya asili.Lakini kama wakutana na biblia ya kiarabu,hutaona utofauti wowote kati ya Qur'an na Biblia katika uandishi na majina ya mitume waliyomo humo.Na pia ukikutana na wakristo wa nchi za kiarabu wako tofauti kabisa na wakristo wa ulaya na baadhi ya sehemu za Afika.Kwa mfano Ethiopia,ukikutana na mwanamke wa kikristo wa Ethiopia akienda kanisani,utashindwa kumtofatisha na mwanamke muislamu.
Kwa hiyo kumbuka,Yesu ni waashariki ya kati na Mtume Muhammad ni wa mashariki ya kati lazima kuweko na uhusiano ndani yao wa kiutamaduni wa kila kitu.
 
Hoja ni majina
Hapo umeona majina ya majini?
Sasa kama umeshindwa kuthibitisha ukristo wa hayo majina ni kipi ambacho tutaendelea kujadili hapa?

Maana hoja ni kwamba majini hawana majina ya kikristo.
 
Fafanua ueleweke,usiulize kama vile jibu unalo,wataka hakisha tu.
Kuna baadhi ya waislamu wanadai eti ndani ya dini ya kiislamu hupo ukweli na uwongo. Nachojua wewe kama muislamu unaamini uislamu una ukweli mtupu kwa kuwa ni dini ya mwenyewe Mungu Allah. Sasa labda utanisaidia je ni uwongo hupi huo ambao hupo?
 
Acheni kudangnya nyie waislamu eti majini nao waliumbwa na mngu naomba muelwe kua majini kma walvo mashetsni wengne ni malaika wachafu walioasi na waliotupwa katoka ufalme wa mngu na kuwekwa ktka hukumu ya moto wore walkua malaika zaman ila wakaasi kwa kumtii lusifer nackutupwa wte kuzmu HVO majin hyskuumbwa moja kwa moja ni majini Ila ndo HVO ni pepo wachafu tu kma wengne ndo mana wanaliogopa xna Nina LA yesu Kristo kwani huadhbu pale. Wamshkliapo bnadamu ,pia majini ni asili ileile tuvya wapepo wachafu pmoja na mizimu yote
Kwahiyo neno jini lina maana gani?
 
Acha uzushi
Hakuna mkristo aliyemkashifu muislam.

Watu tunaeleza hali halisi ya ukweli uliopo.

Kwani ni uongo kwamba waislam wanachangia mungu mmoja na majini???
Kwani majini(malaika waliyoasi) mungu wao nani?
 
Wewe umeuliza kuhusu uislamu kuna uongo na ukweli,ndio nikakuambia fafanua.
Uislamu kuna uongo na ukweli sio hoja yangu Mkuu, sina haja ya kuingilia hayo mm. Mi nko naitafuta tu kweli iniweke huru na kimsingi nimeshaipata. Wala haiko ktk dini zenu hizi, ila nabii Issa aka Yesu au Masiya, kanuni zake kama zilivyoainishwa na Bible ni bora sana. Nazikubali,binadamu wote tungezishi maisha duniani yangekuwa na maana saana.

Mwingine ni Buddha,, huyu na Yesu tofauti zao utazitafuta kwa tochi mkuu. Unapata logic ya mengi ktk falsafa zao. Niko naendelea na Quran, ila hadi nilipofikia Muhammad alikuwa mtu mwema kwa ndugu zake tu...... Ana mafundisho tata mengi sana, labda bado sijamjua sana, na hapa duniani hana wafuasi kwa siku hizi.

Kama ulifuatilia post zote kwa makini, kuna post nilikwambia hata wanyama mawe na mimea pia wana chembe za ukristu. Ukristu ni yote yaliyo fundishwa na Kristu, na si vinginevyo. Si haya madhehebu haya tuyaonayo. Ingawa hata huko atakaye yashika mafundisho vyema, atakuwa mzuri. Mungu ni UPENDO, dini ni UPENDO, kanuni kuu ni UPENDO, sheria kuu ni UPENDO,,,, ili kufikia hapa, mtendee jirani yako vile upendavyo wewe kutendewa. Jirani hapa si mkristu mwenzako au mtanzania, au binadamu au mammals mwenzako, bali ni chochote chenye KUTHIRIKA na matendo yako.

Mfano we ni dereva, uko barabarani unadrive, mbwa anakatisha. Yesu anakwambia umtendee huyo mbwa kama vile we ungependa kutendewa. Kanuni ni fupi saaaana, badilishaneni viatu tu, we vaa vya mbwa na mbwa mpe vyako, then jiulize ungependa binadamu akufanyiaje we mbwa ukiwa unakatisha barabara? Jibu lako ndo ukipaswacho kumtendea mbwa.

Huu ndo ukristu, ndo Ukweli wa maisha na ndo maana ya kuishi na dhima ya kuishi. Mungu alitaka maisha yawe hivyo, maisha ya viumbe yanategemeana, binadamu anategemea mimea, anamtegemea hata nzi na mbu ktk kuishi kwake. Viumbe vyote ni bora, UPENDO kwa vyote.

Tatzo hapa, kanuni za kiislamu. Jinsi mtu anavyoubobea ndivyo uso wake unavyopoteza nuru ya UPENDO. Wenye akili hujiuliza kwanini? Majibu ya maswali hayo ndo yamefikisha hapa ktk mjadala huu wa leo tangu asubuhi.
 
Wakristo wengi mnafikiria Yesu,alikuwa mzungu na aliishi ulaya,kwa sababu wanaomtangaza Yesu ni wazungu.
Yesu alizaliwa na kuishi mashariki ya kati,nchi ya Israel,na Uislamu nao pia unatoka mashariki ya kati,lazima hizi dini ziwe na mafungamano,kutokana na asili inakotokea.Ila kosa linakuja pale ambapo Biblia ilitafsiriwa kutoka Lugha yake ya asili,mpaka kufikia kiswahili,tafsiri imeshatoa maneno tofauti na yale ya asili.Lakini kama wakutana na biblia ya kiarabu,hutaona utofauti wowote kati ya Qur'an na Biblia katika uandishi na majina ya mitume waliyomo humo.Na pia ukikutana na wakristo wa nchi za kiarabu wako tofauti kabisa na wakristo wa ulaya na baadhi ya sehemu za Afika.Kwa mfano Ethiopia,ukikutana na mwanamke wa kikristo wa Ethiopia akienda kanisani,utashindwa kumtofatisha na mwanamke muislamu.
Kwa hiyo kumbuka,Yesu ni waashariki ya kati na Mtume Muhammad ni wa mashariki ya kati lazima kuweko na uhusiano ndani yao wa kiutamaduni wa kila kitu.
Unatoka nje ya mada, labda umechoka Mkuu! Mi na nadhani wakristo wengi walio humu ni great thinkers. Hayo ni mambo madogomadogo saaaaana. Hayaathiri kanuni kuu za imani?

We ndo unaesema Yesu ni mmashariki ya kati, wenzako tuko mbali zaidi hata kumuhusisha na uafrika kabisa. Waislamu ndo mnaohusisha uzungu na Ukristu. Taifa kama Marekani kwenu ni la kikristu na matendo ya wazungu mnayafungamanisha na Ukristu pia.

Kwangu sivyo. Kwanza naamini kanuni kuu za ukristu ni UPENDO hivyo ulikuwepo Africa hata kabla ya kuzaliwa kwa yesu.

Umeyazungumzia eti mavazi pia, kwanza mavazi ni tamaduni tu za wanadamu, si dini. Mungu hawezi kukujaji kwa mavazi kwanza alituumba uchi. Lakini pia mavazi hutegemena na mazingira na shughuli za jamii husika tu, mtume angezaliwa umasaini leo waislamu wangevaa kama wamasai. Au Mkuu unadhani waarabu wameanza kuvaa hijabu na kanzu baada tu ya uislamu?

Tangu mesopotium walivaa hivyo. Tena hata hayo mavazi nyakati hizo zikuwa zikihusishwa na mengineyo ya Ajabu. Lililo kuu hapa kwa taarifa, hadi kufikia miaka ya tisini tu hapa juzi, mkristo mwanamke alikuwa hawezi kuingia kanisani pasi kujifunika kichwani. Mavazi so dini mkuu.

Je wakristu wa Syria, Iraq, uturuki, Egypt na Ethiopia wanaamini kwamba majini ni viumbe vilivyoumbwa tofauti na malaika? Msingi wa mada uko hapo tu.
 
Wakristo wengi mnafikiria Yesu,alikuwa mzungu na aliishi ulaya,kwa sababu wanaomtangaza Yesu ni wazungu.
Yesu alizaliwa na kuishi mashariki ya kati,nchi ya Israel,na Uislamu nao pia unatoka mashariki ya kati,lazima hizi dini ziwe na mafungamano,kutokana na asili inakotokea.Ila kosa linakuja pale ambapo Biblia ilitafsiriwa kutoka Lugha yake ya asili,mpaka kufikia kiswahili,tafsiri imeshatoa maneno tofauti na yale ya asili.Lakini kama wakutana na biblia ya kiarabu,hutaona utofauti wowote kati ya Qur'an na Biblia katika uandishi na majina ya mitume waliyomo humo.Na pia ukikutana na wakristo wa nchi za kiarabu wako tofauti kabisa na wakristo wa ulaya na baadhi ya sehemu za Afika.Kwa mfano Ethiopia,ukikutana na mwanamke wa kikristo wa Ethiopia akienda kanisani,utashindwa kumtofatisha na mwanamke muislamu.
Kwa hiyo kumbuka,Yesu ni waashariki ya kati na Mtume Muhammad ni wa mashariki ya kati lazima kuweko na uhusiano ndani yao wa kiutamaduni wa kila kitu.
Mbona unapuyanga!!!

Unaelekezwa ni jinsi gani umedanganya kwamba kuna mhubiri anautaja uislam katima ibada za kikriso unakuja na habari za tanaduni za kati!!!!!!wewe sijui una matatizo gani???

Halafu kumbe unajua habari ya mavazi ni ishu ya utamaduni!!inakuwaje mnashikiria kwamba yesu ni muislam ilhali mnajua si muislam???

Any way tujikite katika mada husika.asili ya majini.
 
Sasa kama umeshindwa kuthibitisha ukristo wa hayo majina ni kipi ambacho tutaendelea kujadili hapa?

Maana hoja ni kwamba majini hawana majina ya kikristo.
Wewe unaweza kututhibitishia kama wewe ni binaadam???au umezaliwa ukakuta kwamba kuna watu kama wewe wanaitwa binaadam!!!!??
 
Uislamu kuna uongo na ukweli sio hoja yangu Mkuu, sina haja ya kuingilia hayo mm. Mi nko naitafuta tu kweli iniweke huru na kimsingi nimeshaipata. Wala haiko ktk dini zenu hizi, ila nabii Issa aka Yesu au Masiya, kanuni zake kama zilivyoainishwa na Bible ni bora sana. Nazikubali,binadamu wote tungezishi maisha duniani yangekuwa na maana saana.

Mwingine ni Buddha,, huyu na Yesu tofauti zao utazitafuta kwa tochi mkuu. Unapata logic ya mengi ktk falsafa zao. Niko naendelea na Quran, ila hadi nilipofikia Muhammad alikuwa mtu mwema kwa ndugu zake tu...... Ana mafundisho tata mengi sana, labda bado sijamjua sana, na hapa duniani hana wafuasi kwa siku hizi.

Kama ulifuatilia post zote kwa makini, kuna post nilikwambia hata wanyama mawe na mimea pia wana chembe za ukristu. Ukristu ni yote yaliyo fundishwa na Kristu, na si vinginevyo. Si haya madhehebu haya tuyaonayo. Ingawa hata huko atakaye yashika mafundisho vyema, atakuwa mzuri. Mungu ni UPENDO, dini ni UPENDO, kanuni kuu ni UPENDO, sheria kuu ni UPENDO,,,, ili kufikia hapa, mtendee jirani yako vile upendavyo wewe kutendewa. Jirani hapa si mkristu mwenzako au mtanzania, au binadamu au mammals mwenzako, bali ni chochote chenye KUTHIRIKA na matendo yako.

Mfano we ni dereva, uko barabarani unadrive, mbwa anakatisha. Yesu anakwambia umtendee huyo mbwa kama vile we ungependa kutendewa. Kanuni ni fupi saaaana, badilishaneni viatu tu, we vaa vya mbwa na mbwa mpe vyako, then jiulize ungependa binadamu akufanyiaje we mbwa ukiwa unakatisha barabara? Jibu lako ndo ukipaswacho kumtendea mbwa.

Huu ndo ukristu, ndo Ukweli wa maisha na ndo maana ya kuishi na dhima ya kuishi. Mungu alitaka maisha yawe hivyo, maisha ya viumbe yanategemeana, binadamu anategemea mimea, anamtegemea hata nzi na mbu ktk kuishi kwake. Viumbe vyote ni bora, UPENDO kwa vyote.

Tatzo hapa, kanuni za kiislamu. Jinsi mtu anavyoubobea ndivyo uso wake unavyopoteza nuru ya UPENDO. Wenye akili hujiuliza kwanini? Majibu ya maswali hayo ndo yamefikisha hapa ktk mjadala huu wa leo tangu asubuhi.
Huja usoma uislamu ndio maana.Uislamu ni maisha kamili ya mwanadamu toka analala kitandani mpaka anamka.Uislamu una mafunzo yote kuhusiana na maisha ya binadamu.Uislamu,spade ni spade,hauiti kijiko.Tofauti na dini nyingine,kimaneno zinasema kuna upendo,lakini kiundani hawana upendo.mfano mdogo tu,wakatoliki na waprotestant hawaelewani,kabila moja,ndugu moja,hawewezi kuzikwa kwenye eneo eneo,kisa mmoja mngalikana na mwingine ni mkatoliki,au hujui hilo?
Kuna mambo mengi katika dini nyingine yanafichwa,hayawekwi wazi,ni mpaka uwe karibu nao ndio utajuwa wanavyojificha.Kwa mfano Askofu Kibwetere,pamoja na viongozi wenzake wa dini,walivyowachoma waumini wao wenyewe,kwa kuwafungia kanisani,baada ya hili tukio,ilipofatiliwa kulikutwa wengi wameuliwa na kuzikwa katika maeneo ya kanisa hilo.Na kabla yapo matukio kama hayo yamefanyika Japan,Rwanda nk.Huku kunahubiriwa upendo.
Uislamu kuna uongo na ukweli sio hoja yangu Mkuu, sina haja ya kuingilia hayo mm. Mi nko naitafuta tu kweli iniweke huru na kimsingi nimeshaipata. Wala haiko ktk dini zenu hizi, ila nabii Issa aka Yesu au Masiya, kanuni zake kama zilivyoainishwa na Bible ni bora sana. Nazikubali,binadamu wote tungezishi maisha duniani yangekuwa na maana saana.

Mwingine ni Buddha,, huyu na Yesu tofauti zao utazitafuta kwa tochi mkuu. Unapata logic ya mengi ktk falsafa zao. Niko naendelea na Quran, ila hadi nilipofikia Muhammad alikuwa mtu mwema kwa ndugu zake tu...... Ana mafundisho tata mengi sana, labda bado sijamjua sana, na hapa duniani hana wafuasi kwa siku hizi.

Kama ulifuatilia post zote kwa makini, kuna post nilikwambia hata wanyama mawe na mimea pia wana chembe za ukristu. Ukristu ni yote yaliyo fundishwa na Kristu, na si vinginevyo. Si haya madhehebu haya tuyaonayo. Ingawa hata huko atakaye yashika mafundisho vyema, atakuwa mzuri. Mungu ni UPENDO, dini ni UPENDO, kanuni kuu ni UPENDO, sheria kuu ni UPENDO,,,, ili kufikia hapa, mtendee jirani yako vile upendavyo wewe kutendewa. Jirani hapa si mkristu mwenzako au mtanzania, au binadamu au mammals mwenzako, bali ni chochote chenye KUTHIRIKA na matendo yako.

Mfano we ni dereva, uko barabarani unadrive, mbwa anakatisha. Yesu anakwambia umtendee huyo mbwa kama vile we ungependa kutendewa. Kanuni ni fupi saaaana, badilishaneni viatu tu, we vaa vya mbwa na mbwa mpe vyako, then jiulize ungependa binadamu akufanyiaje we mbwa ukiwa unakatisha barabara? Jibu lako ndo ukipaswacho kumtendea mbwa.

Huu ndo ukristu, ndo Ukweli wa maisha na ndo maana ya kuishi na dhima ya kuishi. Mungu alitaka maisha yawe hivyo, maisha ya viumbe yanategemeana, binadamu anategemea mimea, anamtegemea hata nzi na mbu ktk kuishi kwake. Viumbe vyote ni bora, UPENDO kwa vyote.

Tatzo hapa, kanuni za kiislamu. Jinsi mtu anavyoubobea ndivyo uso wake unavyopoteza nuru ya UPENDO. Wenye akili hujiuliza kwanini? Majibu ya maswali hayo ndo yamefikisha hapa ktk mjadala huu wa leo tangu asubuhi.
Huja usoma uislamu ndio maana.Uislamu ni maisha kamili ya mwanadamu toka analala kitandani mpaka anamka.Uislamu una mafunzo yote kuhusiana na maisha ya binadamu.Uislamu,spade ni spade,hauiti kijiko.Tofauti na dini nyingine,kimaneno zinasema kuna upendo,lakini kiundani hawana upendo.mfano mdogo tu,wakatoliki na waprotestant hawaelewani,kabila moja,ndugu moja,hawewezi kuzikwa kwenye eneo
 
Huja usoma uislamu ndio maana.Uislamu ni maisha kamili ya mwanadamu toka analala kitandani mpaka anamka.Uislamu una mafunzo yote kuhusiana na maisha ya binadamu.Uislamu,spade ni spade,hauiti kijiko.Tofauti na dini nyingine,kimaneno zinasema kuna upendo,lakini kiundani hawana upendo.mfano mdogo tu,wakatoliki na waprotestant hawaelewani,kabila moja,ndugu moja,hawewezi kuzikwa kwenye eneo eneo,kisa mmoja mngalikana na mwingine ni mkatoliki,au hujui hilo?
Kuna mambo mengi katika dini nyingine yanafichwa,hayawekwi wazi,ni mpaka uwe karibu nao ndio utajuwa wanavyojificha.Kwa mfano Askofu Kibwetere,pamoja na viongozi wenzake wa dini,walivyowachoma waumini wao wenyewe,kwa kuwafungia kanisani,baada ya hili tukio,ilipofatiliwa kulikutwa wengi wameuliwa na kuzikwa katika maeneo ya kanisa hilo.Na kabla yapo matukio kama hayo yamefanyika Japan,Rwanda nk.Huku kunahubiriwa upendo.

Huja usoma uislamu ndio maana.Uislamu ni maisha kamili ya mwanadamu toka analala kitandani mpaka anamka.Uislamu una mafunzo yote kuhusiana na maisha ya binadamu.Uislamu,spade ni spade,hauiti kijiko.Tofauti na dini nyingine,kimaneno zinasema kuna upendo,lakini kiundani hawana upendo.mfano mdogo tu,wakatoliki na waprotestant hawaelewani,kabila moja,ndugu moja,hawewezi kuzikwa kwenye eneo
Hawaelewani sababu ya mahali pa kuzikia!!!!au una mfano tofauti na huu maana huo hauthibitishi chuki kati yao.

Uislam ni mfumo wa maisha ya kila siku, maisha gani yataje hapa maana kila mtu anao mfumo wake.

Halafu nikuulize kitu huko kwenu huwa mnaweka kila kitu hadharani kwa waumini, wanawake wa kiislam wameahidiwa nini peponi, huwa mnawaambia????
 
Back
Top Bottom